Mnaouliza Kuwa Lissu kushinda nini kitabadilika, angeshinda Mbowe nini kingebadilika?

Mnaouliza Kuwa Lissu kushinda nini kitabadilika, angeshinda Mbowe nini kingebadilika?

Ndio mbona alisema wazi?
Aridhiane na nani? Kwa mambo yapi? Kwani kuna ugomvi na nani? Hakuna haja ya maridhiano, kinachotakiwa kuwe na tume huru ya uchaguzi na kufuata kwa usahihi kwa katiba (angalao hii ya sasa ingawaje ina mapungufu mengi) na mwisho wa siku ipatikane katiba mpya ya mwananchi.
Chadema hawana sera zozote ndio maana hata wewe mwanachadema hujui.

CCM Ina brain na uzoefu inajua Cha kufanya ,nyie wengine mnachotagita ni madaraka tuu Kwa kuwa brainwash wajinga.

CCM itatumia sanduku la kura kama ambavyo imekuwa inafanya miaka yote,Ina Cha kuonesha.

Sasa nyie chama Cha Upinzani hamna hata sera Bora kuzidi CCM Ili muaminike zaidi ya wimbo wa Katiba Mpya ambao mnadhani ndio itawasaisi akuingia kwenye Utawala.

On top of that Kwa chama.kutokuwa na sera zinazoeleweka manake ni kwamba hakuna kitakachobadilika zaidi ya sura za Viongozi.

Mwisho,Moja ya hasara zitakazotokea ni wafanyabiashara na wawekezaji kukimbia kama.ilivyokuwa awamu ya 6 Kwa sababu ya misimamo ya kiimla ya mtu kama Lisu.
Eti ccm mnatumia sanduku la KURA. ARE YOU SERIOUS? Kilicho fanyika Dodoma ni sanduku la kura lile? Au ubakaji wa kura. Acha ujinga na uchawa bro!
 
Back
Top Bottom