Herbert Nkuluzi
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 2,592
- 2,629
Akili yako ina shida kubwaKwangu ni sawa kabisa Kwa sababu sijaona mbadala wa CCM hata Sasa nikikuuliza kipi kipya mtakileta in case mnashika Dola Kwa bahati mbaya huna majibu.
Ila Mimi Kwa kusoma hulka ya Kiongozi naweza bashiri hasara ambazo zinaweza tokea.
Ya kwako ambayo Haina shida onyesha Sasa kipya atakachofanya huyo kibaraka in case Kwa bahati mbaya anakuwa Rais.Akili yako ina shida kubwa
Maridhiano yamekisaidia nini hiko chama mpaka muda huu?Mbowe angeendeleza maridhiano,Kwa Lisu kipi kitabadiloka?
Kibaraka Lisu amerudi na wenzake waliokimbia NchiMaridhiano yamekisaidia nini hiko chama mpaka muda huu?
Kamdomo ,kamdomoWana CCM wanauliza Lissu kushinda nini kitabadilika, na Mimi nawauliza Mbowe angeshinda, nini kingebadilika?
Swali la pili, hicho ambacho hakitabadilika kwa ushindi wa Lissu ni kitu gani? Jee ni maslahi ya Taifa letu au ni maslahi yenu CCM?
Nini hicho ambacho kama Lissu asingeshinda kingebadilika?Waseme hadharani waache mambo ya sirisiri!!!
Mbona walikuwa wanapambana ashinde Mbowe 🤣Wana CCM wanauliza Lissu kushinda nini kitabadilika, na Mimi nawauliza Mbowe angeshinda, nini kingebadilika?
Swali la pili, hicho ambacho hakitabadilika kwa ushindi wa Lissu ni kitu gani? Jee ni maslahi ya Taifa letu au ni maslahi yenu CCM?
Nini hicho ambacho kama Lissu asingeshinda kingebadilika?Waseme hadharani waache mambo ya sirisiri!!!
Ili?Wewe hujui,weka hapa sera za Chadema za Uchumi tuone.
Wanafiki tu.Mbona walikuwa wanapambana ashinde Mbowe 🤣
Maana unatoka nje ya hoja!
Tangu lini machadomo mkawa na hoja ?Maana unatoka nje ya hoja!
Kabisa... Kilichokuwa kinakufanya umpigie chapuo Mbowe humu JF ni nini wakati unajua CHADEMA hatuna hoja?Tangu lini machadomo mkawa na hoja ?
Nimeshajibu ni maridhianoKabisa... Kilichokuwa kinakufanya umpigie chapuo Mbowe humu JF ni nini wakati unajua CHADEMA hatuna hoja?
Jibu swali. Nini hakitabadilika kwa kuchaguliwa kwa Lissu?
Ndiyo Lissu hawezi kubadili kitu kwenye maridhiano?Nimeshajibu ni maridhiano
Mkuu, kwa sasa watu wamevurugwa. Trust the process.Wana CCM wanauliza Lissu kushinda nini kitabadilika, na Mimi nawauliza Mbowe angeshinda, nini kingebadilika?
Swali la pili, hicho ambacho hakitabadilika kwa ushindi wa Lissu ni kitu gani? Jee ni maslahi ya Taifa letu au ni maslahi yenu CCM?
Nini hicho ambacho kama Lissu asingeshinda kingebadilika?Waseme hadharani waache mambo ya sirisiri!!!
AlishakataaNdiyo Lissu hawezi kubadili kitu kwenye maridhiano?
Sasa mnaposema Lissu hawezi kubadili chochote ndiyo mnamaanisha nini?Alishakataa