Mnapata wapi nguvu za kumfananisha mchezaji anayekiwasha michezo ya nje na ndani na huyo anayeonekana kwa Mkapa tu?

Mnapata wapi nguvu za kumfananisha mchezaji anayekiwasha michezo ya nje na ndani na huyo anayeonekana kwa Mkapa tu?

Ungakua muungwana ungetoa za Chama halafu ukaomba za Pacome.

Yaaani pacome ana magoli matatu chama ana goli moja tuuu pekee tangu hatua ya makundi ianze kama watajumlisha mechi za awali pacome alishinda goli na asas kwahio ana magoli 4 huku chama alishinda goli 1 hivyo ana magoli 3
 
HHatua za awali chama ana goli 2 dhidi ya Power Dynamo ugenini
Yaaani pacome ana magoli matatu chama ana goli moja tuuu pekee tangu hatua ya makundi ianze kama watajumlisha mechi za awali pacome alishinda goli na asas kwahio ana magoli 4 huku chama alishinda goli 1 hivyo ana magoli 3
 
HHatua za awali chama ana goli 2 dhidi ya Power Dynamo ugenini
UKIZUNGUMZUMZIA HATUA ZA AWALI UNATAKA NA SISI TUANZE KUHESABU MAGOLI YA ZILE TANO TANO?!

DAH UNZINGUA SANA HUTAKI KUKUBALI KUWA PACOME NI BORA KULIKO CHAMA.
 
Unalinganisha ivory coast na Zambia!?..halafu Zambia wanekiwasha wapi?!
Ninalinganisha Chama na mpaka bleach.

Chama alikiwasha akiiwakilisha timu yake ya taifa huko kwa kombe la CAFCC

Mpaka bleach hajawahi kuiwakilisha timu yake hata kwa friends match tu.

Huoni utofauti wao mpaka hapo?

Chama peke yake ni sawa na wapaka bleach 10. Tambua hilo bwashee.
 
Yaaani pacome ana magoli matatu chama ana goli moja tuuu pekee tangu hatua ya makundi ianze kama watajumlisha mechi za awali pacome alishinda goli na asas kwahio ana magoli 4 huku chama alishinda goli 1 hivyo ana magoli 3
HAWEZI KUKUJIBU LAZIMA ATAKIMBIA.
 
Ninalinganisha Chama na mpaka bleach.

Chama alikiwasha akiiwakilisha timu yake ya taifa huko kwa kombe la CAFCC

Mpaka bleach hajawahi kuiwakilisha timu yake hata kwa friends match tu.

Huoni utofauti wao mpaka hapo?

Chama peke yake ni sawa na wapaka bleach 10. Tambua hilo bwashee.
MKUU ACHA KONYAGI KUCHANGANYA NA BANGE
 
asingetambuliwa na nchi yake asingeitwa,pale zambia pacome ndo angekuwa tegemezi wa taifa ila ila chama cha timu ndogo kakaa benchi mpk tako likaota sugu
Naona Chama kawakeraa hadi mkamletea mpaka bleach 😂😂
 
UKIZUNGUMZUMZIA HATUA ZA AWALI UNATAKA NA SISI TUANZE KUHESABU MAGOLI YA ZILE TANO TANO?!

DAH UNZINGUA SANA HUTAKI KUKUBALI KUWA PACOME NI BORA KULIKO CHAMA.
Nimemjibu huyo mtu aliyesema ana goli moja. Nimemrekebisha tu haikuwa hoja yangu.
 
UKIZUNGUMZUMZIA HATUA ZA AWALI UNATAKA NA SISI TUANZE KUHESABU MAGOLI YA ZILE TANO TANO?!

DAH UNZINGUA SANA HUTAKI KUKUBALI KUWA PACOME NI BORA KULIKO CHAMA.
kwamba huko alipokuwa club bingwa hakuwa nzuri ndio maana sio vizuri tupaongelee? kwamba kubaya huko tukuache? kwamba past ya pacome club bingwa si nzuri kwahiyo hicho kipande kisiwepo kwenye movie. alikuwa hajajipata?



Hii post yangu uliiruka bila kuijibia,umeenda kujibu majibizano yangu na mwingine
 
Wewe sio simba.....yanga wanaungaunga tu......nimeona walivyocheza cairo
Chukua like hiyo...Namalizia mimi Simba damu ila kwa kikosi na fomu ya sasa ya Yanga mchezaji pekee anayeweza kucheza kikosi cha kwanza cha Yanga ni Inonga waliobaki hakuna wa kucheza pale nafasi zao zina watu wa kazi.
 
Huyu zuwena wenu ameachwa mbali na LADARK CHASAMBI
 
Thread nzuri sana hii Zinashushwa hoja kiustaarabu...
 
Back
Top Bottom