Mnapata wapi nguvu za kumfananisha mchezaji anayekiwasha michezo ya nje na ndani na huyo anayeonekana kwa Mkapa tu?

MKUU UMEONGEA KIMPIRA SANA [emoji2935]
 
Kabisa Chama kwa sasa asubiri ndo maana Yanga baada ya kumpata Pacome wamesahau kuhusu chama.
 
HOJA MFU KABISA HII.
 
KWA MANTIKI HIYO UNATAKA KUSEMA MAMUNYETO NI BORA KULIKO CHE MALON KWA KUWA MAMUNYETO ALIITWA TIMU YA TAIFA?!
 
Hata ile mechi na ihefu mbarali aliperfom vizuri juzi misri pia tulimuona akiperform vizuri
Hebu tupe individual statistic zao mpaka walipo sasa
 

Attachments

  • 20240302_230644.jpg
    78.9 KB · Views: 5
Hata ile mechi na ihefu mbarali aliperfom vizuri juzi misri pia tulimuona akiperform vizuri
Hebu tupe individual statistic zao mpaka walipo sasa
Umekimbilia kuweka wafungaji bora wa muda wote!

Kwani Pacome ameshamaliza kucheza kwamba hatofunga tena na hivyo kutozifikia hizo goli?

Pacome ana miaka 26 ana matarajio ya kucheza kwa miaka 7 mbele kuzifikia hizo goli kwa perfomance yake ni jambo la muda tu.

Chama kwa sasa ana miaka 33 huyu kucheza kwa miaka hata mitatu mbele kwa perfomance nzuri ni kitu cha kubahatisha tu.Umri umeshamtupa mkono.

Kwa msimu huu CAFCL hatua ya makundi Pacome ana goli tatu na assist 2 with unquestionable perfomance.

Chama ana goli na assist ngapi?
 
Kama kigezo cha kuitwa timu ya taifa ndio ubora basi hata ROMELU LUKAKU NI MCHEZAJI BORA KULIKO HATA WACHEZAJI BAADHI WA ARGENTINA AMBAO HAWAKUITWA timu ya taifa.
Nimemfuatilia Pacoume toka akiwa Asec mimosa yeye ni miongoni mwa wachezaji waliosaidia Asec kwenda nusu fainal CAFCC msimu ulioisha.
Kiuchezaji Pacoume ana vingi vya kukupa kuliko Chama.
Ukisema hivyo hata Musonda aliitwa Zambia na alicheza.
 
Pacome anatumia nguvu sana kuonesha kipaji chake ila chama kazaliwa nacho kama Mess tu au zidane
SASA ULITAKA ACHEZE HUKU KALEGEA ILI MUMVUNJE?!

WEWE KUBALI TU KUWA CHAMA ANA SPEED YA KONOKONO.
 
MKUU USIUMIZE KICHWA KUMJIBU HUYO HANA HOJA.
 
Hahaha usinalize energy yako mkuu kubishana na Jobe Fc wabishi sana hao.
 
Hata ile mechi na ihefu mbarali aliperfom vizuri juzi misri pia tulimuona akiperform vizuri
Hebu tupe individual statistic zao mpaka walipo sasa
Ungakua muungwana ungetoa za Chama halafu ukaomba za Pacome.
 
Kumbe siku hizi timu za taifa zinacheza CAFCC kama mashindano tu hujui halafu unachambua au unachamba?
 
Unalinganisha ivory coast na Zambia!?..halafu Zambia wanekiwasha wapi?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…