Nitakuja nae 'utukague' wote babu.Usisahau kuja kukaguliwa kabla hujaenda huko. Nataka nipange thamani ya mahari nawe usiende kutia aibu ukweni
bado kuna wanao weweseka🤣🤣😃🙌Hahahahaha ila kukoroma 🙌🙌
🤣🤣🤣bado kuna wanao weweseka🤣🤣😃🙌
🤣🤣🤣
Kwan huyo unayelala nae kuna mtu alikuchagulia 😃Full kupakana mijasho na miudenda 😖
Nimeandika kutokana na hali ambayo mdau anapitia sio mmKwan huyo unayelala nae kuna mtu alikuchagulia 😃
Sawa ila na ww umeongelea maudendaNimeandika kutokana na hali ambayo mdau anapitia sio mm
Haya mambo hayaaa🤭🤭Muone 😃
Yamefanyaje😃😃Haya mambo hayaaa🤭🤭
Yana wenyewe, na wenyewe ndio nyinyiYamefanyaje😃😃
Astaghafirulilah....Nitakuja nae 'utukague' wote babu.
Kwahiyo babu kunikagua mimi ndio sawa?Astaghafirulilah....
Ndio jambo la msingi zaidi. Ili kwenye mahari niwe najua thamani yako. Wasipofika makubaliano unabaki kwa babu....Kwahiyo babu kunikagua mimi ndio sawa?
Yeah 😊🤗Yana wenyewe, na wenyewe ndio nyinyi
Yani wenyewe ndo sisi ..namaanisha mimi na weweHEBu muone
Eti Yeah😀😀
Sema kweli🥰Yani wenyewe ndo sisi ..namaanisha mimi na wewe
Yeah 😘Sema kweli🥰