Mnaotaka Katiba Mpya nawapa hoja

Mnaotaka Katiba Mpya nawapa hoja

Mkoloni wetu muingereza katiba yake ina miaka 120+ na sisi katiba yetu hii tunataka ifike miaka 150,chadomo nyie fanyeni ugaidi tu[emoji23][emoji1787]
unalinganisha mkoloni mwingereza na hawa nyani?
 
Hivi wale mnaopingana na mawazo ya mwanzisha uzi tuwaeleweje?
Kwani anapinga dai la katiba?
Si ametoa na kwanini katiba mpya ni hitaji.
Wazo lake ni nani na kwanini anaipambania. Amesema WANASIASA basi.
 
Hivi wale mnaopingana na mawazo ya mwanzisha uzi tuwaeleweje?
Kwani anapinga dai la katiba?
Si ametoa na kwanini katiba mpya ni hitaji.
Wazo lake ni nani na kwanini anaipambania. Amesema WANASIASA basi.
Kwani umezuiliwa kumuunga mkono wewe?
 
Katiba mpya ni dai linalotokana na utashi wa kisiasa kwa kiwango kikubwa lakini pia ni zao la mwamko mkubwa wa wananchi kuchoshwa na namna wanavyoongozwa.
Na mara nyingi kuchoshwa huku lazima kutokane na kukata tamaa ya maisha kwa walio wengi lakini pia kupata mwamko mkubwa wa elimu ya uraia.
Bahati mbaya ni kwamba wapigania katiba wa sasa wanataka katiba iwasaidie kwenye mapambano ya kisiasa, ndio maana hii ajenda ni ngumu sana.

Mimi Mbona Sio Mwanasiasa Lakini Napigania Katiba Mpya
 
Mkoloni wetu muingereza katiba yake ina miaka 120+ na sisi katiba yetu hii tunataka ifike miaka 150,chadomo nyie fanyeni ugaidi tu[emoji23][emoji1787]
Mwingereza hana katiba ya kubambikia watu kesi za kipuuzi, wizi wa kura au polisi kuzuia mikutano ya watu, ya mwingereza acha idumu ila hii ya CCM mpaka kieleweke na itabadilishwa tuu
 
Katiba mpya ni dai linalotokana na utashi wa kisiasa kwa kiwango kikubwa lakini pia ni zao la mwamko mkubwa wa wananchi kuchoshwa na namna wanavyoongozwa.
Na mara nyingi kuchoshwa huku lazima kutokane na kukata tamaa ya maisha kwa walio wengi lakini pia kupata mwamko mkubwa wa elimu ya uraia.
Bahati mbaya ni kwamba wapigania katiba wa sasa wanataka katiba iwasaidie kwenye mapambano ya kisiasa, ndio maana hii ajenda ni ngumu sana.
Huu nao ni uzi????[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Inaweza ikawa na miaka hata 500 but inakidhi mahitaji ya msingi kwa kiasi gani kwa mfano haki,utu ,uwajibikaji na mamlaka...wenzetu haya mambo waliyaona mapema sana na ndio maana tawala zao zinaheshimu katiba kwa sababu mamlaka yao yana mipaka stahiki
Wazungu wanaweza kufanya prediction ya Miaka 100 mbele,,ccm hata mwaka mmoja mbele hawawezi kupanga
 
Mwingereza hana katiba ya kubambikia watu kesi za kipuuzi, wizi wa kura au polisi kuzuia mikutano ya watu, ya mwingereza acha idumu ila hii ya CCM mpaka kieleweke na itabadilishwa tuu
Hizi ni ngonjera na blah blah blah za waropokaji na wapayukaji wenyewe wanajiita wapinzani [emoji23][emoji1787]
 
Hizi ni ngonjera na blah blah blah za waropokaji na wapayukaji wenyewe wanajiita wapinzani [emoji23][emoji1787]
Bila kuiba kura leo kusingekuwa na CCM au wajinga wa Taifa kama wewe
 
Katiba mpya ni dai linalotokana na utashi wa kisiasa kwa kiwango kikubwa lakini pia ni zao la mwamko mkubwa wa wananchi kuchoshwa na namna wanavyoongozwa.
Na mara nyingi kuchoshwa huku lazima kutokane na kukata tamaa ya maisha kwa walio wengi lakini pia kupata mwamko mkubwa wa elimu ya uraia.
Bahati mbaya ni kwamba wapigania katiba wa sasa wanataka katiba iwasaidie kwenye mapambano ya kisiasa, ndio maana hii ajenda ni ngumu sana.
kwani katiba hiyo mpya itatokana na vikao vya wanasiasa au itatokana na maoni ya wananchi kwa ujumla??
 
Back
Top Bottom