Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
- Thread starter
-
- #61
Africa tofauti na ulaya kakaKwa hiyo walitembea na miguu au vp ? Mdogo wangu ulishawah kufika hata hapo Kenya au Uganda huku mfukoni ukiwa huna hata mia mbovu
Hongera mwenzetu utakufa kisomiUnatania aisee? Yaani uzamie Marekani sababu umeshindwa kwenda legally, alafu hapohapo uende kuishi sehemu expensive duniani kama New York?
Kama alikuwa na uwezo wa kuishi New York then kwanini azamie sasa? Unajua kuna watu wanaamini hizi stori bila kufikiria alafu mwisho wa siku wanakuja kufa kizembe kama wale watanzania kule Israel.
Kitu cha kawaida mbonaNikajua umeenda mbele, nlitaka kushangaa
Kwamba she can't go abroad au??Nikajua umeenda mbele, nlitaka kushangaa
Weeeee kaaa hapa hapa kwenye vumbi la bongo na jua likutandike kisawasawaKitu cha kawaida mbona
Wametia lini limit, hii ni hujuma kwa watafutajiBorder ya mexico this time ni ngumu na ukikamaywa ukiwa unavuk daraja wanakurufisha mexico
Ukiomba asylum pia all the processes will be done while you're in Mexico
Bora na wewe useme mkuu maana wengine tukisema tunaonekana watoto wa mama mara tunakaa kwa shemeji, mtu hakujui halafu anakuletea personal attacks kisa tu umemuambia ukweli, halafu bora angekuwa labda amewahi kuzamia hata hapo nchi jirani tu hajawahi yuko madongo kuinama huko ila anakuja hapa kupotosha watu kwa mambo ya kijinga na ya kusimuliwaUSA kama huna Social security number sahau kufanya kazi legally.
Utafanya kazi illegally chini ya maji na mshahara wako itategemea maamuzi ya aliyekupa kazi kinyume na sheria.
Na Incase ukadakwa derpotation ina kuhusu na huyo aliyekupa kazi bila kufata sheria mahakama inamhusu.
Huyu mwamba aliwahi kuleta uzi wa kusifia vifua vya wanaumeKo ukiwa shoga, huko [emoji631] unakula bata tyuuh??
Hakuna kitu kirahisi hata hapa bongo ni pamoto tu..so ugumu wa maisha USA huwezi fananisha na bongo mengine ni akili kumkichwaSoma tena vizuri comment yangu, sijakataza watu wazamie ila wasiwadanganye wenzao kwamba ni rahisi kiasi hicho, tena ukizingatia kwa nchi yetu ambayo haina uraia pacha na passport tu kupata ni ishu
Haha mambo mengine fika uyakute tu sio kuanza kutishana ni wangapi wemetua na b1/b2 visa leo hii wana SSN hakuna kinachoshindikana kiwanja kitu cha kwanza ni kufika mengine hukohukoUoga mbaya Sana
Tatizo siyo ugumu wa maisha tatizo ni ugumu wa kupata papers, hebu waulize watu wanaoishi bila makaratasi huko ughaibuni wanaishije, na wale waliojaribu kuyapata kwa njia za panya walipitia mangapi na wengine yaliwakuta yepiHakuna kitu kirahisi hata hapa bongo ni pamoto tu..so ugumu wa maisha USA huwezi fananisha na bongo mengine ni akili kumkichwa
Unatoa mawazo ya kuingia USA huku umeegemea mgomba kijijini...ni bora kutafuta maisha popote pale kuliko kuingia kwa hao jamaa na vibali vya kazi vikiwa haviko sawa itakuchukua muda mrefu kidogo kukaa sawa na ukiwa hauna vibali utafanya kazi za hovyo hovyo ili uweze kulipa kodi na lishe....
Usikariri kufata taratibu,karatasi zinapatikana hata kwa mchongo.Mpwayungu acha mawazo yako ya vijiwe vya kahawa hapo Chamwino, USA sio kama Chipogoro tulia uelekezwe acha ubishi,kwanza nani atakupa kazi ukiwa huna work permit hata moja?! Usione wale wanaolala barabaran wanapenda, Hupewi hata kazi ya kuzibua vyoo ukiea huna kibali hata kimoja na ukianza process za kutafuta hivyo vibali ndio zitaanza hizo kesi za ulifika vipi hapa USA, Matokeo yake ni deportation au kifungo ndani ya USA
Hapa tunaongea kwa wazamiaji, mabaharia na watafutaji wagumu ani sio mtoto wa mama.
Process za kutoka bongo direct to USA πΊπΈ ni ngumu isitoshe inavigezo pia ni expensive, Sasa chakufanya wew kama Una dollar 2500 inatosha kabisa kwenda USA πΊπΈ
Nenda Bahamas coz ni free visa entry, ni wewe na passport yako tu mkononi kama unavyoenda Kenya na Burundi tu hawama mambo mengi sijui wakuhoji nn amna
The distance in mile from Bahamas mpaka Miami Florida kwa upande wa marekani ni almost mile 25 tu ni kama dar to chalinze.
Pale Bahamas utawakuta wajuba kutoka Mexico Wana boti zao unatoa kama dollar 500 ivi wanakuvusha kwa boti kimagendo lakini, ukifika tu pale mwambaoni wanawamwageni afu nyie mnakimbilia lami barabarani tayari uko ndani ya USA πΊπΈ.
MIMI broo wangu mwezi ulopita katumia iyo njia saizi yupo zake NEW YORK CITY anakula maisha.
N. B. more is lost by indecision than by wrong decisions.
Hajui kuwa hizo Kaz za hovyo kwa USA malipo yake ni kama ya mbunge kwa mweziKazi za hovyo ndo kazi gani
Hawajui hawaUsikariri kufata taratibu,karatasi zinapatikana hata kwa mchongo.
Kumbe wewe mwenyewe umesimuliwa halafu ndiyo unatusimulia?Gogoz umekuwaje wewe?ππHapa tunaongea kwa wazamiaji, mabaharia na watafutaji wagumu ani sio mtoto wa mama.
Process za kutoka bongo direct to USA πΊπΈ ni ngumu isitoshe inavigezo pia ni expensive, Sasa chakufanya wew kama Una dollar 2500 inatosha kabisa kwenda USA πΊπΈ
Nenda Bahamas coz ni free visa entry, ni wewe na passport yako tu mkononi kama unavyoenda Kenya na Burundi tu hawama mambo mengi sijui wakuhoji nn amna
The distance in mile from Bahamas mpaka Miami Florida kwa upande wa marekani ni almost mile 25 tu ni kama dar to chalinze.
Pale Bahamas utawakuta wajuba kutoka Mexico Wana boti zao unatoa kama dollar 500 ivi wanakuvusha kwa boti kimagendo lakini, ukifika tu pale mwambaoni wanawamwageni afu nyie mnakimbilia lami barabarani tayari uko ndani ya USA πΊπΈ.
MIMI broo wangu mwezi ulopita katumia iyo njia saizi yupo zake NEW YORK CITY anakula maisha.
N. B. more is lost by indecision than by wrong decisions.