Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
Basi utakuwa ni katoto wewe, subiri ukue ndio ushadadie ukijuacho.simba iliwahi kuifunga yanga 6-0 sijui lolote zaidi ya hilo kuhusu hiyo game
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi utakuwa ni katoto wewe, subiri ukue ndio ushadadie ukijuacho.simba iliwahi kuifunga yanga 6-0 sijui lolote zaidi ya hilo kuhusu hiyo game
kwani mada mezani ni nini?Basi utakuwa ni katoto wewe, subiri ukue ndio ushadadie ukijuacho.
Pacome ni zaidi ya Chama sema ni vile Chama amekua katika game muda mrefu,ila muda utaeleza.Pacome ni mtoto kwa Chama, nenda kampambanishe na Fei Toto huyo ndiye saizi yake Ila sio Chama.
Umekiri mwenyewe kuwa Chama ni baba lake Pacome 😂😂Chama amekua katika game muda mrefu
Sijasema kuwa Chama ni bora kuliko Pacome.Umekiri mwenyewe kuwa Chama ni baba lake Pacome 😂😂
Haya kabebe mabegi ya waliokula hela ya Uto warudi kwao sasa
Kumbe hata mada huijui, sasa hizo 5-1 ulizileta za nini hapa ilhali hujui kuwa Uto hawalipa deni la 6-0?kwani mada mezani ni nini?
ili tujue shida utoto au kutokuwa muelewa wa mambo hapa
Sijasema kuwa Chama ni bora kuliko Pacome.
Soma uelewe,Chama amekua katika game muda mrefu hivyo keshaweka rekodi huwezi fananisha na Pacome ambaye kaanza ball miaka hii inayohesabika.
Ila muda unavyokwenda na yeye ataweka rekodi zake.
Ni wewe unasema.Acha kuruka ruka kama maharage ya Mbeya yanayopikwa, pacome bado mtoto kwa Chama
Fei toto ndio saizi ya Pacome.
Over.
Yupo kwenye form but sio class thus why mnamuona Na kumuimba Sasa but class ya Chama huwez kufsnanisha na iyo blchNi mjinga tu ndo anayeweza kumfananisha Pacome na Chama.
Hata mashabiki wenyewe wa simba ukiwaekea kati ya Pacome na Chama wachague mmoja ki uhalisia hawawezi kumchagua Chama.
Pacome kila mechi anapafomu yupo katika kiwango bora kabisa.
Chama baada ya mechi ya jana ndo wanaanza kumfananisha na Pacome, kwanini isiwe mechi za nyuma?
Kwasasa huwezi kumfaninisha Chama na Pacome.
Ni kumuonea tu Chama.
Mengine yatabaki kuwa ushabiki
Tumeshamalizana mkuu acha kukaza fuvu.Ni wewe unasema.
Ni sawa kipindi kile useme Lewandowski ni zaidi ya Aubameyang kisa Lewandowski alianza kucheza kabla ya Aubameyang,ila baadae Aubameyang akaja weka rekodi sawa na Lewandowski na kumpokonya tuzo nyingi tu bundesliga.
You can't be serious kumfananisha Pacoume na Feitoto.
Pacoume zaidi ya Chama.
OVA
Yashaisha tayari Pacoume ni zaidi.Tumeshamalizana mkuu acha kukaza fuvu.
Mpambanishe Fei toto na Pacome huyo ndiye saizi yake
Wanaendelea kujifariji,mchezaji ambaye yupo kwenye kikosi CAF cha wiki karibia mara tatu, ana kiwasha nje ndani. Tupo hapa muda utaongea,kichaka cha robo tushafyeka.Miezi miwili iliyopita zilisikika sauti za kusema "hatumtaki Chama na Bora aende maana yeye siyo mkubwa kuliko timu".
Baada ya game ya Simba sc na Jwaneng galaxy Fc Chama kuonesha kiwango chake Kama ilivyokawaida kwenye timu ndogo huwaka kweli kweli na kufanya mashabiki waibuke nakuanza kuimba Chama ni Bora kuliko Pacome.
