Mnapata wapi nguvu za kumfananisha mchezaji anayekiwasha michezo ya nje na ndani na huyo anayeonekana kwa Mkapa tu?

Mnapata wapi nguvu za kumfananisha mchezaji anayekiwasha michezo ya nje na ndani na huyo anayeonekana kwa Mkapa tu?

Yes kwa Inonga huko sahihi kabisa.

Ana kiwango bora kabisa kakiwasha sana mataifa ya Afrika na kaibeba sana kongo.

Kimpira mtu akibisha kiwango cha Inonga atakuwa anaendekeza ushabiki tu.

Ila sio kwa Chama.

Huyu hapana hana consistency kabisa labda ni kwa sababu ya umri kumtupa mkono pia.

Ni mchezaji wa mechi ndogo tena sio zote.

Huwezi kumfananisha na Pacome kwa sasa ambaye anakupa ubora usiobadilika (consistency)kwa kila mechi iwe ndogo au kubwa.
MKUU UMEONGEA KIMPIRA SANA [emoji2935]
 
Yes kwa Inonga huko sahihi kabisa.

Ana kiwango bora kabisa kakiwasha sana mataifa ya Afrika na kaibeba sana kongo.

Kimpira mtu akibisha kiwango cha Inonga atakuwa anaendekeza ushabiki tu.

Ila sio kwa Chama.

Huyu hapana hana consistency kabisa labda ni kwa sababu ya umri kumtupa mkono pia.

Ni mchezaji wa mechi ndogo tena sio zote.

Huwezi kumfananisha na Pacome kwa sasa ambaye anakupa ubora usiobadilika (consistency)kwa kila mechi iwe ndogo au kubwa.
Kabisa Chama kwa sasa asubiri ndo maana Yanga baada ya kumpata Pacome wamesahau kuhusu chama.
 
Kwa maana hiyo umekwepa swali kwa kuuliza swali [emoji23]

Ngoja nikukumbushe.......

Mwamba wa Lusaka alikiwasha huko ivory coast hivi majuzi akiiwakilisha timu yake ya taifa CAFCC

Wakati huo mpaka bleach mkimbizi wa ivory coast alikuwa akipiga mbizi huko kigamboni tu maana hatambuliki huko ivory coast na hajawahi kuiwakilisha timu ya taifa hata kwa friends match tu.

Mwamba wa Lusaka ni mkuu kuliko huyo mkimbizi, hawezi kufananishwa na mkimbizi.
HOJA MFU KABISA HII.
 
Kwa maana hiyo umekwepa swali kwa kuuliza swali [emoji23]

Ngoja nikukumbushe.......

Mwamba wa Lusaka alikiwasha huko ivory coast hivi majuzi akiiwakilisha timu yake ya taifa CAFCC

Wakati huo mpaka bleach mkimbizi wa ivory coast alikuwa akipiga mbizi huko kigamboni tu maana hatambuliki huko ivory coast na hajawahi kuiwakilisha timu ya taifa hata kwa friends match tu.

Mwamba wa Lusaka ni mkuu kuliko huyo mkimbizi, hawezi kufananishwa na mkimbizi.
KWA MANTIKI HIYO UNATAKA KUSEMA MAMUNYETO NI BORA KULIKO CHE MALON KWA KUWA MAMUNYETO ALIITWA TIMU YA TAIFA?!
 
Ni mjinga tu ndo anayeweza kumfananisha Pacome na Chama.

Hata mashabiki wenyewe wa simba ukiwaekea kati ya Pacome na Chama wachague mmoja ki uhalisia hawawezi kumchagua Chama.

Pacome kila mechi anapafomu yupo katika kiwango bora kabisa.

Chama baada ya mechi ya jana ndo wanaanza kumfananisha na Pacome, kwanini isiwe mechi za nyuma?

Kwasasa huwezi kumfaninisha Chama na Pacome.

Ni kumuonea tu Chama.

Mengine yatabaki kuwa ushabiki
Hata ile mechi na ihefu mbarali aliperfom vizuri juzi misri pia tulimuona akiperform vizuri
Hebu tupe individual statistic zao mpaka walipo sasa
 

Attachments

  • 20240302_230644.jpg
    20240302_230644.jpg
    78.9 KB · Views: 5
Hata ile mechi na ihefu mbarali aliperfom vizuri juzi misri pia tulimuona akiperform vizuri
Hebu tupe individual statistic zao mpaka walipo sasa
Umekimbilia kuweka wafungaji bora wa muda wote!

Kwani Pacome ameshamaliza kucheza kwamba hatofunga tena na hivyo kutozifikia hizo goli?

Pacome ana miaka 26 ana matarajio ya kucheza kwa miaka 7 mbele kuzifikia hizo goli kwa perfomance yake ni jambo la muda tu.

Chama kwa sasa ana miaka 33 huyu kucheza kwa miaka hata mitatu mbele kwa perfomance nzuri ni kitu cha kubahatisha tu.Umri umeshamtupa mkono.

