Mnapata wapi nguvu za kumfananisha mchezaji anayekiwasha michezo ya nje na ndani na huyo anayeonekana kwa Mkapa tu?

Mnapata wapi nguvu za kumfananisha mchezaji anayekiwasha michezo ya nje na ndani na huyo anayeonekana kwa Mkapa tu?

Waliokuwa wanasema Chama kaisha wengi wao ni utopolo, ingawa haohao Kila siku wanasema kasajiliwa yanga Ila haichezei labda yupo Simba kwa mkopo. Okra mliyekuwa mnamponda alivyoachwa mkaenda kumsajili tushagundua janja zenu mnamponda Chama ili mpate utahisi wa kumsajili.
Mtaendelea kusajili Hadi wachezaji wa benchi Simba Kama mlivyomsajili Mkude .
 
Hoja nyingi zipo kiushabiki.
Ukitaka kuona kiwango Cha Chama team pinzani iwe na kiungo mbovu na defense mbovu. Hii hua haitokei pale Simba inapicheza na al ahly au team zngine kubwa, Cha kistaajabisha kibu ndo huonekana kuliko Chama .
Refer siku Simba inakuka mkono kutokea kwa yanga, je Chama hakuepo, pacome hakuwepo, ki Aziz hakuepo. Team zote zilikua full mass nondo ila kilichotokea Kila Mtu aliona.


Kwa kumalizia tu Chama ana match zake .
 
Hoja nyingi zipo kiushabiki.
Ukitaka kuona kiwango Cha Chama team pinzani iwe na kiungo mbovu na defense mbovu. Hii hua haitokei pale Simba inapicheza na al ahly au team zngine kubwa, Cha kistaajabisha kibu ndo huonekana kuliko Chama .

Kwa kumalizia tu Chama ana match zake .
Hata ya kitandani kwako pia anaperform vizuri?
 
...sisi tuliifunga timu ya chama 5 na yeye akiwemo
Unataka kusema kwamba mmeshalipa lile deni la miongo na miongo mnalodaiwa na mnyama?

Hebu watangazie chura wenzio sasa kwamba zile 6-0 mmezilipa kwa 5-1 Ila bado mna deni sugu 😂😂
 
Kabisa Chama kwa sasa asubiri ndo maana Yanga baada ya kumpata Pacome wamesahau kuhusu chama.
Pacome na Maxi wanakupa kila kitu uwanjani, watafunga, wataassist, watakaba, watakacheza 8,7,11 na ata eneo la namba 10 utawaona.

Mwisho, ni mapafu ya farasi, wanaweza wakacheza 90 bila kuchoka kwa kiwango kilekile.
 
Pacome na Maxi wanakupa kila kitu uwanjani, watafunga, wataassist, watakaba, watakacheza 8,7,11 na ata eneo la namba 10 utawaona.

Mwisho, ni mapafu ya farasi, wanaweza wakacheza 90 bila kuchoka kwa kiwango kilekile.
MKUU UMEONGEA kiufundi zaidi Hawa jamaa wanakichafua mpaka namba 6 wanakaba hii ni tofauti na Chama mpaka mashabiki walalamike kuwa hakabi.
 
Unataka kusema kwamba mmeshalipa lile deni la miongo na miongo mnalodaiwa na mnyama?

Hebu watangazie chura wenzio sasa kwamba zile 6-0 mmezilipa kwa 5-1 Ila bado mna deni sugu 😂😂
kilaza huelewi...tuliifunga timu ya chama na yeye chama anayezungumzwa ni bora sana akiwemo,simba iliwahi kuifunga yanga 6-0 sijui lolote zaidi ya hilo kuhusu hiyo game,ila najua kila kitu kuhusu 5-1 na chama akiwemo
 
kilaza huelewi...tuliifunga timu ya chama na yeye chama anayezungumzwa ni bora sana akiwemo,simba iliwahi kuifunga yanga 6-0 sijui lolote zaidi ya hilo kuhusu hiyo game,ila najua kila kitu kuhusu 5-1 na chama akiwemo
TENA WAKAJA KUSEMA KUWA KAUZA GEMU BAADA YA KUPOTEZWA WACHEZAJI MAKINI
 
Back
Top Bottom