Mnapata wapi nguvu za kumfananisha mchezaji anayekiwasha michezo ya nje na ndani na huyo anayeonekana kwa Mkapa tu?

Mnapata wapi nguvu za kumfananisha mchezaji anayekiwasha michezo ya nje na ndani na huyo anayeonekana kwa Mkapa tu?

Umekiri mwenyewe kuwa Chama ni baba lake Pacome 😂😂

Haya kabebe mabegi ya waliokula hela ya Uto warudi kwao sasa
Sijasema kuwa Chama ni bora kuliko Pacome.
Soma uelewe,Chama amekua katika game muda mrefu hivyo keshaweka rekodi huwezi fananisha na Pacome ambaye kaanza ball miaka hii inayohesabika.
Ila muda unavyokwenda na yeye ataweka rekodi zake.
 
kwani mada mezani ni nini?
ili tujue shida utoto au kutokuwa muelewa wa mambo hapa
Kumbe hata mada huijui, sasa hizo 5-1 ulizileta za nini hapa ilhali hujui kuwa Uto hawalipa deni la 6-0?

Endelea kukua kijana utaelewa ukiwa mkubwa.
 
Acha kuruka ruka kama maharage ya Mbeya yanayopikwa, pacome bado mtoto kwa Chama

Fei toto ndio saizi ya Pacome.

Over.
Sijasema kuwa Chama ni bora kuliko Pacome.
Soma uelewe,Chama amekua katika game muda mrefu hivyo keshaweka rekodi huwezi fananisha na Pacome ambaye kaanza ball miaka hii inayohesabika.
Ila muda unavyokwenda na yeye ataweka rekodi zake.
 
Acha kuruka ruka kama maharage ya Mbeya yanayopikwa, pacome bado mtoto kwa Chama

Fei toto ndio saizi ya Pacome.

Over.
Ni wewe unasema.
Ni sawa kipindi kile useme Lewandowski ni zaidi ya Aubameyang kisa Lewandowski alianza kucheza kabla ya Aubameyang,ila baadae Aubameyang akaja weka rekodi sawa na Lewandowski na kumpokonya tuzo nyingi tu bundesliga.
You can't be serious kumfananisha Pacoume na Feitoto.
Pacoume zaidi ya Chama.
OVA
 
Ni mjinga tu ndo anayeweza kumfananisha Pacome na Chama.

Hata mashabiki wenyewe wa simba ukiwaekea kati ya Pacome na Chama wachague mmoja ki uhalisia hawawezi kumchagua Chama.

Pacome kila mechi anapafomu yupo katika kiwango bora kabisa.

Chama baada ya mechi ya jana ndo wanaanza kumfananisha na Pacome, kwanini isiwe mechi za nyuma?

Kwasasa huwezi kumfaninisha Chama na Pacome.

Ni kumuonea tu Chama.

Mengine yatabaki kuwa ushabiki
Yupo kwenye form but sio class thus why mnamuona Na kumuimba Sasa but class ya Chama huwez kufsnanisha na iyo blch

Alaf cha kuwasaidia mpira una pimwa kwa takwm sio kelele kelele kama sharua kafumaniwa kwaiyo weken takwm hapa zote kwa miaka Yao tangu waanze kucheza
 
Ni wewe unasema.
Ni sawa kipindi kile useme Lewandowski ni zaidi ya Aubameyang kisa Lewandowski alianza kucheza kabla ya Aubameyang,ila baadae Aubameyang akaja weka rekodi sawa na Lewandowski na kumpokonya tuzo nyingi tu bundesliga.
You can't be serious kumfananisha Pacoume na Feitoto.
Pacoume zaidi ya Chama.
OVA
Tumeshamalizana mkuu acha kukaza fuvu.

Mpambanishe Fei toto na Pacome huyo ndiye saizi yake
 
Miezi miwili iliyopita zilisikika sauti za kusema "hatumtaki Chama na Bora aende maana yeye siyo mkubwa kuliko timu".

Baada ya game ya Simba sc na Jwaneng galaxy Fc Chama kuonesha kiwango chake Kama ilivyokawaida kwenye timu ndogo huwaka kweli kweli na kufanya mashabiki waibuke nakuanza kuimba Chama ni Bora kuliko Pacome.

*Msichokijua kuhusu PACOME, ni kwamba huyu mwamba anacheza namba 8,10,11 na 7, huyu mwamba aka Kasi na anapiga miguu yote, huyu mwamba akili yake na utulivu katika lango ni hatari sana

*Huyu mwamba anakiwasha kimataifa na games za ndani, angalia mediama, Belouzdad na al ahly kote huku alikiwasha nje ndani bila kuchagua uwanja misri Ghana Wala kwa Mkapa.