Kwa msimu huu CAFCL hatua ya makundi Pacome ana goli tatu na assist 2 with unquestionable perfomance.

Chama ana goli na assist ngapi?
 
Kwa maana hiyo umekwepa swali kwa kuuliza swali 😂

Ngoja nikukumbushe.......

Mwamba wa Lusaka alikiwasha huko ivory coast hivi majuzi akiiwakilisha timu yake ya taifa CAFCC

Wakati huo mpaka bleach mkimbizi wa ivory coast alikuwa akipiga mbizi huko kigamboni tu maana hatambuliki huko ivory coast na hajawahi kuiwakilisha timu ya taifa hata kwa friends match tu.

Mwamba wa Lusaka ni mkuu kuliko huyo mkimbizi, hawezi kufananishwa na mkimbizi.
Kama kigezo cha kuitwa timu ya taifa ndio ubora basi hata ROMELU LUKAKU NI MCHEZAJI BORA KULIKO HATA WACHEZAJI BAADHI WA ARGENTINA AMBAO HAWAKUITWA timu ya taifa.
Nimemfuatilia Pacoume toka akiwa Asec mimosa yeye ni miongoni mwa wachezaji waliosaidia Asec kwenda nusu fainal CAFCC msimu ulioisha.
Kiuchezaji Pacoume ana vingi vya kukupa kuliko Chama.
Ukisema hivyo hata Musonda aliitwa Zambia na alicheza.
 
Pacome anatumia nguvu sana kuonesha kipaji chake ila chama kazaliwa nacho kama Mess tu au zidane
SASA ULITAKA ACHEZE HUKU KALEGEA ILI MUMVUNJE?!

WEWE KUBALI TU KUWA CHAMA ANA SPEED YA KONOKONO.
 
Kama kigezo cha kuitwa timu ya taifa ndio ubora basi hata ROMELU LUKAKU NI MCHEZAJI BORA KULIKO HATA WACHEZAJI BAADHI WA ARGENTINA AMBAO HAWAKUITWA timu ya taifa.
Nimemfuatilia Pacoume toka akiwa Asec mimosa yeye ni miongoni mwa wachezaji waliosaidia Asec kwenda nusu fainal CAFCC msimu ulioisha.
Kiuchezaji Pacoume ana vingi vya kukupa kuliko Chama.
Ukisema hivyo hata Musonda aliitwa Zambia na alicheza.
MKUU USIUMIZE KICHWA KUMJIBU HUYO HANA HOJA.
 
Umekimbilia kuweka wafungaji bora wa muda wote!

Kwani Pacome ameshamaliza kucheza kwamba hatofunga tena na hivyo kutozifikia hizo goli?

Pacome ana miaka 26 ana matarajio ya kucheza kwa miaka 7 mbele kuzifikia hizo goli kwa perfomance yake ni jambo la muda tu.

Chama kwa sasa ana miaka 33 huyu kucheza kwa miaka hata mitatu mbele kwa perfomance nzuri ni kitu cha kubahatisha tu.Umri umeshamtupa mkono.

Kwa msimu huu CAFCL hatua ya makundi Pacome ana goli tatu na assist 2 with unquestionable perfomance.

Chama ana goli na assist ngapi?
Hahaha usinalize energy yako mkuu kubishana na Jobe Fc wabishi sana hao.
 
Kwa maana hiyo umekwepa swali kwa kuuliza swali [emoji23]

Ngoja nikukumbushe.......

Mwamba wa Lusaka alikiwasha huko ivory coast hivi majuzi akiiwakilisha timu yake ya taifa CAFCC

Wakati huo mpaka bleach mkimbizi wa ivory coast alikuwa akipiga mbizi huko kigamboni tu maana hatambuliki huko ivory coast na hajawahi kuiwakilisha timu ya taifa hata kwa friends match tu.

Mwamba wa Lusaka ni mkuu kuliko huyo mkimbizi, hawezi kufananishwa na mkimbizi.
Kumbe siku hizi timu za taifa zinacheza CAFCC kama mashindano tu hujui halafu unachambua au unachamba?
 
Kwa maana hiyo umekwepa swali kwa kuuliza swali 😂

Ngoja nikukumbushe.......

Mwamba wa Lusaka alikiwasha huko ivory coast hivi majuzi akiiwakilisha timu yake ya taifa CAFCC

Wakati huo mpaka bleach mkimbizi wa ivory coast alikuwa akipiga mbizi huko kigamboni tu maana hatambuliki huko ivory coast na hajawahi kuiwakilisha timu ya taifa hata kwa friends match tu.

Mwamba wa Lusaka ni mkuu kuliko huyo mkimbizi, hawezi kufananishwa na mkimbizi.
Unalinganisha ivory coast na Zambia!?..halafu Zambia wanekiwasha wapi?!
 
Back
Top Bottom