Mnaosifia Simba kuwa ni team kubwa Afrika hamjui Mpira. Mnaijua Atletico Madrid ya Spain?

Mnaosifia Simba kuwa ni team kubwa Afrika hamjui Mpira. Mnaijua Atletico Madrid ya Spain?

Ulaya ni Ulaya na Afrika ni Afrika ukubwa wa Simba barani Afrika unatokana na mazingira na aina ya timu zilizoko barani Afrika ,na udogo wa A.madirid umetokana na mazingira ya Ulaya na timu zilizopo barani humo.
Na ndio maana A.Madirid hata kwenye kumi bora ya virabu bora barani Ulaya haimo lakini Simba iko kwenye nafasi ya 9 kwa ubora barani Afrika.

Weka ushabiki wako wa Utopolo pembeni twende kwa data ,katika ukanda wa Afrika mashariki na kati ukiitoa Mazembe hakuna timu nyingine ya kuifikia kwa mafanikio Simba katika mashindano ya CAF kama ipo itaje.

Ni upumbavu wa hali ya juu kubeza mafanikio ya mwenzako hali ya kuwa ww hayo mafanikio hujawahi kuyafikia.

Yaani unambeza aliye feri mtihani kidato cha sita hali ya kuwa ww umefeli mtihani wa darasa la saba?
Kama ingekuwa ni rahisi kufika hiyo robo fainal basi utopolo wangekuwa wanafika kila mwaka kama anavyo fanya simba.

Kama Simba ni timu ndogo kisa kuishia robo fainal vipi kuhusu timu yako kinyesi fc ambayo haijawahi kuinusa hiyo robo fainal tangu kuanzishwa kwake miaka 80.

Kweli aliye kuwa kocha wenu hakukosea kuwaita manyani.
Robo fainali nayo ni mafanikio??
Umetolea mfano wakufeli mtihani wa Form six halaf mi nimefeli mtihani wa darasa la saba nitakucheka tu kwa sababu we pamoja na form six yako utakua na nini endapo ukirudi huku unaniomba mi 5000 ambae nilifeli mtihani wa la 7.
Mkuu ipo hivi hakunaga kusifiwa kwa kuishia njiani maliza safari ndio usifiwe.
Na kitu kinachodhibitisha we chizi ni kua now ni misimu mitatu simba inakomea Robo huu si uchizi yani ni sawa kila mtihani unakua wa 10 halaf unajisifia we kichwa CHIZI kweli.
Mkuu ipo hivi simba kacheza mashindano yote hadi ambayo mnayaita ya luza ila pote kaishia Robo huku kwa Luza hata Nusu hakufika Yanga iliyofufuka Chini ya Hersi Msimu mmoja imefeli Ndio kwenda makundi Caf Champions ila ndani ya msimu huo mmoja inaonyesha dalili ya kufika Nusu.
Je Hii yanga ikikaa hivi unazani itafanya upuuzi kama wa simba kila msimu Caf Campions itakua inaishia Robo?
#NENDA MILEMBE
 
Mtoto gani kila mwaka anatambaa kila mwaka the same stage au kadumaa?
Well mkuu mtoto kila mwaka yupo chini hasimami wenzake wanakuja wanasimama yeye yupo chini ananenepa tu halaf familia inajisifia ana Afya.
 
Ulaya ni Ulaya na Afrika ni Afrika ukubwa wa Simba barani Afrika unatokana na mazingira na aina ya timu zilizoko barani Afrika ,na udogo wa A.madirid umetokana na mazingira ya Ulaya na timu zilizopo barani humo.
Na ndio maana A.Madirid hata kwenye kumi bora ya virabu bora barani Ulaya haimo lakini Simba iko kwenye nafasi ya 9 kwa ubora barani Afrika.

Weka ushabiki wako wa Utopolo pembeni twende kwa data ,katika ukanda wa Afrika mashariki na kati ukiitoa Mazembe hakuna timu nyingine ya kuifikia kwa mafanikio Simba katika mashindano ya CAF kama ipo itaje.

Ni upumbavu wa hali ya juu kubeza mafanikio ya mwenzako hali ya kuwa ww hayo mafanikio hujawahi kuyafikia.

Yaani unambeza aliye feri mtihani kidato cha sita hali ya kuwa ww umefeli mtihani wa darasa la saba?
Kama ingekuwa ni rahisi kufika hiyo robo fainal basi utopolo wangekuwa wanafika kila mwaka kama anavyo fanya simba.

