Mnaoupinga Ushoga mbona kwa wanawake mko kimya?

Mnaoupinga Ushoga mbona kwa wanawake mko kimya?

Nimeamua kuandika mada hii kutokana na utafiti wangu mdogo niliofanya kupitia hapa JF na mahala kwingine. Na bandiko hili linasimama kuitaka jamii yetu ya watanzania isimame kwenye kile inachoamini kwa kujenga juu ya kweli na siyo hisia.

Suala la Ushoga hapa JF na Tanzania linatumika kisiasa zaidi na pia katika mlengo wa vita dhidi ya Marekani na Ulaya. Kisiasa suala hili linahusishwa kiuongo uongo na CHADEMA. Na kwa Marekani inatengenezwa picha kwamba Marekani pekee ndiko kuna mashoga na Marekani wanataka kulazimisha dunia nzima wawe mashoga.

Lakini mada hii inahusu zaidi mitizamo ya watanzania kuhusu kitendo chenyewe cha kishoga. Watu wengi wanachukia sana mashoga na ushoga, lakini watu hao hao huoni wala kusikia wakitumia nguvu kubwa kusema hadharani kwamba kitendo cha kumuingilia kinyume cha maumbile mwanamke ni makosa.

Kama ushoga ni jambo baya ni kwa nini basi hatuoni harakati pia za kupiga vita wanaume kuwaingilia kinyume cha maumbile wanawake? Jee wanawake wao ni sawa tu kufanya ngono kwa mtindo huu ila tatizo ni kwa wanaume kwa wanaume? Maana kwenye mada hata humu JF utaona kuna mashabiki wengi sana wa tabia hiyo dhidi ya wanawake na hakuna mtu anayesema watu hao ni CHADEMA au ni CCM!!

Sera yetu kuhusu mwanamke kuingiliwa kinyume cha maumbile ikoje? Nimeona watu wanasema akija Haris Kamala Makamu Rais wa Marekani, aambiwe kwamba hatutaki ushoga. Jee ataambiwa pia kwamba hatutaki wanawake kuingiliwa kinyume cha maumbile?
Na wewe mkuu! Kichwa cha uzi wako ni kiashilia tosha kwamba, unauwalakini kwenye hii vita! Acha tusikuhisi kwamba, wewe nawe ni miongoni mwa jamii hii isiyostahili kuishi, si kwa Muumbaji wala hapa Duniani
 
Kama ushoga ni jambo baya ni kwa nini basi hatuoni harakati pia za kupiga vita wanaume kuwaingilia kinyume cha maumbile wanawake? Jee wanawake wao ni sawa tu kufanya ngono kwa mtindo huu ila tatizo ni kwa wanaume kwa wanaume? Maana kwenye mada hata humu JF utaona kuna mashabiki wengi sana wa tabia hiyo dhidi ya wanawake na hakuna mtu anayesema watu hao ni CHADEMA au ni CCM!!
Sisi tunasema Dume zima kumvulia nguo Dume kwenzake hata vitabu vyote vya dini vimekataza, yaani kwanza ukakasi mkubwa - kimyaaaa aiseee.
 
Na wewe mkuu! Kichwa cha uzi wako ni kiashilia tosha kwamba, unauwalakini kwenye hii vita! Acha tusikuhisi kwamba, wewe nawe ni miongoni mwa jamii hii isiyostahili kuishi, si kwa Muumbaji wala hapa Duniani
Kwanza mimi natumia jina halisi, kwa ivo wanaonijua wanajua pia na tabia zangu. Hoja hapa ni kwa nini hatupigi vita wanaume kuwaingilia kinyume cha maumbile wanawake kama tunavyoupiga vita ushoga!!??

Acha kuleta "Blame Game" kwenye mada makini kama hii!!
 
Naona watu wameona kiama kinachelewa so wameamua kulazimisha kufuru ziende fasta ili tubahatike kukiona kiama kwa macho yetu na wala sio kuskia kwamba kutakua na matarumbeta, people wanataka kitu live kumuona malaika akipiga parapanda
 
Kuendelea kuwazungumzia MABASHA kila siku ni kuendelea kupromote UBASHA kwenye JAMII MODS hizi MADA ZA WANAUME WANAOWALAWITI WANAUME WENZAO MZIFUNGIE..mada zote zinazowahusu hawa MABASHA waliolaaniwa mzifungie
 
Je kwa mwanamke!!??
Utajuaje kama Mwanaume anamla nyuma mwanamke wake? kwanza yawezekana hayo mambo yanakuwa published tu hayapo - lete ushahidi.

Ila ukiliona Dume zima linatingisha makalio yaliyokauka kumtingishia Dume mwenzake aisee jua tatizo ni kubwa.. kwanza kinyaaa, au Dume zima zinapaka wanja, rangi ya kucha na mdomo - inaleta ukakasi mkubwa.
 
