Raymanu KE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2022
- 8,611
- 16,118
Jamani kugandiana Kuna Raha Yake asikwambie mtu,hasa ukipatana na pisi yenye chuchu zilizosimama saa sita.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambo mazuri bwana hayo.wanawake wana mambo ya ovyo sana, unakuta analazimisha kabisamwisho munaweza ishia ugomvi
Ala kumbeUtasikia, geukia huku basi😂
Utaua we jamaaHii baridi ya hapa lazima ugandane, kama ni kapotabo unaweza jibanza nako mpk kaka shindwa kupumua kwa kabali ya kumbatio😃
Utachomwa moto wewe mshikajo😅🙌
Hadi kunakucha.
Ohooh!! Nilitubu mbona ndugu yanguUtachomwa moto wewe mshikajo
Hapo sawaOhooh!! Nilitubu mbona ndugu yangu
mambo ya kijinga sana aya. mimi kwakweli mtu anaweza kujikuta kalambishwa kelbu matata sana kwa mambo ayawanawake wana mambo ya ovyo sana, unakuta analazimisha kabisamwisho munaweza ishia ugomvi
Na mkiwa mmenatiana kwalugha nyepesi hilo nalo linaweza kufikusha shots 8 per night ukiamka imo na utelezi ni zilezile mbegu
Raha sana kama mnapendana bila hivyo huchelewi kuona umekumbatia mbuzi au umekumbatiwa na ng'ombe 😂😂😂Mlipo kuna joto sana nini? Washeni feni tena mi napenda ile nimelala nikishtuka nikute mkono kiunoni au kifuani ama namgusisha kota kwenye dick yake basi ndo maana halisi ya wapenzi
😂😂😂😂😂mambo ya kijinga sana aya. mimi kwakweli mtu anaweza kujikuta kalambishwa kelbu matata sana kwa mambo aya
Hivi huwa inatokea na Africa piacuddling....
natamani sana
Dah RahaHahahha ni raha sana yaaani. Unakuwa unafanya kazi ya kurudisha tako nyuma tu.
Hakika najuta kuusoma huu Uzi mida hii😋😋😋Huwa ni ka burudani sana ka kukuta mzee ananesa nesa akipumua kwenye matako, yani najiona mie ndo nina kidume dunia nzima
Naongezea apa na mkono mmoja kwenye traakoLabda mwanamke wako mchafu au huna mzuka nae ulimuoa ili mradi tu usikose mke, ila pisi kali mzee hasa kipindi hiki cha mvua na kiubaridi unaanzaje kujifunika shuka lako mwenyewe.
Miguu yangu katikati ya mapaja yake na nido zake zinanichoma choma
Duh! Kama vile laana lakini. Usiku kucha na mtu!?Jamani kugandiana Kuna Raha Yake asikwambie mtu,hasa ukipatana na pisi yenye chuchu zilizosimama saa sita.