Kama Simba ni timu ndogo kisa kuishia robo fainal vipi kuhusu timu yako kinyesi fc ambayo haijawahi kuinusa hiyo robo fainal tangu kuanzishwa kwake miaka 80.

Kweli aliye kuwa kocha wenu hakukosea kuwaita manyani.
Unataka Afrika Mashariki na Kati. Simba na Yanga zitakuwa kubwa. AFRIKA hell No! Huwezi kujiita timu kubwa kwa kuishia robo fainali wakati wakubwa wakiishia robo fainali kocha anakuwa hatarini kutimuliwa na wengi hutimuliwa. Wydad wangetolewa na Simba kocha saa hizi angekuwa jobless. Zitazame timu zilizo nusu fainali ya CAF CL. Ndio timu nne za mwisho kuwahi kutwaa taji la michuano hiyo. Ukipitia list ya mabingwa wa karibuni hutaona timu nyingine yoyote mpaka ukutane na kila moja kati ya hizo nne zilicho nusu fainali. Huo ndio ukubwa. Sio kufika robo fainali. Acha ujuha.
 
WE CHIZI HENCE PROVED
Jibu swali ww utopolo kichwa maji mnaiponda robo fainal hali ya kuwa timu yako haijawahi kukanyaga hiyo robo fainal tangu ianzishwe.
Utopolo wengi mmejaa funza vichwani akiwemo ww.
 
Jibu swali ww utopolo kichwa maji mnaiponda robo fainal hali ya kuwa timu yako haijawahi kukanyaga hiyo robo fainal tangu ianzishwe.
Utopolo wengi mmejaa funza vichwani akiwemo ww.
Simba imecheza Robo Hizo nyingi ndani ya uwekezaji wa Mo Kipindi hicho Yanga inajitafta ikisumbuliwa na ukata mkubwa Leo Yanga imepata Mdhamini anatoa mpunga kama Mo, Yanga ndani ya msimu mmoja wa ubora wake inaenda Kufika Nusu ya Caf Confederation Cup kombe ambalo hata nyie ndani ya misimu yenu bora na chini ya uwekezaji wa Mo mliishia nako Robo.
WE SIO CHIZI HUONI
 
Robo fainali nayo ni mafanikio??
Umetolea mfano wakufeli mtihani wa Form six halaf mi nimefeli mtihani wa darasa la saba nitakucheka tu kwa sababu we pamoja na form six yako utakua na nini endapo ukirudi huku unaniomba mi 5000 ambae nilifeli mtihani wa la 7.
Mkuu ipo hivi hakunaga kusifiwa kwa kuishia njiani maliza safari ndio usifiwe.
Na kitu kinachodhibitisha we chizi ni kua now ni misimu mitatu simba inakomea Robo huu si uchizi yani ni sawa kila mtihani unakua wa 10 halaf unajisifia we kichwa CHIZI kweli.
Mkuu ipo hivi simba kacheza mashindano yote hadi ambayo mnayaita ya luza ila pote kaishia Robo huku kwa Luza hata Nusu hakufika Yanga iliyofufuka Chini ya Hersi Msimu mmoja imefeli Ndio kwenda makundi Caf Champions ila ndani ya msimu huo mmoja inaonyesha dalili ya kufika Nusu.
Je Hii yanga ikikaa hivi unazani itafanya upuuzi kama wa simba kila msimu Caf Campions itakua inaishia Robo?
#NENDA MILEMBE
Kwahiyo tumsikilize nani kati ya CAF na ww kilaza usiye kuwa na nyuma wala mbele?
CAF wameona Simba ni bora na ndio maana iko nafasi ya 9 kwa ubora barani Afrika sasa ww ni nina na unamamlaka gani ya kimpira kilipinga hilo.

Fika kwanza hiyo robo fainal na uivuke ndo uje kubeza na sio kubeza mafanikio ya mwenzako hali ya kuwa ww hayo mafanikio hujawahi kufika.

Kama simba mbovu kisa kuishia robo fainal kila mwaka vipi kuhusu timu yako Utopolo inayo ishia raundi ya kwanza au ya pili kila mwaka si ndo itakuwa mavi na matapishi kabisa?
 