*Msichokijua kuhusu PACOME, ni kwamba huyu mwamba anacheza namba 8,10,11 na 7, huyu mwamba aka Kasi na anapiga miguu yote, huyu mwamba akili yake na utulivu katika lango ni hatari sana
*Huyu mwamba anakiwasha kimataifa na games za ndani, angalia mediama, Belouzdad na al ahly kote huku alikiwasha nje ndani bila kuchagua uwanja misri Ghana Wala kwa Mkapa.
Hii ni tofauti kabisa na chezaji lenye Kasi ya konokono anayesubiri kwa Mkapa tu ndiyo aonekaneakiwashe lakini hata mechi za Pale chamzi huwa anafichwa Kama titi ndani ya Sidiria kiufupi Chama ana mechi zake lakini siyo big talent Pacoume zizu.
Maoni Yangu: ni ngumu sana kumfananisha mchezaji anayekiwasha kimataifa Hadi local games na mchezaji anayesubiri kwa Mkapa tu.
Yes kwa Inonga huko sahihi kabisa.
Ana kiwango bora kabisa kakiwasha sana mataifa ya Afrika na kaibeba sana kongo.
Kimpira mtu akibisha kiwango cha Inonga atakuwa anaendekeza ushabiki tu.
Ila sio kwa Chama.
Huyu hapana hana consistency kabisa labda ni kwa sababu ya umri kumtupa mkono pia.
Ni mchezaji wa mechi ndogo tena sio zote.
Huwezi kumfananisha na Pacome kwa sasa ambaye anakupa ubora usiobadilika (consistency)kwa kila mechi iwe ndogo au kubwa.
Takwimu gani unazotaka wewe?Yupo kwenye form but sio class thus why mnamuona Na kumuimba Sasa but class ya Chama huwez kufsnanisha na iyo blch
Alaf cha kuwasaidia mpira una pimwa kwa takwm sio kelele kelele kama sharua kafumaniwa kwaiyo weken takwm hapa zote kwa miaka Yao tangu waanze kucheza
HAWEZI KUJA TENATakwimu gani unazotaka wewe?
Mimi naanza na hizi;
CAFCL GROUP STAGE.
Pacome ana goli 3 na assist 2.
Za chama tuwekee wewe.
Tena anaesubilia uwanja urogwe kwanza ata Kama anacheza na timu dhaifu kama jwaneng ndio utamuona🤣🤣🤣Miezi miwili iliyopita zilisikika sauti za kusema "hatumtaki Chama na Bora aende maana yeye siyo mkubwa kuliko timu".
Baada ya game ya Simba sc na Jwaneng galaxy Fc Chama kuonesha kiwango chake Kama ilivyokawaida kwenye timu ndogo huwaka kweli kweli na kufanya mashabiki waibuke nakuanza kuimba Chama ni Bora kuliko Pacome.
*Msichokijua kuhusu PACOME, ni kwamba huyu mwamba anacheza namba 8,10,11 na 7, huyu mwamba aka Kasi na anapiga miguu yote, huyu mwamba akili yake na utulivu katika lango ni hatari sana
*Huyu mwamba anakiwasha kimataifa na games za ndani, angalia mediama, Belouzdad na al ahly kote huku alikiwasha nje ndani bila kuchagua uwanja misri Ghana Wala kwa Mkapa.
Hii ni tofauti kabisa na chezaji lenye Kasi ya konokono anayesubiri kwa Mkapa tu ndiyo aonekaneakiwashe lakini hata mechi za Pale chamzi huwa anafichwa Kama titi ndani ya Sidiria kiufupi Chama ana mechi zake lakini siyo big talent Pacoume zizu.
Maoni Yangu: ni ngumu sana kumfananisha mchezaji anayekiwasha kimataifa Hadi local games na mchezaji anayesubiri kwa Mkapa tu.
Hizi ndiyo machi zake HOROYA NA VIPERS YA UGANDA.Tena anaesubilia uwanja urogwe kwanza ata Kama anacheza na timu dhaifu kama jwaneng ndio utamuona[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Walisema aliuza mechi na badae mangungu na wenzake wakaenda kumpigia magoti kumuomba msamaha, walishinda kuelewa kwamba uyo chama ni mchezaji wa mechi ndogo awezi kuwa na effect yoyote mbele ya wachezaji wanaojielewa ndio Kama ivyo anaishia kuambiwa ameuza mechi!Simba walivyokandwa 5 na chama wao walisema Chama aliuza mechi