Mnaosukuma walemavu wa viungo kwenye baiskeli kuomba msaada, ni vyema hiyo nguvu mkaitumia kufanya kazi ili muweze kuwasaidia kwa uhakika hao walemavu

Mnaosukuma walemavu wa viungo kwenye baiskeli kuomba msaada, ni vyema hiyo nguvu mkaitumia kufanya kazi ili muweze kuwasaidia kwa uhakika hao walemavu

FRANCIS DA DON

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2013
Posts
38,920
Reaction score
44,970
Kwanza niwapongeze kwa moyo wenu wa kujitoa katika kuwasaidia watu wasiojiweza (walemavu wa viungo) ambapo huwa mnawasukuma kwenye maeneo mbali mbali ili basi walau waweze kupata msaada wa chochote kitu ili maisha yaende, na hapa simsemi mtu vibaya, maana hujafa hujaumbika.

Ila mimi nilikuwa nashauri tu, kwamba badala ya kuwasukuma siku nzima ambapo pesa inayopatikana ndio mnanyang’anyana na huyo mlemavu, na pia bila kusahau kwamba mmiliki wa baiskeli nae jioni anataka hesabu kama daladala inavyopeleka hesabu, ni kwanini tu msifanye vibarua flani flani basi walau ipatikane pesa ya uhakika zaidi na ya kutosha kuliko kubangaiza mia 5 mia 5 ambazo si za uhakika sana.

Nashauri tu, kwani wadau mnasemaje?

================================
Update: 02/01/2021

=================================
Update: 03/02/2021


==================================
Update: 04/01/2021


==================================
Update: 05/01/2021
Kamata kamata ya wanaofanya biashara haramu ya kuweka walemavu kmabini na kuwatumikisha kazi za kwenda kuomba



==================================
Update: 09/03/2022

 
Hapo inategemeana na anae sukuma. Kuna mwingine unaona kabisa ni baba mtu mzima anasukuma katoto kadogo unaona kabisa huyu ni muhujumu uchumi.

Mara nyingi huwa wanapita kwenye bar muda kama huu. Anaomba 500 huku umeweka serengeti mezani na nyama kwa aibu inabidi utoe tu
 
Hapo inategemeana na anae sukuma. Kuna mwingine unaona kabisa ni baba mtu mzima anasukuma katoto kadogo unaona kabisa huyu ni muujumu uchumi.
Mara nyingi huwa wanapita kwenye bar muda kama huu. Anaomba 500 huku umeweka serengeti mezani na nyama kwa aibu inabidi utoe tu
Nimepost hii mada muda huu baada ya kukutwa na kadhia kama hiyo muda si mrefu, ame-time wakati ugali mkubwa na rosti nzinto ya kuku inafuka moshi mezani na castlelite ya baridii inatoka jasho, halafu bahati mbaya nilikuwa na misimbazi tu mfukoni, ikabidi kwa aibu sana nimeambie rudi baadae..😂😂
 
Hili swala kulizungumzia kwa ujumla ni gumu kidogo, Kuna wengine ukikutana nao tu unajikuta unapata huruma ya kusaidia ila wengine unaona kabisa ni kujiendekeza.
mchango wangu mimi ni namna nitavyoguswa na swala husika kutoka moyoni kama sijaguswa hata kama ninayo siwezi kutoa ni heri nikanunua bidhaa kwa watoto naona wanahangaika na umachinga barabarani, roho huwa inaniuma sana.
 
Kwanza niwapongeze kwa moyo wenu wa kujitoa katika kuwasaidia watu wasiojiweza (walemavu wa viungo) ambapo huwa mnawasukuma kwenye maeneo mbali mbali ili basi walau waweze kupata msaada wa chochote kitu ili maisha yaende, na hapa simsemi mtu vibaya, maana hujafa hujaumbika.

Ila mimi nilikuwa nashauri tu, kwamba badala ya kuwasukuma siku nzima ambapo pesa inayopatikana ndio mnanyang’anyana na huyo mlemavu, na pia bila kusahau kwamba mmiliki wa baiskeli nae jioni anataka hesabu kama daladala inavyopeleka hesabu, ni kwanini tu msifanye vibarua flani flani basi walau ipatikane pesa ya uhakika zaidi na ya kutosha kuliko kubangaiza mia 5 mia 5 ambazo si za uhakika sana.

Nashauri tu, kwani wadau mnasemaje?
Nishawahi waza hili jambo
 
Hapo inategemeana na anae sukuma. Kuna mwingine unaona kabisa ni baba mtu mzima anasukuma katoto kadogo unaona kabisa huyu ni muujumu uchumi.

Mara nyingi huwa wanapita kwenye bar muda kama huu. Anaomba 500 huku umeweka serengeti mezani na nyama kwa aibu inabidi utoe tu
Daah
 
Kwanza niwapongeze kwa moyo wenu wa kujitoa katika kuwasaidia watu wasiojiweza (walemavu wa viungo) ambapo huwa mnawasukuma kwenye maeneo mbali mbali ili basi walau waweze kupata msaada wa chochote kitu ili maisha yaende, na hapa simsemi mtu vibaya, maana hujafa hujaumbika.

Ila mimi nilikuwa nashauri tu, kwamba badala ya kuwasukuma siku nzima ambapo pesa inayopatikana ndio mnanyang’anyana na huyo mlemavu, na pia bila kusahau kwamba mmiliki wa baiskeli nae jioni anataka hesabu kama daladala inavyopeleka hesabu, ni kwanini tu msifanye vibarua flani flani basi walau ipatikane pesa ya uhakika zaidi na ya kutosha kuliko kubangaiza mia 5 mia 5 ambazo si za uhakika sana.

Nashauri tu, kwani wadau mnasemaje?
Zile mostly ni ajira za watu Mzee. Usiku mahesabu

Hao wanaosukuma asilimia kubwa, wameajiruwa kwenye vituo vya watu janja janja wanaojifanya wanalea hao walemavu.

Mjini hapa.

Hata ukiona mtu anatembeza karanga, possibly kuna boss wake.
 
Mkuu ww unacho kibarua cha kuwapatia?
 
Nimepost hii mada muda huu baada ya kukutwa na kadhia kama hiyo muda si mrefu, ame-time wakati ugali mkubwa na rosti nzinto ya kuku inafuka moshi mezani na castlelite ya baridii inatoka jasho, halafu bahati mbaya nilikuwa na misimbazi tu mfukoni, ikabidi kwa aibu sana nimeambie rudi baadae..[emoji23][emoji23]
Afu ndio zao msosi ukiwekwa tu ile umepiga tonge la kwanza tu wao ndio wanatokea ili uone noma...
 
Back
Top Bottom