Kuendelea kuwazungumzia MABASHA kila siku ni kuendelea kupromote UBASHA kwenye JAMII MODS hizi MADA ZA WANAUME WANAOWALAWITI WANAUME WENZAO MZIFUNGIE..mada zote zinazowahusu hawa MABASHA waliolaaniwa mzifungie
Soma uelewe mada. Hapa mada ni kwa nini hatupigi vita wanaume kuwaingilia kinyume cha maumbile wanawake kama tunavyopiga vita ushoga!!??
 
Nimeamua kuandika mada hii kutokana na utafiti wangu mdogo niliofanya kupitia hapa JF na mahala kwingine. Na bandiko hili linasimama kuitaka jamii yetu ya watanzania isimame kwenye kile inachoamini kwa kujenga juu ya kweli na siyo hisia.

Suala la Ushoga hapa JF na Tanzania linatumika kisiasa zaidi na pia katika mlengo wa vita dhidi ya Marekani na Ulaya. Kisiasa suala hili linahusishwa kiuongo uongo na CHADEMA. Na kwa Marekani inatengenezwa picha kwamba Marekani pekee ndiko kuna mashoga na Marekani wanataka kulazimisha dunia nzima wawe mashoga.

Lakini mada hii inahusu zaidi mitizamo ya watanzania kuhusu kitendo chenyewe cha kishoga. Watu wengi wanachukia sana mashoga na ushoga, lakini watu hao hao huoni wala kusikia wakitumia nguvu kubwa kusema hadharani kwamba kitendo cha kumuingilia kinyume cha maumbile mwanamke ni makosa.

Kama ushoga ni jambo baya ni kwa nini basi hatuoni harakati pia za kupiga vita wanaume kuwaingilia kinyume cha maumbile wanawake? Jee wanawake wao ni sawa tu kufanya ngono kwa mtindo huu ila tatizo ni kwa wanaume kwa wanaume? Maana kwenye mada hata humu JF utaona kuna mashabiki wengi sana wa tabia hiyo dhidi ya wanawake na hakuna mtu anayesema watu hao ni CHADEMA au ni CCM!!

Sera yetu kuhusu mwanamke kuingiliwa kinyume cha maumbile ikoje? Nimeona watu wanasema akija Haris Kamala Makamu Rais wa Marekani, aambiwe kwamba hatutaki ushoga. Jee ataambiwa pia kwamba hatutaki wanawake kuingiliwa kinyume cha maumbile?
Mkuu umeongea ukweli mtupu,kuna unafiki mkubwa na siasa kwenye haya mambo.Ubinadamu na staha kama Waafrika umepotea, tunaiga mambo ya kishenzi kabisa.
Wanawake wamekuwa wakipambana sana kupinga vitendo vya unyanyasaji wa kijinsia na udhalilishaji na zipo sheria kadhaa zinazo walinda, sijui imetokea nini kwenye hili la kuruhusu kuingiliwa kinyume na maumbile wakijua dhahiri viboko na madhara kwao wanawake na wanaume.
Sijui kukaa kwao kimya kuna maana gani?Wanapenda,ni sawa tu,hamna nanma,au ni nini?
Vitendo vya kihuni kabisa na ukosefu wa akili "Warumi 1:26".

Jaribu kuona kama tuna dhamira ya dhati na kweli kupinga huo tu ushoga na kama msimamo wetu utakuwa wa wazi na thabiti nyakati zote hata tutakapowekea chuma karibu na mboni ya jicho nafikiri nimeeleweka.
Siku tukiamka usingizini jamii itakuwa na watu wenye uwezo mdogo sana wa ku-reason mambo kwa akili kumezwa na ujinga kama tutaendelea kulea haya mambo kwa namna hii.
 
Kwanza mimi natumia jina halisi, kwa ivo wanaonijua wanajua pia na tabia zangu. Hoja hapa ni kwa nini hatupigi vita wanaume kuwaingilia kinyume cha maumbile wanawake kama tunavyoupiga vita ushoga!!??

Acha kuleta "Blame Game" kwenye mada makini kama hii!!
Suala sio jina halisi hapa! Ni wewe kuwa umeandika kichwa kibovu cha huu uzi ambao ndani yake sasa iko hoja!

Onyesha kwamba na wewe ni mwenzetu kwenye hii vita kwa kusema!

TUNAOUPIGA VITA USHOGA, TUKATAE PIA USHOGA UNAOFANYWA KWA WANAWAKE
 
Katika viumbe wa ajabu ambao sijapata kuwaona ni WANAUME AISEE..YAAN MWANAUME MZIMA UNAMUINAMISHA MWANAUME MWENZIO ????? Aisee nyie ni viumbe wa aina yenu

Msiba mzito
yaani mie nauliza hata uume utasimamaje - yaani kalio la mwanaume mwenzio likufanye upandishe ashiki kweeli afu kitu kisimame aiseee 😳 😳

Haya hata hilo Dume nalo limezinin'giniza kengele zake - kusubiri mzahama - kwelii

Ndo maana Mwenyezi Mungu alikiangamiza kizazi chote cha kule Sodoma.
 
Back
Top Bottom