Mnaotaka kujua ukweli kuhusu mzozo wa Israel na Palestina na yupi ni mkaidi piteni hapa

Mnaotaka kujua ukweli kuhusu mzozo wa Israel na Palestina na yupi ni mkaidi piteni hapa

PakiJinja

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2012
Posts
11,689
Reaction score
25,848
Kuna wale waliodanganywa na wachonga hadithi kwamba Wayahudi hawakuwepo pale ila walikusanywa kutoka Ulaya na Mwaka 1947 wakapelekwa pale baada ya kukataa kupelekwa Uganda huu ndiyo wakati wa kuyaondoa matongotongo akilini.

Nimewatufutieni clip hii kwa makusudi. Hii vielelezo vyake vyote vipo.

Kwa kifupi, waarabu ndiyo wanao wajaza ujinga wapalestina, huku Waarabu haohao hawataki kabisa wakimbizi wa Kipalestina kwenye nchi zao na siyo wakimbizi tu hata kuishi, mpaka wawaruhusu ujue hao wana makubaliano maalum nao.

 
Kuna wale waliodanganywa na wachonga hadithi kwamba Wayahudi hawakuwepo pale ila walikusanywa kutoka Ulaya na Mwaka 1947 wakapelekwa pale baada ya kukataa kupelekwa Uganda huu ndiyo wakati wa kuyaondoa matongotongo akilini.

Nimewatufutieni clip hii kwa makusudi. Hii vielelezo vyake vyote vipo.

Kwa kifupi, waarabu ndiyo wanao wajaza ujinga wapalestina, huku Waarabu haohao hawataki kabisa wakimbizi wa Kipalestina kwenye zao na siyo wakimbizi tu hata kuishi, mpaka wawaruhusu ujue hao wana makubaliano maalum nao.

View attachment 2777236
Sija angalia video clip yako kwa sababu najua hiko overly biased - nani ambaye hajui kwamba Waisrael walishauliwa kwenda Uganda wakakataa - soma vizuri jinsi Taifa la Israel lilivyo anzishwa na western Nations specifically Uingereza na Merikani na kupewa silaha including ndege za vita kuwaonea Wapalestina na kuanzisha makazi taifa ambalo hapo hawali alikuwepo kabisa - lilikuwepo taifa la Palestine sio Israel - Israel ilibuniwa na western Nation for Geopolitical reasons by dividing some hypocritical Arabs nations kutokana na utajiri wa mafuta waliokuwa nao. Waisrael ni binadamu wa ajabu sana na wakatiri, selfish na racists nyie hamjui tu vurugu zote Duniani zinatokana na vyombo vyao vya habari vinavyo eneza habari za uongo na uonezi ili kuvidaidia viwandavyao vyakutengeneza silaha za vita MIC majority ambavyo wamiliki wao wakubwa ni Waisrael hivyo kwao vita ni sehemu ya biashara.
 
Sija angalia video clip yako kwa sababu najua hiko overly biased - nani ambaye hajui kwamba Waisrael walishauliwa kwenda Uganda wakakataa - soma vizuri jinsi Taifa la Israel lilivyo anzishwa na western Nations specifically Uingereza na Merikani na kupewa silaha including ndege za vita kuwaonea Wapalestina na kuanzisha makazi taifa ambalo hapo hawali alikuwepo kabisa - lilikuwepo taifa la Palestine sio Israel - Israel ilibuniwa na western Nation for Geopolitical reasons by dividing some hypocritical Arabs nations kutokana na utajiri wa mafuta waliokuwa nao. Waisrael ni binadamu wa ajabu sana na wakatiri, selfish na racists nyie hamjui tu vurugu zote Duniani zinatokana na vyombo vyao vya habari vinavyo eneza habari za uongo na uonezi ili kuvidaidia viwandavyao vyakutengeneza silaha za vita MIC majority ambavyo wamiliki wao wakubwa ni Waisrael hivyo kwao vita ni sehemu ya biashara.
Kama unakubaliana kuwa Kuna watu walipelekwa Israel kutoka Ulaya ..je hao ni kina nani ,! Ina maana Ndio ilikuwa asili Yao hapo.Tusiangalie Historia kuanzia 1947 ...Rudi nyuma zaidi!
Katika hali yoyote Ile misuguani ya Kiraifa na Kikabila ya mania ya miaka nyuma ,yanazidi kuitafuna Mashariki ya Kati!
Mungu watoke nje ya box wakubali kukubaliana Kwa kutokubaliana
 
