Mnaouchukia ufukara na umaskini NGENDE ndilo jawabu lenu la mwisho

Status
Not open for further replies.
naona umetaja wanaume wenzio tu mkuu wewe sijaona jina lako.

ngende inakuhusu
hii comment yako inadhibitisha wewe ni mbumbu na mjinga aliyezaliwa ujingani na mishipa yako ya ubongo kusinyaa.....hao ni mifano hai mimi utanijulia wapi wewe kima???....toa hoja sio maneno ya dada zao huko uswahilini..... Stupid sentimental...
 
hii comment yako inadhibitisha wewe ni mbumbu na mjinga aliyezaliwa ujingani na mishipa yako ya ubongo kusinyaa.....hao ni mifano hai mimi utanijulia wapi wewe kima???....toa hoja sio maneno ya dada zao huko uswahilini..... Stupid sentimental...
mkuu wewe jinsia gani? mbona maneno makali hivi!
nilidhani wewe mwanaume!
 
ulimuuzia nani?soko lake ni wapi?
 
kinachokuumiza na maamuzi ya wengine ni nini hasa...kama vipi kunywa sumu kama una hasira sana.
ni kama mke wako akigongwa na mwingine unaumia, sasa unachoumia ni nini , kiungo chako au chake, na ukifa utazikwa nacho au vipi, nakushangaa
 
"How things work" and not "How things works"
 
Utajiri wa Ngende wa masharti haufai,mambo ya kutolala kitandani au kutowapelekea moto PISI au kufunga suruali na kamba ya katani nani anataka?
 
Utajiri WA kichawi Bila kumwaga damu ya mtu wako WA karibu = Hakunaga.

Hata Yule Jamaa mwenye Tv na Redio aliezaa na X WA Father Abraham utajiri wake aliuoatia Ngende na alimwaga damu.
 
Kama kupata nyumba na gari hadi umeenda sijui kwa Ngende, sitaki hata kumsikia.
 
"How things work" and not "How things works"
who are you again?? I always know what I'm doing so shut the hell up and don't tell me what to do......it works and not work... you got me braidead??.....
 
Hivi uko serious mzee?
 
kinachokuumiza na maamuzi ya wengine ni nini hasa...kama vipi kunywa sumu kama una hasira sana.
ni kama mke wako akigongwa na mwingine unaumia, sasa unachoumia ni nini , kiungo chako au chake, na ukifa utazikwa nacho au vipi, nakushangaa
...Is this your thesis? or you're just mad at me?... I'm pretty sure you're mad at me...
 
Binafsi nimeishi maeneo karibu na ngende

Ni kweli ngende Kuna huo utajili Ila mashart yake ndio magumu hasa ukishaanza kufanikiwa yan unapewa sharti ambalo ukiwa tajiri huwez kulimudu

Kuna mzee alienda ngende kuomba utajili kwa mganga, jamaa akapewa dawa vizuri na kweli alifanikiwa Sana Hadi mtaani watu tukawa tunamshangaa kwa mafanikio aliyokuwa nayo

Ila Sasa kumbe kule alikopewa ile dawa yule mganga alimwambia awe anampelekea sindano ya kushonea nguo zake kila mwaka. Sasa vuta picha wewe ni tajiri haswaaaa unaenda kununua sindano ya sh 10( kwa wakati huo) na unapanga Safari unawasha gari na kupeleka sindano tu kwa mganga? ....

To cut the story, jamaa aliweza kwa miaka mitatu tu Ila baadae alianza kupuuzia hawezi kupoteza hela nyingi kusafil kisa sindano ya sh 10, akawa ameacha kwenda na akawa anatuma salamu tu kwa yule mganga na kuwaagiza watu wampelekee hela Ila Hilo ndo lilikua anguko lake kwasababu alishindwa kupeleka sindano tu.



Ndugu zangu mashart ya ngende huwezi kutoboa hata Kama unayaona ni mepesi kwa siku za mwanzon Ila huko mbeleni huwezi kutoboa narudia Tena kwa msisitizo HUWEZI KUTOBOAAAAAA
 
...Is this your thesis? or you're just mad at me?... I'm pretty sure you're mad at me...
you dont have anything to add, ni jambo la kushangaza sana kama unaumizwa na maamuzi ya watu wengine, wewe ya kwako pengine yanakushinda huko nyumbani kwako unakuja kuwapangia watu maisha, embu piga moyo konde ufanye maisha yako na utembee kwenye njia yako peke yako uliyoichagua.
 
unawezaje kumsemea binadamu mwingine kua atashindwa jambo fulani, huyo aliyeshindwa ni UZEMBE WAKE sababu alipewa maelekezo, na kwa mwanaume kupewa malekezo na ukashindwa basi wewe sio mwanaume kamili
.. inashangaza!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…