Herbert Nkuluzi
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 2,592
- 2,629
Akili yako ina shida kubwaKwangu ni sawa kabisa Kwa sababu sijaona mbadala wa CCM hata Sasa nikikuuliza kipi kipya mtakileta in case mnashika Dola Kwa bahati mbaya huna majibu.
Ila Mimi Kwa kusoma hulka ya Kiongozi naweza bashiri hasara ambazo zinaweza tokea.