Waisrael walishauliwa kwenda Uganda wakakataa
Kwa hiyo wewe ulitaka waende Uganda?
Kwanini washauriwe Wayahudi kuondoka Ulaya? Kwanini wasishaliwe waafrika, kwanini siyo wahindi?
- soma vizuri jinsi Taifa la Israel lilivyo anzishwa na western Nations specifically Uingereza na Merikani
Nimeisoma vizuri sana, kuliko unavyofikiri umeisoma na kuielewa.
Wapalestina na kuanzisha makazi taifa ambalo hapo hawali alikuwepo kabisa
Halikuwepo taifa, lakini hao walioanzisha hilo taifa ambalo halikuwepo, walikuwepo hapo kutambo hata Palestina waliwakuta watu hao. Kwa kuwa Tanganyika haikuwepo kama taifa, hiyo haikuwa sababu kunyimwa uhuru. Maana waliodai uhuru walionyesha uwezo wao katika kuungana kama taifa, kuja pamoja, kusikilizana na kujitawala.
- lilikuwepo taifa la Palestine sio Israel -
Hapajawahi kuwepo na taifa la Wapalestina hsta lingekuwepo hakuondoi uwepo wa watu wa jamii nyingine, Palestina ilikuwepo kama jamiu na mamlaka yao kwa ajili ya Wapalestina, Wayahudi hawakuwahi kukubali kuitwa Wapalestina, walitaka utambulisho wao.
Israel ilibuniwa na western Nation for Geopolitical
reasons by dividing some hypocritical Arabs
nations kutokana na utajiri wa mafuta waliokuwa nao.
Mnajichanganya sana, awali umesema US na Uingereza walutaka wawapeleke Uganda wakakataa. Huko unakozidi kwenda unaisahau sababu yako ya awali kuwa US na Uingereza walitaka kuwapeleka Uganda (sasa sijui Uganda napo kuna waarabu?), Unaibua madai mapya kuwa waliunda taifa la Israel na kulipeleka Mashariki ya kati ili kuwagawa waarabu kwa lengo la wao kufaidika na mafuta, sasa unataka tushike kipi?😃😃
Waisrael ni binadamu wa ajabu sana na wakatiri, selfish na racists
Aaah, acha mkuu, usiniambie!! Nilikua sijui kabisa, nsshukuru kwa taarifa.




nyie hamjui tu vurugu zote Duniani zinatokana na vyombo vyao vya habari vinavyo eneza habari za uongo na uonezi
Habari nzuri siyo lazima wewe uipende. Hivi unajua kuwa ili Mpalestina aweze kuingia nchi za kiarabu zile zinazo wazunguka na zilizopo mbali ni lazima waonyeshe visa ya kuonyesha kuwa hawatakaa kwenye hizo nchi bali wanapita tu? Hata wakipata ruhusa ya kuingia nchi hizo basi ni kwa sababu maalum kama kununua mahitaji na kurudi?
ili kuvidaidia viwandavyao vyakutengeneza silaha za vita MIC majority ambavyo wamiliki wao wakubwa ni Waisrael hivyo kwao vita ni sehemu ya biashara.

Wanunuzi wakubwa wa silaha hizo ni nani? Kwanini? Je, Iran, China na North Korea hawana viwanda vya silaha? Au hata hao viwanda vyao vinamilikiwa na Waisrael?
 
  • Thanks
Reactions: K11
Kwa hiyo wewe ulitaka waende Uganda?
Kwanini washauriwe Wayahudi kuondoka Ulaya? Kwanini wasishaliwe waafrika, kwanini siyo wahindi?

Nimeisoma vizuri sana, kuliko unavyofikiri umeisoma na kuielewa.

Halikuwepo taifa, lakini hao walioanzisha hilo taifa ambalo halikuwepo, walikuwepo hapo kutambo hata Palestina waliwakuta watu hao. Kwa kuwa Tanganyika haikuwepo kama taifa, hiyo haikuwa sababu kunyimwa uhuru. Maana waliodai uhuru walionyesha uwezo wao katika kuungana kama taifa, kuja pamoja, kusikilizana na kujitawala.