Unataka Afrika Mashariki na Kati. Simba na Yanga zitakuwa kubwa. AFRIKA hell No! Huwezi kujiita timu kubwa kwa kuishia robo fainali wakati wakubwa wakiishia robo fainali kocha anakuwa hatarini kutimuliwa na wengi hutimuliwa. Wydad wangetolewa na Simba kocha saa hizi angekuwa jobless. Zitazame timu zilizo nusu fainali ya CAF CL. Ndio timu nne za mwisho kuwahi kutwaa taji la michuano hiyo. Ukipitia list ya mabingwa wa karibuni hutaona timu nyingine yoyote mpaka ukutane na kila moja kati ya hizo nne zilicho nusu fainali. Huo ndio ukubwa. Sio kufika robo fainali. Acha ujuha.
Ww ni kilaza kweli kama ni hivyo basi CAF isingekuwa inatoa dau la pesa kwa timu zinazo inangia kuanzia kwenye makundi na kuendelea badala yake Bingwa pekee ndo angekuwa anapokea pesa.

Kwa hiyo Evaton ni kubwa kama Man City kwa sababu Man City huwa anaishia nusu fainal ya UEFA kila mwaka?

Wenye mamlaka ya mpila barani Afrika wameuona ukubwa wa Simba na ndio maana wameiweka nafasi ya 9 kwa ubora barani Afrika hali ya kuwa timu yako Utopolo haipo hata kwenye 20 bora alafu ww mla mihigo unapinga kama nani?
 
Kwahiyo tumsikilize nani kati ya CAF na ww kilaza usiye kuwa na nyuma wala mbele?
CAF wameona Simba ni bora na ndio maana iko nafasi ya 9 kwa ubora barani Afrika sasa ww ni nina na unamamlaka gani ya kimpira kilipinga hilo.

Fika kwanza hiyo robo fainal na uivuke ndo uje kubeza na sio kubeza mafanikio ya mwenzako hali ya kuwa ww hayo mafanikio hujawahi kufika.

Kama simba mbovu kisa kuishia robo fainal kila mwaka vipi kuhusu timu yako Utopolo inayo ishia raundi ya kwanza au ya pili kila mwaka si ndo itakuwa mavi na matapishi kabisa?
UKINIJIBU HAPA NAONDOKA JF
Simba imecheza Robo Hizo nyingi ndani ya uwekezaji wa Mo Kipindi hicho Yanga inajitafta ikisumbuliwa na ukata mkubwa Leo Yanga imepata Mdhamini anatoa mpunga kama Mo, Yanga ndani ya msimu mmoja wa ubora wake inaenda Kufika Nusu ya Caf Confederation Cup kombe ambalo hata nyie ndani ya misimu yenu bora na chini ya uwekezaji wa Mo mliishia nako Robo.
WE SIO CHIZI HUONI
 
Simba imecheza Robo Hizo nyingi ndani ya uwekezaji wa Mo Kipindi hicho Yanga inajitafta ikisumbuliwa na ukata mkubwa Leo Yanga imepata Mdhamini anatoa mpunga kama Mo, Yanga ndani ya msimu mmoja wa ubora wake inaenda Kufika Nusu ya Caf Confederation Cup kombe ambalo hata nyie ndani ya misimu yenu bora na chini ya uwekezaji wa Mo mliishia nako Robo.
WE SIO CHIZI HUONI
Simba kaanza kupata mafanikio kwenye mashindano ya CAF hata kabla ya Mo kuja simba.
Simba imesha fika fainal ya kombe ambalo kwa sasa linaitwa shirikisho na pia kafika nusu fainal ya kombe ambalo kwa sasa linaitwa klabu bingwa.
 
Ww ni kilaza kweli kama ni hivyo basi CAF isingekuwa inatoa dau la pesa kwa timu zinazo inangia kuanzia kwenye makundi na kuendelea badala yake Bingwa pekee ndo angekuwa anapokea pesa.

Kwa hiyo Evaton ni kubwa kama Man City kwa sababu Man City huwa anaishia nusu fainal ya UEFA kila mwaka?

Wenye mamlaka ya mpila barani Afrika wameuona ukubwa wa Simba na ndio maana wameiweka nafasi ya 9 kwa ubora barani Afrika hali ya kuwa timu yako Utopolo haipo hata kwenye 20 bora alafu ww mla mihigo unapinga kama nani?
Usifananishe Man City na upumbavu. Tunavyoongea wako kwenye nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa. Na msimu uliopita walicheza nusu fainali. Msimu wa nyuma walifika fainali. Na kubwa zaidi ni kwamba timu kama Chelsea na Liverpool ambazo zimechukua taji la Ulaya kwenye miaka ya karibuni zinajua shughuli ya Man City kwenye ligi ya ndani. Ambapo Man City ni bingwa mara nne kwenye misimu mitano iliyopita. Shoga yangu usitaje neno Simba sambamba na Man City.
 
