cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyu zuwena wenu ameachwa mbali na LADARK CHASAMBI
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyu zuwena wenu ameachwa mbali na LADARK CHASAMBI
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umepiga kwenye mshonoo, wallahWaliokuwa wanasema Chama kaisha wengi wao ni utopolo, ingawa haohao Kila siku wanasema kasajiliwa yanga Ila haichezei labda yupo Simba kwa mkopo. Okra mliyekuwa mnamponda alivyoachwa mkaenda kumsajili tushagundua janja zenu mnamponda Chama ili mpate utahisi wa kumsajili.
Mtaendelea kusajili Hadi wachezaji wa benchi Simba Kama mlivyomsajili Mkude .
Kwa Al ahly mbona hawakufanya hayo yotee?Pacome na Maxi wanakupa kila kitu uwanjani, watafunga, wataassist, watakaba, watakacheza 8,7,11 na ata eneo la namba 10 utawaona.
Mwisho, ni mapafu ya farasi, wanaweza wakacheza 90 bila kuchoka kwa kiwango kilekile.
5 kwa 0 2012 wee hukuwepooo?kilaza huelewi...tuliifunga timu ya chama na yeye chama anayezungumzwa ni bora sana akiwemo,simba iliwahi kuifunga yanga 6-0 sijui lolote zaidi ya hilo kuhusu hiyo game,ila najua kila kitu kuhusu 5-1 na chama akiwemo
MBONA HATUKUONA MAAJABU YACHAMA DHID YA ASEC NJE NDANIKwa Al ahly mbona hawakufanya hayo yotee?
Unakataa nn na unakubalii nn?Sijasema kuwa Chama ni bora kuliko Pacome.
Soma uelewe,Chama amekua katika game muda mrefu hivyo keshaweka rekodi huwezi fananisha na Pacome ambaye kaanza ball miaka hii inayohesabika.
Ila muda unavyokwenda na yeye ataweka rekodi zake.
Watu kibao walifananishwa na TRIPLE C, walipita wakapotea lakin TRIPLE C akaendelea kubaki huku akitambaNi mjinga tu ndo anayeweza kumfananisha Pacome na Chama.
Hata mashabiki wenyewe wa simba ukiwaekea kati ya Pacome na Chama wachague mmoja ki uhalisia hawawezi kumchagua Chama.
Pacome kila mechi anapafomu yupo katika kiwango bora kabisa.
Chama baada ya mechi ya jana ndo wanaanza kumfananisha na Pacome, kwanini isiwe mechi za nyuma?
Kwasasa huwezi kumfaninisha Chama na Pacome.
Ni kumuonea tu Chama.
Mengine yatabaki kuwa ushabiki
Teseka taratibu shoga angu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi ninachofahamu mashabiki wengi wa simba ni mbumbumbu, na hawajielewi! Yaani leo timu ikifungwa tu au kutoa sare, utawasikia wakipiga makelele ya kumkataa Chama, Matola, Mangungu na Try Again!
Halafu kesho ikitokea timu ikashinda, wanahamia kwenye kuwasifia hao watu! Na siyo kuwakataa.
Angalia hapo uliponiquote nimesema nini na wewe umejibu niniMIMI NIMEKUULIZA NINI NA WEWE UNAJIBU NINI?!
AU UNASINZIA?!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] comment niliyo reply uliisoma vzuri?MBONA HATUKUONA MAAJABU YACHAMA DHID YA ASEC NJE NDANI
Hakuna mwanayanga anayemfananisha Chama na Pacome.Watu kibao walifananishwa na TRIPLE C, walipita wakapotea lakin TRIPLE C akaendelea kubaki huku akitamba
Yanayotokea sasa sishangai kwani ni sehemu ya yale yaliyotokea na kusahaulika
Chama yupo ktk daraja lake kitambo walimbukeni wa michuano ndo hutafuta maada ili waongeleweHakuna mwanayanga anayemfananisha Chama na Pacome.
Ni mbumbumbu wa Simba ndo wamekomalia kusema Chama ni bora kuliko Pacome.
Nakubali kuwa Chama ni mchezaji wa muda mrefu na kaweka rekodi ila nakataa kuwa Chama anajua kuliko Pacoume.Unakataa nn na unakubalii nn?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tunajua roho zinawauma sana kuona mungu wenu chama anazidiwa uwezo na Pacome.C
Chama yupo ktk daraja lake kitambo walimbukeni wa michuano ndo hutafuta maada ili waongelewe
Nakuruhusu kusearch nyuzi zote za simba angalia comment zangu. Kuwa shabiki wa timu fulani hakukufanyi usiongee ukweliWewe sio simba.....yanga wanaungaunga tu......nimeona walivyocheza cairo
Sawa faesal toto 🤣🤣Nakuruhusu kusearch nyuzi zote za simba angalia comment zangu. Kuwa shabiki wa timu fulani hakukufanyi usiongee ukweli
NA NDIYO KOMBE LAO HILOHakuna mwanayanga anayemfananisha Chama na Pacome.
Ni mbumbumbu wa Simba ndo wamekomalia kusema Chama ni bora kuliko Pacome.
SIMBA NDIYO HULETA HIYO MAADA MBONA IPO WAZI KUWA PACOME NI BORA KULIKO CHAMATumechoka kwakweli, tumpe muda huyu CHAMA nae apumzike, yaani kila mchezaji akija kipimo cha ubora wake ni chama, hakuna wachezaji wengine? Tunamchosha mtoto wa watu ase
Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
Tuwaonee tu huruma.NA NDIYO KOMBE LAO HILO