Baba Kisarii
JF-Expert Member
- May 7, 2024
- 1,844
- 3,089
- Thread starter
- #21
KemeaSio ujasiri ni pepo. Na ukizingatia hawana hata magari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KemeaSio ujasiri ni pepo. Na ukizingatia hawana hata magari
😂😂😂😂😂😂Kemea
Kipo njiani bila shakaNgoja kimbunga Hidaya kije kuwaumbua
Hahahahahuwa wanaturoga...!
Ngoja waje na jibu.Wanatawaza vipi na hiyo mikucha?
Hayo madude si urembo, akiwa nyumbani hatumiiKwa hiyo huwa unapita nao?
Wahi sasa kwa demu wako mwenye kope na kucha bandia 😂Ohhhh......
Naona nimevamia wrong thread...😎
🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️
Niliwahi kujichanganya na mmoja hadi tukafikishana lodge Ila sikumkula baada ya mashine kugoma kabisa kuwaka.Hao huwa tunakula tu, siyo kuoa
Usinikumbushe kuhusu huyo mpuuzi wa Iramba.Kwa akili hizo huyu mkeo angekuweka ndani mwaka mzima
Hujajibu swali langu mkuu, nimekuuliza je huwa unapita nao?Hayo madude si urembo, akiwa nyumbani hatumii
Shida iko wapi?
Itakuwa umeshika dini sana...
NDIO.Hujajibu swali langu mkuu, nimekuuliza je huwa unapita nao?
Mi sjamtenga mkuu😃 still ni familia mkuu
Una haki ya kuwatetea japo hujathibisha unapataje ujasiri wa kupita nao 😂NDIO.
Hahaha..Niliwahi kujichanganya na mmoja hadi tukafikishana lodge Ila sikumkula baada ya mashine kugoma kabisa kuwaka.
Ilikuwa akipindua kope nikawa nahisi kama niko na kibwengo lodge sikumkula kabisa.
Sijui wewe unapata wapi ujasiri wa kumkula mwanamke wa hivyo
Kuwa Kama yule manzi wa Meet us mbona yupo fresh yupo Hana mambo mengiNataka siku nibandike tukope
Nione nitakuwaje Lightysh 😂😂
Kwahiyo watu wa Dar mnadhani wa mikoani tunajua kila kitu?Kuwa Kama yule manzi wa Meet us mbona yupo fresh yupo Hana mambo mengi