FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
- Thread starter
- #61
AiseeHao walemavu wanaosukumwa hakuna mtoto wa umri wa shule
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AiseeHao walemavu wanaosukumwa hakuna mtoto wa umri wa shule
Mkuu, kuna makala fulani waliioa mwananchi kama sio mwaka jana basi ni mwaka juzi.
Hao ombaomba wanamilikiwa na watu fulani, huyo msukumaji ni kubarua tu, analipwa kwa siku au mwezi. Wote hupangiwa chumba guest house na kuishi hapo.
Jioni boss hufuata hesabu yake kama kawaida. Kwa ufupi ni biashara za watu kabisa. Na hupata kuanzia 50k mpaka 150k kutegemea na msimu na maeneo wanayopita au mji wanaoishi.
Daah, inasikitisha sanaIlishawahi kuandikwa
Daah, inasikitisha sana