Kuwepo taifa la Wapalestina hakuondoi uwepo wa watu wa jamii nyingine, Palestina ilikuwepo kwa ajili ya Wapalestina, Wayahudi hawakuwahi kukubali kuitwa Wapalestina, walitaka utambulisho wao.

Mnajichanganya sana, awali umesema US na Uingereza walutaka wawapeleke Uganda wakakataa. Huko unakozidi kwenda unaisahau sababu yako ya awali kuwa US na Uingereza walitaka kuwapeleka Uganda (sasa sijui Uganda napo kuna waarabu?), Unaibua madai mapya kuwa waliunda taifa la Israel na kulipeleka Mashariki ya kati ili kuwagawa waarabu kwa lengo la wao kufaidika na mafuta, sasa unataka tushike kipi?😃😃

Aaah, acha mkuu, usiniambie!! Nilikua sijui kabisa, nsshukuru kwa taarifa.
View attachment 2777536

View attachment 2777539
View attachment 2777540

Habari nzuri siyo lazima wewe uipende. Hivi unajua kuwa ili Mpalestina aweze kuingia nchi za kiarabu zile zinazo wazunguka na zilizopo mbali ni lazima waonyeshe visa ya kuonyesha kuwa hawatakaa kwenye hizo nchi bali wanapita tu? Hata wakipata ruhusa ya kuingia nchi hizo basi ni kwa sababu maalum kama kununua mahitaji na kurudi?


Wanunuzi wakubwa wa silaha hizo ni nani? Kwanini? Je, Iran, China na North Korea hawana viwanda vya silaha? Au hata hao viwanda vyao vinamilikiwa na Waisrael?
Naona tutakesha hapa tukibishana na vitu ambavyo havina substance - hivi umewahi kujiuliza kwanini raia wengi wa Ulaya na South Amerika hawawapendi wayahudi?

Nilikuwa naona makaburi ya Wayahudi huko Ulaya yakibomolewa na mengine kuwekewa ma grafitti - Any reason, tell me?? Je nadhalia za Hitler kuhusu final solution kuhusu jamaa hawa ilikuwa haina mantiki kweli?? Mfano mdogo ni jinsi Wayaudi wanavyo wa treat Wapalestina na Dunia inabungaa macho tu, save the late Mwalimu Nyerere, Mandela, Fidel Castro, Putin, Iran na North Korea!! - je kama wangekubali mapendekezo ya Serikali ya Uingereza eti wahamie Uganda kutoka kila pembe ya Duniani si tungekoma.
 
Naona tutakesha hapa tukibishana na vitu ambavyo havina substance - hivi umewahi kujiuliza kwanini raia wengi wa Ulaya na South Amerika hawawapendi wayahudi?
Utarukaruka kama popcorn hadi uive. Leo tena wasiopendwa ni Wayahudi? Siyo Wazungu? Siyo Waislam?😀
Nilikuwa naona makaburi ya Wayahudi huko Ulaya yakibomolewa na mengine kuwekewa ma grafitti - Any reason, tell me??
Ungeanza kwanza kujibu kwanini US na Uingereza walitaka kuwahamishia Wayahudi Uganda kama ulivyodai.
Je nadhalia za Hitler kuhusu final solution kuhusu jamaa hawa ilikuwa haina mantiki kweli?? Mfano mdogo ni jinsi Wayaudi wanavyo wa treat Wapalestina
Umewahi kuona Wasauzi wanavyo watrear waafrika wengine? Je wahindi wanavyowa treat waafrika? Wazanzibar wanavyonwatreat wabara? Waarabu wanavyo watreat waaafrika na wahindi? Wapalestina wanavyo wa treat waisrael?
na Dunia inabungaa macho tu, save the late Mwalimu Nyerere, Mandela, Fidel Castro, Putin, Iran na North Korea!! - je kama wangekubali mapendekezo ya Serikali ya Uingereza eti wahamie Uganda kutoka kila pembe ya Duniani si tungekoma.
Hukujibu hili swali, walipotaka wawahamishie Uganda Je Uganda kuna waarabu gani ambaobUS na Uingereza ilipanga kuwavuruga, kuwagombanisha ili wachukue mafuta.
Kwa kifupi rudi kacheze lugi yenu uliyoizoea, hapa kwanga utaishia kunywa vikombe na kujizamia ukufe bure!!
 
