Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo ya wanawake kuingiliwa tusiongelee au kwa kua inakugusa moja kwa mojamapenzi ya jinsia moja, ndio vita inayopiganwa, tusichanganye hizi mambo.
dume vs dume, jike vs jike.
Ziwekwe na Kamera majumbani na mahotelini ili kuona nani na nani anaenda kinyume na hayo,Halafu tupo tunaopinga hata kunyonyana mashine ...na style zote ambazo dini hazitaki ...tunataka style moja Tu ya kifo cha Mende...
Vyama vije na Sera ya Ku address hili pia ... vinginevyo hatuwapigii kura
Kwani Tatizo ni tendo lenyewe ama jinsia zinazofanya hicho kitendo!!??vita ni dhidi ya mapenzi ya jinsi moja,lakini mapenzi ya jinsi mbili tofauti ni ruksa sasa wakiingia vyumbani ni juu yao kufanya mapenzi ya kinyume
Kasikilize nyimbo za Bongo fleva hasa za WasafiTatizo ni kwamba, hao wanawake wanafanyiwa kwa siri na hawajawahi kuomba iwe haki na hawana chama chao kama ilivyo kwa mashoga.
Hawa wanaomba kutambuliwa na dunia ione kama ni jambo la kawaida.
Au umewahi kukuta hamasa ya wazi ya kuruhusu wanawake kuingiziwa kinyume na maumbile?
Lakini hamasa za kutaka wanaume kwa wanaume kuoana au wanawake kwa wanawake,zinafanyika kwa nguvu zote. Hii si sawa. Hata kama wanafanya, wasingetafuta kukubaliwa kwa kile wanachofanya!
Hao Ke mnakutana nao sayari gani nakati sote tuko nao dunia hii hii?Tatizo wanawake wenyewe siku hizi yaani wazichomoa huku wanazielekezea kule na kuziingiza wenyewe sijui shida ninini
Brother sitaki kuamini kama na wewe ni SHOGA.... Tafadhali saana usinivunje moyoNimeamua kuandika mada hii kutokana na utafiti wangu mdogo niliofanya kupitia hapa JF na mahala kwingine. Na bandiko hili linasimama kuitaka jamii yetu ya watanzania isimame kwenye kile inachoamini kwa kujenga juu ya kweli na siyo hisia.
Suala la Ushoga hapa JF na Tanzania linatumika kisiasa zaidi na pia katika mlengo wa vita dhidi ya Marekani na Ulaya. Kisiasa suala hili linahusishwa kiuongo uongo na CHADEMA. Na kwa Marekani inatengenezwa picha kwamba Marekani pekee ndiko kuna mashoga na Marekani wanataka kulazimisha dunia nzima wawe mashoga.
Lakini mada hii inahusu zaidi mitizamo ya watanzania kuhusu kitendo chenyewe cha kishoga. Watu wengi wanachukia sana mashoga na ushoga, lakini watu hao hao huoni wala kusikia wakitumia nguvu kubwa kusema hadharani kwamba kitendo cha kumuingilia kinyume cha maumbile mwanamke ni makosa.
Kama ushoga ni jambo baya ni kwa nini basi hatuoni harakati pia za kupiga vita wanaume kuwaingilia kinyume cha maumbile wanawake? Jee wanawake wao ni sawa tu kufanya ngono kwa mtindo huu ila tatizo ni kwa wanaume kwa wanaume? Maana kwenye mada hata humu JF utaona kuna mashabiki wengi sana wa tabia hiyo dhidi ya wanawake na hakuna mtu anayesema watu hao ni CHADEMA au ni CCM!!
Sera yetu kuhusu mwanamke kuingiliwa kinyume cha maumbile ikoje? Nimeona watu wanasema akija Haris Kamala Makamu Rais wa Marekani, aambiwe kwamba hatutaki ushoga. Jee ataambiwa pia kwamba hatutaki wanawake kuingiliwa kinyume cha maumbile?
Ikiwa jinsi tofauti wanafukuana tigo hakuna dhambi ila ikiwa jinsi moja ni dhambivita ni dhidi ya mapenzi ya jinsi moja,lakini mapenzi ya jinsi mbili tofauti ni ruksa sasa wakiingia vyumbani ni juu yao kufanya mapenzi ya kinyume
Kufyekelea mbali M.B.O zao na korodani kwa pamoja.Na dawa ya wanaume wanaowaingilia wanawake kinyume cha maumbile ni nini!??
Na ndio maana huwa sizisikiliziKasikilize nyimbo za Bongo fleva hasa za Wasafi
Kabisa. Timu nzima ni kama inaona ni sawa tu wanachoimba.Kasikilize nyimbo za Bongo fleva hasa za Wasafi
Basi ndio maana husikii wanavyohamasisha kuwala tigo wanawakeNa ndio maana huwa sizisikilizi
Nasubiria majibu Toka Kwa antigaysNimeamua kuandika mada hii kutokana na utafiti wangu mdogo niliofanya kupitia hapa JF na mahala kwingine. Na bandiko hili linasimama kuitaka jamii yetu ya watanzania isimame kwenye kile inachoamini kwa kujenga juu ya kweli na siyo hisia.
