Mnaouliza Kuwa Lissu kushinda nini kitabadilika, angeshinda Mbowe nini kingebadilika?

Mnaouliza Kuwa Lissu kushinda nini kitabadilika, angeshinda Mbowe nini kingebadilika?

Kwangu ni sawa kabisa Kwa sababu sijaona mbadala wa CCM hata Sasa nikikuuliza kipi kipya mtakileta in case mnashika Dola Kwa bahati mbaya huna majibu.

Ila Mimi Kwa kusoma hulka ya Kiongozi naweza bashiri hasara ambazo zinaweza tokea.
Akili yako ina shida kubwa
 
Maridhiano yamekisaidia nini hiko chama mpaka muda huu?
Kibaraka Lisu amerudi na wenzake waliokimbia Nchi

Mbowe aliachiwa jela

Mumefunguliwa mikutano ya hadhara

Mnakula ruzuku

Mnafanya mambo yenu Kwa uhuru kabisa.

Bila hayo maridhiano si mungekuwa mnapakatwa na kina Amsterdam huko?
 
Wana CCM wanauliza Lissu kushinda nini kitabadilika, na Mimi nawauliza Mbowe angeshinda, nini kingebadilika?

Swali la pili, hicho ambacho hakitabadilika kwa ushindi wa Lissu ni kitu gani? Jee ni maslahi ya Taifa letu au ni maslahi yenu CCM?

Nini hicho ambacho kama Lissu asingeshinda kingebadilika?Waseme hadharani waache mambo ya sirisiri!!!
Kamdomo ,kamdomo
 
Wana CCM wanauliza Lissu kushinda nini kitabadilika, na Mimi nawauliza Mbowe angeshinda, nini kingebadilika?

Swali la pili, hicho ambacho hakitabadilika kwa ushindi wa Lissu ni kitu gani? Jee ni maslahi ya Taifa letu au ni maslahi yenu CCM?

Nini hicho ambacho kama Lissu asingeshinda kingebadilika?Waseme hadharani waache mambo ya sirisiri!!!
Mbona walikuwa wanapambana ashinde Mbowe 🤣
 
Wana CCM wanauliza Lissu kushinda nini kitabadilika, na Mimi nawauliza Mbowe angeshinda, nini kingebadilika?

Swali la pili, hicho ambacho hakitabadilika kwa ushindi wa Lissu ni kitu gani? Jee ni maslahi ya Taifa letu au ni maslahi yenu CCM?

Nini hicho ambacho kama Lissu asingeshinda kingebadilika?Waseme hadharani waache mambo ya sirisiri!!!
Mkuu, kwa sasa watu wamevurugwa. Trust the process.
 
Back
Top Bottom