Kwan Atletico hua haifiki hadi Fainal Tena huenda nimekosea hadi kuwalinganisha na Atletico wale hua wanafika had fainal ila wanafungwa nyie mnaishia Robo kila msimu.
Labda ungeniita Chizi kwa kulinganisha Team inayofikaga Fainal na ile kila msimu inaishia robo.
Ila ukweli Simba ni Team Ngumu sio kubwa we chizi.ELEWA
  • Sijataja FAINALI popote.
  • Uchizi ni neno lako, hivyo nadhani linapaswa kurudi kwako.
  • Sasa Simba imekuwa NGUMU, sio kubwa!

Naam, umekosea sana kuifananisha Simba na Atletico, ungeanza na za hapa hapa ndani ya Africa kwanza, hatuna tunachofanana na Ulaya, kwa kila kitu. Ni malimwengu mbili tofauti.

Pitia tena andiko lako, kisha useme;
  • Simba sio timu kubwa kwa mujibu wa?
  • Simba ni timu ngumu kwa mujibu wa?
 
Simba kaanza kupata mafanikio kwenye mashindano ya CAF hata kabla ya Mo kuja simba.
Simba imesha fika fainal ya kombe ambalo kwa sasa linaitwa shirikisho na pia kafika nusu fainal ya kombe ambalo kwa sasa linaitwa klabu bingwa.
BIG CRAZY lete hapa udhibitisho kua simba kacheza fainali ya kombe linaloitwa sasa shirikisho,Au ndio zile za kuambiwa?
Mkuu una watoto au wadogo zako?
 
  • Sijataja FAINALI popote.
  • Uchizi ni neno lako, hivyo nadhani linapaswa kurudi kwako.
  • Sasa Simba imekuwa NGUMU, sio kubwa!

Naam, umekosea sana kuifananisha Simba na Atletico, ungeanza na za hapa hapa ndani ya Africa kwanza, hatuna tunachofanana na Ulaya, kwa kila kitu. Ni malimwengu mbili tofauti.

Pitia tena andiko lako, kisha useme;
  • Simba sio timu kubwa kwa mujibu wa?
  • Simba ni timu ngumu kwa mujibu wa?
Simba sio timu kubwa kwa sababu ukubwa wa Team unapimwa kwa kuchukua kikombe cha mashindano hayo.
Hivi nikuulize Mkuu Mfano Azam isingekua imetwa kombe la Ligi kwenye historia yake na kwa misimu 5 ya saivi ilivyo hii Team,Mtu angekuuliza ungeweza kusema nayo ni Team kubwa au ungesema ni Team inayotoaga ushindani?
 
Simba sio timu kubwa kwa sababu ukubwa wa Team unapimwa kwa kuchukua kikombe cha mashindano hayo.
Hivi nikuulize Mkuu Mfano Azam isingekua imetwa kombe la Ligi kwenye historia yake na kwa misimu 5 ya saivi ilivyo hii Team,Mtu angekuuliza ungeweza kusema nayo ni Team kubwa au ungesema ni Team inayotoaga ushindani?
Boss, Azam ni timu kubwa iliyo dhaifu kwa sasa! Kubwa tu hapa kwetu ila sio nje ya mipaka.
- Namungo na Azam, nani mkubwa?

Ngoja nivuke mipaka kidogo, Manchester United, ni timu kubwa ila imekuwa dhaifu kwa muda mrefu sasa!

Arsenal, Chelsea, ManCity, Liverpool, zote ni kubwa! Mbili zina UEFA cup, mbili hazijawahi kugusa hilo kombe.

Nirudi ndani, Azam, kwenye ligi yetu, bado ni timu kubwa pamoja na kutokuwa na mafanikio hayo uliyoyataja. Akienda CAF kule, ni underdog kama wanavyosema wenyewe.
 
Usifananishe Man City na upumbavu. Tunavyoongea wako kwenye nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa. Na msimu uliopita walicheza nusu fainali. Msimu wa nyuma walifika fainali. Na kubwa zaidi ni kwamba timu kama Chelsea na Liverpool ambazo zimechukua taji la Ulaya kwenye miaka ya karibuni zinajua shughuli ya Man City kwenye ligi ya ndani. Ambapo Man City ni bingwa mara nne kwenye misimu mitano iliyopita. Shoga yangu usitaje neno Simba sambamba na Man City.
Ndio maana mashabiki wa utopolo nawaita vilaza sasa unacho kataa na unacho kubali ni kipi hapo?
Ww si ndo umesema kuwa kuchukua kombe ndo mafanikio ya timu sasa iweje uisifu man City kwa kuishia nusu fainal na fainal?
Kama ni kufika fainal Simba amesha cheza fainal ya kombe ambalo kwa sasa lana julikana kama shirikisho.