Hii ni tofauti kabisa na chezaji lenye Kasi ya konokono anayesubiri kwa Mkapa tu ndiyo aonekaneakiwashe lakini hata mechi za Pale chamzi huwa anafichwa Kama titi ndani ya Sidiria kiufupi Chama ana mechi zake lakini siyo big talent Pacoume zizu.

Maoni Yangu: ni ngumu sana kumfananisha mchezaji anayekiwasha kimataifa Hadi local games na mchezaji anayesubiri kwa Mkapa tu.
Wanaendelea kujifariji,mchezaji ambaye yupo kwenye kikosi CAF cha wiki karibia mara tatu, ana kiwasha nje ndani. Tupo hapa muda utaongea,kichaka cha robo tushafyeka.
 
Yes kwa Inonga huko sahihi kabisa.

Ana kiwango bora kabisa kakiwasha sana mataifa ya Afrika na kaibeba sana kongo.

Kimpira mtu akibisha kiwango cha Inonga atakuwa anaendekeza ushabiki tu.

Ila sio kwa Chama.

Huyu hapana hana consistency kabisa labda ni kwa sababu ya umri kumtupa mkono pia.

Ni mchezaji wa mechi ndogo tena sio zote.

Huwezi kumfananisha na Pacome kwa sasa ambaye anakupa ubora usiobadilika (consistency)kwa kila mechi iwe ndogo au kubwa.


Nyie mmekosa kazi ya kufanya, chama na pakome hawafanani hata kidogo kila mmoja ni bora kwa klabu yake.
 
Yupo kwenye form but sio class thus why mnamuona Na kumuimba Sasa but class ya Chama huwez kufsnanisha na iyo blch

Alaf cha kuwasaidia mpira una pimwa kwa takwm sio kelele kelele kama sharua kafumaniwa kwaiyo weken takwm hapa zote kwa miaka Yao tangu waanze kucheza
Takwimu gani unazotaka wewe?

Mimi naanza na hizi;

CAFCL GROUP STAGE.

Pacome ana goli 3 na assist 2.

Za chama tuwekee wewe.
 
Miezi miwili iliyopita zilisikika sauti za kusema "hatumtaki Chama na Bora aende maana yeye siyo mkubwa kuliko timu".

Baada ya game ya Simba sc na Jwaneng galaxy Fc Chama kuonesha kiwango chake Kama ilivyokawaida kwenye timu ndogo huwaka kweli kweli na kufanya mashabiki waibuke nakuanza kuimba Chama ni Bora kuliko Pacome.

*Msichokijua kuhusu PACOME, ni kwamba huyu mwamba anacheza namba 8,10,11 na 7, huyu mwamba aka Kasi na anapiga miguu yote, huyu mwamba akili yake na utulivu katika lango ni hatari sana

*Huyu mwamba anakiwasha kimataifa na games za ndani, angalia mediama, Belouzdad na al ahly kote huku alikiwasha nje ndani bila kuchagua uwanja misri Ghana Wala kwa Mkapa.

Hii ni tofauti kabisa na chezaji lenye Kasi ya konokono anayesubiri kwa Mkapa tu ndiyo aonekaneakiwashe lakini hata mechi za Pale chamzi huwa anafichwa Kama titi ndani ya Sidiria kiufupi Chama ana mechi zake lakini siyo big talent Pacoume zizu.

Maoni Yangu: ni ngumu sana kumfananisha mchezaji anayekiwasha kimataifa Hadi local games na mchezaji anayesubiri kwa Mkapa tu.
Tena anaesubilia uwanja urogwe kwanza ata Kama anacheza na timu dhaifu kama jwaneng ndio utamuona🤣🤣🤣
 
Mchezaji wa Young Africans Sports Club Pacoume #26 ameibuka na kuwa mchezaji bora wa mashindano ya CAFCL kwa hatua ya makundi kutokana na kukusanya points nyingi kulko washndani wake

Ukumbuke pia pacoume zouzua amekuwa mchezaji bora wa mechi mara mbili katika hatua ya makundi CAFCL

Source ni CAF wanyewe haya njooni na chezaji lenu lenye speed KOBE.
1709489619905.jpg
 
Simba walivyokandwa 5 na chama wao walisema Chama aliuza mechi
Walisema aliuza mechi na badae mangungu na wenzake wakaenda kumpigia magoti kumuomba msamaha, walishinda kuelewa kwamba uyo chama ni mchezaji wa mechi ndogo awezi kuwa na effect yoyote mbele ya wachezaji wanaojielewa ndio Kama ivyo anaishia kuambiwa ameuza mechi!
 
ORODHA YA WACHEZAJI WALIOFANANISHWA NA CHAMA.

1. HARUNA NYONZIMA.
2. SAODO NTIBAZONKIZA.
3. FEISAL SALUM.
4. AZIZI KI STEPHEN.
5. MAX NZEGELI.
6. PAKOME ZIZUUU.
7.....
8........
100....
 
Back
Top Bottom