Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
Kwanza nataka maelezo ya ulipopotelea wakati sikumbuki kupokea mahari yako...I'm dying for it to happen, more than ready b...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanza nataka maelezo ya ulipopotelea wakati sikumbuki kupokea mahari yako...I'm dying for it to happen, more than ready b...
Umeona sasa ulivyo mtoto mzuri?Mbinguni mbali,tuanze rehearsal hapahapa duniani bwana
Muone 😃Ila sijaelewa ujue. Yaani utakuwa mtanange wa kukata na shoka au🤭🤭
Nisamehe babu, wa kuleta mahari sikuwa nimempata wa kumridhia... Sasa hivi ndio kapatikana.Kwanza nataka maelezo ya ulipopotelea wakati sikumbuki kupokea mahari yako...
Niko mlangoni funguaUmeona sasa ulivyo mtoto mzuri?
Nakusubiria PM tuyajenge ya wakubwa
India moja kwa moja. Acha utotoNiko mlangoni fungua
Yanayonukia vizurimajasho
Ndio ulikua hajui[emoji1787][emoji1787]Kumbe kuna kugandiana[emoji18]
Usisahau kuja kukaguliwa kabla hujaenda huko. Nataka nipange thamani ya mahari nawe usiende kutia aibu ukweniNisamehe babu, wa kuleta mahari sikuwa nimempata wa kumridhia... Sasa hivi ndio kapatikana.
Jiandae kupokea duvet la babu. Lol
Nyinyi wenyewe mbon mkipigwa picha mnationyesha matako hampendi matako yenu kwanini sisi tusiyapende?Kumbe ndo maana mnapenda matako matako
Ndo nimejifunza hapa😃😃Ndio ulikua hajui[emoji1787][emoji1787]
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣India moja kwa moja. Acha utoto
Kuna aina ya watu wanalala kwa kubinuka inashangaza sana.Ndo nimejifunza hapa😃😃
Hahah😂😂😂... kila mtu na staili ya kulalaKuna aina ya watu wanalala kwa kubinuka inashangaza sana.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kabisa, kuna mwingine anajikunja kama tairi ya gariHahah[emoji23][emoji23][emoji23]... kila mtu na staili ya kulala
Na kuna wengine wanajikunja shingo utadhani wanataka kukata roho😃😂[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kabisa, kuna mwingine anajikunja kama tairi ya gari
Hahahahaha ila kukoroma 🙌🙌Na kuna wengine wanajikunja shingo utadhani wanataka kukata roho😃😂