Sijui una umri gani lkn nadhani ukoo wenu mna laana si bure yani we mbuzi huoni umuhimu wa katiba mpya kwa hali tuliyo nayo kwl!!!!? Unaelewa kbs watz ni wanyonge kama alivowaita Magufuli yani hawawezi kujijitea,, sasa wanatokea watu wa kuona mbali wanadai katiba ni mbovu we unakinzana nao,,,Ebu fikiria jamii za kusini na hata kanda ya ziwa(sukuma) wanajua nini juu ya Rais kuwa kila kitu hapa nchini( mungu mtu) hapana shaka jamii kama hizi lazima wawepo watu ambao watatenda kwa ajili yao hasa kuhusu mambo ambayo kwao wala hawajui chochote zaidi ya kula,kulala na kusubiri kufa.Na ccm ndio furaha yao kuwa na watu short sighted kama hao.