Majibu jibu
Utarukaruka kama popcorn hadi uive. Leo tena wasiopendwa ni Wayahudi? Siyo Wazungu? Siyo Waislam?😀

Ungeanza kwanza kujibu kwanini US na Uingereza walitaka kuwahamishia Wayahudi Uganda kama ulivyodai.

Umewahi kuona Wasauzi wanavyo watrear waafrika wengine? Je wahindi wanavyowa treat waafrika? Wazanzibar wanavyonwatreat wabara? Waarabu wanavyo watreat waaafrika na wahindi? Wapalestina wanavyo wa treat waisrael?
na Dunia inabungaa macho tu, save the late Mwalimu Nyerere, Mandela, Fidel Castro, Putin, Iran na North Korea!! - je kama wangekubali mapendekezo ya Serikali ya Uingereza eti wahamie Uganda kutoka kila pembe ya Duniani si tungekoma.
Hukujibu hili swali, walipotaka wawahamishie Uganda Je Uganda kuna waarabu gani ambaobUS na Uingereza ilipanga kuwavuruga, kuwagombanisha ili wachukue mafuta.
Kwa kifupi rudi kacheze lugi yenu uliyoizoea, hapa kwanga utaishia kunywa vikombe na kujizamia ukufe bure!!
Majibu jibu yako speaks volume about your warped PERSONA!!! Naishia hapo.
 
Majibu jibu

Majibu jibu yako speaks volume about your PERSONA!!! Naishia hapo.
Personal yangu??? Unazidi ku fail Dogo. Mimi sipo emotional kama wewe. Mimi humu hata sijiwakilishi, wala sijawahi kujiwakilisha humu. Kitu pekee huwa naweza nikakiwakilisha humu ni maslahi na mapenzi yangu kwa nchi basi.
Busara pekee uliyobaki nayo ni uamuzi wako wa kuishia hapo. Maana naona unaandika mambo mengi ambayo wewe mwenyewe ukija kuyasoma baadaye hautajihurumia wala kujisamehe, lazima ujitandike makofi.
Unaandika hadi unasahau ulianzia wapi, unaenda wapi na hata hukumbuki unaongelea nini?
 
Personal yangu??? Unazidi ku fail Dogo. Mimi sipo emotional kama wewe. Mimi humu hata sijiwakilishi, wala sijawahi kujiwakilisha humu. Kitu pekee huwa naweza nikakiwakilisha humu ni maslahi na mapenzi yangu kwa nchi basi.
Busara pekee uliyobaki nayo ni uamuzi wako wa kuishia hapo. Maana naona unaandika mambo mengi ambayo wewe mwenyewe ukija kuyasoma baadaye hautajihurumia wala kujisamehe, lazima ujitandike makofi.
Unaandika hadi unasahau ulianzia wapi, unaenda wapi na hata hukumbuki unaongelea nini?
Goodday AMIGO.
 
Kuna vijitu vinavaa suruali fupi na kupenda ubwabwa sana vinashabikiaga wenzao wakitunishiana misuli na mataifa maestro kwenye mapigano, la wakipigwa hao ndugu zao hivyo vijamaa vinaanza kulia lia.

Walimshabikia Saddam Hussein, wakasema US imekanyaga moto Saddam atawanyoosha, mara ghafla Saddam akapigwa, akanyongwa huku anajikojolea jumlisha kujinyea, vijamaa vikaanza kulia "Ona huu uonevu wanaoufanya US?". Walishangilia Ghadafi aliposhirikiana na magaidi kuteka au kuhujumu ndege za mataifa makubwa. Jamaa wakamlia timing kwa miaka mingi, alipoingia kwenye mfumo jamaa wakamtoa uhai, wavaa kobazi wakaanza kulia lia.

Hata mwisho wa mapigano haya mapya ya Palestines - Israelites watakuja kulia lia tena.
 