Suala la Ushoga hapa JF na Tanzania linatumika kisiasa zaidi na pia katika mlengo wa vita dhidi ya Marekani na Ulaya. Kisiasa suala hili linahusishwa kiuongo uongo na CHADEMA. Na kwa Marekani inatengenezwa picha kwamba Marekani pekee ndiko kuna mashoga na Marekani wanataka kulazimisha dunia nzima wawe mashoga.
Lakini mada hii inahusu zaidi mitizamo ya watanzania kuhusu kitendo chenyewe cha kishoga. Watu wengi wanachukia sana mashoga na ushoga, lakini watu hao hao huoni wala kusikia wakitumia nguvu kubwa kusema hadharani kwamba kitendo cha kumuingilia kinyume cha maumbile mwanamke ni makosa.
Kama ushoga ni jambo baya ni kwa nini basi hatuoni harakati pia za kupiga vita wanaume kuwaingilia kinyume cha maumbile wanawake? Jee wanawake wao ni sawa tu kufanya ngono kwa mtindo huu ila tatizo ni kwa wanaume kwa wanaume? Maana kwenye mada hata humu JF utaona kuna mashabiki wengi sana wa tabia hiyo dhidi ya wanawake na hakuna mtu anayesema watu hao ni CHADEMA au ni CCM!!
Sera yetu kuhusu mwanamke kuingiliwa kinyume cha maumbile ikoje? Nimeona watu wanasema akija Haris Kamala Makamu Rais wa Marekani, aambiwe kwamba hatutaki ushoga. Jee ataambiwa pia kwamba hatutaki wanawake kuingiliwa kinyume cha maumbile?
Nimeamua kuandika mada hii kutokana na utafiti wangu mdogo niliofanya kupitia hapa JF na mahala kwingine. Na bandiko hili linasimama kuitaka jamii yetu ya watanzania isimame kwenye kile inachoamini kwa kujenga juu ya kweli na siyo hisia.
Suala la Ushoga hapa JF na Tanzania linatumika kisiasa zaidi na pia katika mlengo wa vita dhidi ya Marekani na Ulaya. Kisiasa suala hili linahusishwa kiuongo uongo na CHADEMA. Na kwa Marekani inatengenezwa picha kwamba Marekani pekee ndiko kuna mashoga na Marekani wanataka kulazimisha dunia nzima wawe mashoga.
Lakini mada hii inahusu zaidi mitizamo ya watanzania kuhusu kitendo chenyewe cha kishoga. Watu wengi wanachukia sana mashoga na ushoga, lakini watu hao hao huoni wala kusikia wakitumia nguvu kubwa kusema hadharani kwamba kitendo cha kumuingilia kinyume cha maumbile mwanamke ni makosa.
Kama ushoga ni jambo baya ni kwa nini basi hatuoni harakati pia za kupiga vita wanaume kuwaingilia kinyume cha maumbile wanawake? Jee wanawake wao ni sawa tu kufanya ngono kwa mtindo huu ila tatizo ni kwa wanaume kwa wanaume? Maana kwenye mada hata humu JF utaona kuna mashabiki wengi sana wa tabia hiyo dhidi ya wanawake na hakuna mtu anayesema watu hao ni CHADEMA au ni CCM!!
Sera yetu kuhusu mwanamke kuingiliwa kinyume cha maumbile ikoje? Nimeona watu wanasema akija Haris Kamala Makamu Rais wa Marekani, aambiwe kwamba hatutaki ushoga. Jee ataambiwa pia kwamba hatutaki wanawake kuingiliwa kinyume cha maumbile?
Mwanaume na Mwanaume wakiingia Guest tayari wanaitwa Mashoga?Dhana nzima ya neno Ushoga ni nini?
Je? Ni mwanaume kwa mwanaume kuingiliana kimapenzi?
Ni mwanamke kwa mwanamke kufanya mapenzi?
Au ushoga linamaana ipi
Embu tuanzie hapo kwanza?
Wakati huo huo tujiulize!
Kukipita mwanaume na mwanamke wakiingia Guest, kukapita tena mwanaume na mwanaume au mwanamke kwa mwanamke wanaingia Guest, kwa haraka haraka, nani atastahili kuitwa Shoga? Licha kwamba hatujui wanaenda kufanya nini Guest?
Acheni kuhalalisha hizo laana, wewe ulifanya lini uchunguzi na kubaini watumiaji wa hizo laana ni wengi?Hapo napo Pana ukweli mjue ila basi hawawezi kulipinga hilo kwa sababu watumiaji ni weng