Mnaouliza Kuwa Lissu kushinda nini kitabadilika, angeshinda Mbowe nini kingebadilika?

Mnaouliza Kuwa Lissu kushinda nini kitabadilika, angeshinda Mbowe nini kingebadilika?

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
21,470
Reaction score
40,593
Wana CCM wanauliza Lissu kushinda nini kitabadilika, na Mimi nawauliza Mbowe angeshinda, nini kingebadilika?

Swali la pili, hicho ambacho hakitabadilika kwa ushindi wa Lissu ni kitu gani? Jee ni maslahi ya Taifa letu au ni maslahi yenu CCM?

Nini hicho ambacho kama Lissu asingeshinda kingebadilika?Waseme hadharani waache mambo ya sirisiri!!!
 
Wana CCM wanauliza Lissu kushinda nini kitabadilika, na Mimi nawauliza Mbowe angeshinda, nini kingebadilika?

Swali la pili, hicho ambacho hakitabadilika kwa ushindi wa Lissu ni kitu gani? Jee ni maslahi ya Taifa letu au ni maslahi yenu CCM?

Nini hicho ambacho kama Lissu asingeshinda kingebadilika?Waseme hadharani waache mambo ya sirisiri!!!
Angeshinda Mbowe kungekuwa na maridhiano
 
Wana CCM wanauliza Lissu kushinda nini kitabadilika, na Mimi nawauliza Mbowe angeshinda, nini kingebadilika?

Swali la pili, hicho ambacho hakitabadilika kwa ushindi wa Lissu ni kitu gani? Jee ni maslahi ya Taifa letu au ni maslahi yenu CCM?

Nini hicho ambacho kama Lissu asingeshinda kingebadilika?Waseme hadharani waache mambo ya sirisiri!!!
Mbowe angeendeleza maridhiano,Kwa Lisu kipi kitabadiloka?
 
Kwa ivo CHADEMA yooote kazi yake ni maridhiano?

Kwanza hayo maridhiano yasiyofuata ile kanuni ya nipe nikupe ama kubali kupoteza upate, ya kazi gani Sasa?
Ingekuwa hivyo si mungebakia huko Ubelgiji na Ile amri ya Rais ya marufuku mikutano ingeendelea.

Unajitoa ufahamu?
 
Usihame hame... Ni kitu gani hicho ambacho Lissu hawezi kukibadlisha kwa kushinda kwake?
Chadema haiwezi kushika Dola

Katiba Mpya hazitakuwepo

Tume ya Uchaguzi anavyotaka Lisu hazitakuwepo

No reform no election hawezi kutekeleza nk
 
Chadema haiwezi kushika Dola

Katiba Mpya hazitakuwepo

Tume ya Uchaguzi anavyotaka Lisu hazitakuwepo

No reform no election hawezi kutekeleza nk
Kwako wewe kutokuwepo Kwa Tume Huru ya uchaguzi ni sawa tu?

Kwako wewe huoni haja ya kubadili Katiba ya nchi yetu?

Unaona kuwa No reform No election inatakiwa kupingwa?

Kwa ivo unaona ukandamizaji utaendelea na CHADEMA haitaweza kupambana nao?
 
Kwako wewe kutokuwepo Kwa Tume Huru ya uchaguzi ni sawa tu?

Kwako wewe huoni haja ya kubadili Katiba ya nchi yetu?

Unaona kuwa No reform No election inatakiwa kupingwa?

Kwa ivo unaona ukandamizaji utaendelea na CHADEMA haitaweza kupambana nao?
Kwangu ni sawa kabisa Kwa sababu sijaona mbadala wa CCM hata Sasa nikikuuliza kipi kipya mtakileta in case mnashika Dola Kwa bahati mbaya huna majibu.

Ila Mimi Kwa kusoma hulka ya Kiongozi naweza bashiri hasara ambazo zinaweza tokea.
 
Mazoea yameshawapiga upofu ccm na pia akili za ccm zimeshadumaaa. Wacha twende kimya kimya , watakuja kushtuka zile dakika za jioooooooni wakati ambao hawata kuwa na nafasi ya kufanya chochote na chadema inaendelea kujichukulia points za kutosha kutoka kwa wananchi.
 
Kwangu ni sawa kabisa Kwa sababu sijaona mbadala wa CCM hata Sasa nikikuuliza kipi kipya mtakileta in case mnashika Dola Kwa bahati mbaya huna majibu.

Ila Mimi Kwa kusoma hulka ya Kiongozi naweza bashiri hasara ambazo zinaweza tokea.
Hayo ya kushika dola yanatoka wapi? Na hizo hasara ni kama zipi? Kwa ivo wewe unataka kusema sera za CHADEMA na CCM zinafanana?

Kwa ivo ambacho hakitabadilika ni kuwa CCM itatumia nguvu zile zile haramu kubaki madarakani?
 
Hayo ya kushika dola yanatoka wapi? Na hizo hasara ni kama zipi? Kwa ivo wewe unataka kusema sera za CHADEMA na CCM zinafanana?

Kwa ivo ambacho hakitabadilika ni kuwa CCM itatumia nguvu zile zile haramu kubaki madarakani?
Chadema hawana sera zozote ndio maana hata wewe mwanachadema hujui.

CCM Ina brain na uzoefu inajua Cha kufanya ,nyie wengine mnachotagita ni madaraka tuu Kwa kuwa brainwash wajinga.

CCM itatumia sanduku la kura kama ambavyo imekuwa inafanya miaka yote,Ina Cha kuonesha.

Sasa nyie chama Cha Upinzani hamna hata sera Bora kuzidi CCM Ili muaminike zaidi ya wimbo wa Katiba Mpya ambao mnadhani ndio itawasaisi akuingia kwenye Utawala.

On top of that Kwa chama.kutokuwa na sera zinazoeleweka manake ni kwamba hakuna kitakachobadilika zaidi ya sura za Viongozi.

Mwisho,Moja ya hasara zitakazotokea ni wafanyabiashara na wawekezaji kukimbia kama.ilivyokuwa awamu ya 6 Kwa sababu ya misimamo ya kiimla ya mtu kama Lisu.
 
Sielewi mnabishania nini wakati mshindi keshatangazwa na hakuna kitakacho geuza matokeo. Lisu aandae sera zake nzuri na aimarishe chama na asiendeshe kwa chuki wala makundi, urais anachukua asubuhi mapema
 
Chadema hawana sera zozote ndio maana hata wewe mwanachadema hujui.
Kwani maana ya sera ni nini? Maana naona umeandika bandiko refu lakini natafuta mantiki ndani yake siioni!

Halafu kama wewe huzijui sera za CHADEMA kuhusu mambo mbali mbali usiweke hitimisho kuwa na wengine hawazijui.
 
Kwani maana ya sera ni nini? Maana naona umeandika bandiko refu lakini natafuta mantiki ndani yake siioni!

Halafu kama wewe huzijui sera za CHADEMA kuhusu mambo mbali mbali usiweke hitimisho kuwa na wengine hawazijui.
Wewe hujui,weka hapa sera za Chadema za Uchumi tuone.
 
Back
Top Bottom