Hiyo haimaanishi kuwa pale hapakuwepo na Wayahudi. Nimeshsema mara kadhaa, kwamba Wayahudi walikuwepo pale.
Hso waliorudishwa kutoka Ulaya ni matokeo ya wao kuuawa na kuchukiwa huko balani Ulaya na mwisho wakaamua kukubali kurudi nchi yao ya asili kuungana na wenzao waliopo huko.
Hata aliyepelekea Wayahudi kuchukiwa na kuanza kuuawa ni Wayahudi wenyewe. Walipowaomba wenzao warudi kuwasaidia kupambana na wapalwstina au hata wawapatie misaada , wenzao waliwakatalia, maana wenzao tayari walikua na maisha mazuri huko Ulaya. Ndipo likajiunda kundi la vijana wa Kuyahudi lililoamua kuwaharibia wenzao popote walipo. Kundi lile la vijana lilifanikiwa sana, kwani kilichokuja kuwatokea Wayahudi kila mmoja anakijua na baada ya hapo wakakubali kurudi kwao kuungana na wenzao kupambana na Palestine, maana kila nchi walikua either wanachukiwa au wanawindwa.
Baada ya kukubali kurudi, matokeo yake ndiyo meli hizo mnazo share.
Ingawa, kati ya hizo meli ulizo share, kuna meli haihusiani na tukio hilo, sijui hizo nyingine. Ila hiyo moja inahusiana na tukio na na huko Saigon wakati ule vita inafika mwishoni.
Xaxa mtu akiwa anarudi kwao anaitwaje mkimbizi,hivi watanzania waliopo ugenini,wakiamua kurudi tanzania kwa sababu yeyote ile tutawaita wakimbizi au??
 
Sija angalia video clip yako kwa sababu najua hiko overly biased - nani ambaye hajui kwamba Waisrael walishauliwa kwenda Uganda wakakataa - soma vizuri jinsi Taifa la Israel lilivyo anzishwa na western Nations specifically Uingereza na Merikani na kupewa silaha including ndege za vita kuwaonea Wapalestina na kuanzisha makazi taifa ambalo hapo hawali alikuwepo kabisa - lilikuwepo taifa la Palestine sio Israel - Israel ilibuniwa na western Nation for Geopolitical reasons by dividing some hypocritical Arabs nations kutokana na utajiri wa mafuta waliokuwa nao. Waisrael ni binadamu wa ajabu sana na wakatiri, selfish na racists nyie hamjui tu vurugu zote Duniani zinatokana na vyombo vyao vya habari vinavyo eneza habari za uongo na uonezi ili kuvidaidia viwandavyao vyakutengeneza silaha za vita MIC majority ambavyo wamiliki wao wakubwa ni Waisrael hivyo kwao vita ni sehemu ya biashara.
Eti lilianzishwa na westen! Wana wa Yakobo , Taifa lao lilianzishwa na magharibi! Hilo Taifa lipo kabla ya magharibi.

Wakati wanaenda uhamishoni Misiri hiyo westen ilikuwepo. Wakati wanaenda uhamishoni Babeli, westen ilikuwepo! Ilikuwepo.
 
Kuna wale waliodanganywa na wachonga hadithi kwamba Wayahudi hawakuwepo pale ila walikusanywa kutoka Ulaya na Mwaka 1947 wakapelekwa pale baada ya kukataa kupelekwa Uganda huu ndiyo wakati wa kuyaondoa matongotongo akilini.

Nimewatufutieni clip hii kwa makusudi. Hii vielelezo vyake vyote vipo.

Kwa kifupi, waarabu ndiyo wanao wajaza ujinga wapalestina, huku Waarabu haohao hawataki kabisa wakimbizi wa Kipalestina kwenye zao na siyo wakimbizi tu hata kuishi, mpaka wawaruhusu ujue hao wana makubaliano maalum nao.

View attachment 2777236
Jewish diaspora ilikaa nje miaka mia ngapi? Kama unaelewa hilo, huwezi kusema pale ni nyumbani kwao.
 
Jewish diaspora ilikaa nje miaka mia ngapi? Kama unaelewa hilo, huwezi kusema pale ni nyumbani kwao.
Moja, unapaswa kuelewa hapajawahi kuwepo taifa la Wapalestina.

