Kwanza nataka maelezo ya ulipopotelea wakati sikumbuki kupokea mahari yako...I'm dying for it to happen, more than ready b...
Umeona sasa ulivyo mtoto mzuri?Mbinguni mbali,tuanze rehearsal hapahapa duniani bwana
Muone πIla sijaelewa ujue. Yaani utakuwa mtanange wa kukata na shoka auπ€π€
Nisamehe babu, wa kuleta mahari sikuwa nimempata wa kumridhia... Sasa hivi ndio kapatikana.Kwanza nataka maelezo ya ulipopotelea wakati sikumbuki kupokea mahari yako...
Niko mlangoni funguaUmeona sasa ulivyo mtoto mzuri?
Nakusubiria PM tuyajenge ya wakubwa
India moja kwa moja. Acha utotoNiko mlangoni fungua
Yanayonukia vizurimajasho
Ndio ulikua hajui[emoji1787][emoji1787]Kumbe kuna kugandiana[emoji18]
Usisahau kuja kukaguliwa kabla hujaenda huko. Nataka nipange thamani ya mahari nawe usiende kutia aibu ukweniNisamehe babu, wa kuleta mahari sikuwa nimempata wa kumridhia... Sasa hivi ndio kapatikana.
Jiandae kupokea duvet la babu. Lol
Nyinyi wenyewe mbon mkipigwa picha mnationyesha matako hampendi matako yenu kwanini sisi tusiyapende?Kumbe ndo maana mnapenda matako matako
Ndo nimejifunza hapaππNdio ulikua hajui[emoji1787][emoji1787]
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£India moja kwa moja. Acha utoto
Kuna aina ya watu wanalala kwa kubinuka inashangaza sana.Ndo nimejifunza hapaππ
Hahahπππ... kila mtu na staili ya kulalaKuna aina ya watu wanalala kwa kubinuka inashangaza sana.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kabisa, kuna mwingine anajikunja kama tairi ya gariHahah[emoji23][emoji23][emoji23]... kila mtu na staili ya kulala
Na kuna wengine wanajikunja shingo utadhani wanataka kukata rohoππ[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kabisa, kuna mwingine anajikunja kama tairi ya gari
Hahahahaha ila kukoroma ππNa kuna wengine wanajikunja shingo utadhani wanataka kukata rohoππ