Kama ni nusu fainal Simba imesha cheza nusu fainal ya mashindano ambayo kwa sasa yanajulikana kama kilabu bingwa.

Kama unaitambua ukubwa wa Man City kisa ubingwa wa uingeleza vipi kuhusu simba ambaye alichukua ubingwa mara 4 mfururulizo?
 
BIG CRAZY lete hapa udhibitisho kua simba kacheza fainali ya kombe linaloitwa sasa shirikisho,Au ndio zile za kuambiwa?
Mkuu una watoto au wadogo zako?
Kwa hiyo Simba alifungwa na SteraAbjan kwenye fainal ya kombe gani? Punguza ukiraza ww utopolo.
 
Ndio maana mashabiki wa utopolo nawaita vilaza sasa unacho kataa na unacho kubali ni kipi hapo?
Ww si ndo umesema kuwa kuchukua kombe ndo mafanikio ya timu sasa iweje uisifu man City kwa kuishia nusu fainal na fainal?
Kama ni kufika fainal Simba amesha cheza fainal ya kombe ambalo kwa sasa lana julikana kama shirikisho.

Kama ni nusu fainal Simba imesha cheza nusu fainal ya mashindano ambayo kwa sasa yanajulikana kama kilabu bingwa.

Kama unaitambua ukubwa wa Man City kisa ubingwa wa uingeleza vipi kuhusu simba ambaye alichukua ubingwa mara 4 mfururulizo?
Wewe ni stupid wa mwisho kabisa. Hapa Tanzania hakuna timu iliyoshinda taji la Afrika. Tofauti na ligi anayocheza Man City ambapo timu zimechukua ubingwa wa Ulata na yeye amezigeuza midoli. Usijitoe akili Juma Lokole.
 
Simba sio timu kubwa kwa sababu ukubwa wa Team unapimwa kwa kuchukua kikombe cha mashindano hayo.
Hivi nikuulize Mkuu Mfano Azam isingekua imetwa kombe la Ligi kwenye historia yake na kwa misimu 5 ya saivi ilivyo hii Team,Mtu angekuuliza ungeweza kusema nayo ni Team kubwa au ungesema ni Team inayotoaga ushindani?
Vipi kuhusu PSG, Arsenal,Man city nazo ni timu ndogo kisa hazijawahi kuchukua ubingwa wa UEFA?
 
Vipi kuhusu PSG, Arsenal,Man city nazo ni timu ndogo kisa hazijawahi kuchukua ubingwa wa UEFA?
Timu kubwa hazitumii nguvu kujieleza kuhusu ukubwa wake shoga yangu. Ukitaja tu Al Ahly mtu anaelewa umetaja dude kuuubwa. Ukisema tu Wudad watu wanatetemeka. Hawahitaji maelezo zaidi. Ukitamka neno Mamelodi mtu haulizi swali. Ukitoka huko na kusema Esperance inaeleweka ukubwa wake mara moja. Ukiona unahitaji kuandika paragraph kibao kujustify ukubwa basi tofauti yako na Geita Gold ni ndogo mno.
 
Wewe ni stupid wa mwisho kabisa. Hapa Tanzania hakuna timu iliyoshinda taji la Afrika. Tofauti na ligi anayocheza Man City ambapo timu zimechukua ubingwa wa Ulata na yeye amezigeuza midoli. Usijitoe akili Juma Lokole.
Stupid mwenyewe na utoporo wenzio mlio jaza fuza kichwani badala ya ubongo,sasa kama hakuna timu iliyo shinda kombe la Africa nchini Tz nyinyi utopolo nnacho icheka simba ni kitu gani kama sio matahira?
Mnarazimisha simba achukue ubingwa wa Afrika hali ya kuwa nyinyi timu yenu hiajawahi hata kufika robo fainal ya hilo kombe ambalo mnarazimisha simba achukue?
Kwa hoja yako tukubaliane kuwa Simba na Yanga wote ni Viraza ila Simba ni kiraza mwenye afadhari wakati yanga akiwa na ukilaza wa kutupwa jalalani kabisa.
 
Back
Top Bottom