Pili, usifikiri kwamba kabla ya hao diaspora pale hapakuwepo na Wayahudi wengine, pale tayari walishakuwepo wengine waliokua wakiishi pale. Hao walikua wakipambania ardhi dhidi ya wapalestina kwa miaka mingi tu.
Hao Diaspora wakati wanarudi pale, walikuta wenzao wapo, usidhani waliondoka wote.
 
Kuna wale waliodanganywa na wachonga hadithi kwamba Wayahudi hawakuwepo pale ila walikusanywa kutoka Ulaya na Mwaka 1947 wakapelekwa pale baada ya kukataa kupelekwa Uganda huu ndiyo wakati wa kuyaondoa matongotongo akilini.

Nimewatufutieni clip hii kwa makusudi. Hii vielelezo vyake vyote vipo.

Kwa kifupi, waarabu ndiyo wanao wajaza ujinga wapalestina, huku Waarabu haohao hawataki kabisa wakimbizi wa Kipalestina kwenye zao na siyo wakimbizi tu hata kuishi, mpaka wawaruhusu ujue hao wana makubaliano maalum nao.

View attachment 2777236
Hivi chimbuko la Wapalestina ni wapi? Nao ni Waarabu?
 
Kwa hiyo wewe ulitaka waende Uganda?
Kwanini washauriwe Wayahudi kuondoka Ulaya? Kwanini wasishaliwe waafrika, kwanini siyo wahindi?

Nimeisoma vizuri sana, kuliko unavyofikiri umeisoma na kuielewa.

Halikuwepo taifa, lakini hao walioanzisha hilo taifa ambalo halikuwepo, walikuwepo hapo kutambo hata Palestina waliwakuta watu hao. Kwa kuwa Tanganyika haikuwepo kama taifa, hiyo haikuwa sababu kunyimwa uhuru. Maana waliodai uhuru walionyesha uwezo wao katika kuungana kama taifa, kuja pamoja, kusikilizana na kujitawala.

Hapajawahi kuwepo na taifa la Wapalestina hsta lingekuwepo hakuondoi uwepo wa watu wa jamii nyingine, Palestina ilikuwepo kama jamiu na mamlaka yao kwa ajili ya Wapalestina, Wayahudi hawakuwahi kukubali kuitwa Wapalestina, walitaka utambulisho wao.

Mnajichanganya sana, awali umesema US na Uingereza walutaka wawapeleke Uganda wakakataa. Huko unakozidi kwenda unaisahau sababu yako ya awali kuwa US na Uingereza walitaka kuwapeleka Uganda (sasa sijui Uganda napo kuna waarabu?), Unaibua madai mapya kuwa waliunda taifa la Israel na kulipeleka Mashariki ya kati ili kuwagawa waarabu kwa lengo la wao kufaidika na mafuta, sasa unataka tushike kipi?[emoji2][emoji2]

Aaah, acha mkuu, usiniambie!! Nilikua sijui kabisa, nsshukuru kwa taarifa.
View attachment 2777536

View attachment 2777539
View attachment 2777540

Habari nzuri siyo lazima wewe uipende. Hivi unajua kuwa ili Mpalestina aweze kuingia nchi za kiarabu zile zinazo wazunguka na zilizopo mbali ni lazima waonyeshe visa ya kuonyesha kuwa hawatakaa kwenye hizo nchi bali wanapita tu? Hata wakipata ruhusa ya kuingia nchi hizo basi ni kwa sababu maalum kama kununua mahitaji na kurudi?


Wanunuzi wakubwa wa silaha hizo ni nani? Kwanini? Je, Iran, China na North Korea hawana viwanda vya silaha? Au hata hao viwanda vyao vinamilikiwa na Waisrael?
Kabla ya mwaka 1947 palikuwa na taifa linaloitwa Israel popote katika ulimwengu huu?
 
Kwani Israeli kwao kabisa kwa asili ni wapi?.

Naomba mnijuze maana kila jamii ina asili yake hata kama wanaishi Taifa lingine.
 
Kabla ya mwaka 1947 palikuwa na taifa linaloitwa Israel popote katika ulimwengu huu?
Sijui unataka ku justify kitu gani?
Kukujibu tu ni kwamba hata taifa la Wapalestina halikuwahi kuwepo
 
Back
Top Bottom