Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
Na nikiyabandika nyie ndio wa kwanza kuona punde tu nikitoka saloon 🤣🤣🤣Tafadhali usithubutu🤣🤣
G&G family tutakutoa nduki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na nikiyabandika nyie ndio wa kwanza kuona punde tu nikitoka saloon 🤣🤣🤣Tafadhali usithubutu🤣🤣
G&G family tutakutoa nduki
Nshakwambia mara nyingi ukilewa usichatiKwahiyo watu wa Dar mnadhani wa mikoani tunajua kila kitu?
Meet us ndio nini 🤣🤣🤣
Ban itakuhusuNa nikiyabandika nyie ndio wa kwanza kuona punde tu nikitoka saloon 🤣🤣🤣
🤣🤣🤣tatizo baridi ni kaliNshakwambia mara nyingi ukilewa usichati
Tujaribu 🤣🤣Ban itakuhusu
Naogopa sana hizo vitu za machonu, au ndio ushamba 🤣🤣
Siku ya wedding yako aki nitaweka, lolote litakalonipata maharusi you will be responsible 😂Tujaribu 🤣🤣
Subir Ile ya mwezi wa sita na saba🤣🤣🤣tatizo baridi ni kali
Na ilizima kwa sababu sikutakiwa kumla 😜Hahaha..
Umesema mashine ilibuma, haikuwaka. Maanaake ingewaka ungekula
Msabato ndo nani?msabato on air
mchukia urembo kwa mwanamkeMsabato ndo nani?
Mie sichukii urembo kwa mwanamke, Ila sivutiwi na kope na hizo kucha za bandia huwa namuona mbaya sana anayejibandika hivyo vitu vya bandia.mchukia urembo kwa mwanamke
Baelezee hao sio waoaji. Btw bebi naomba unioe 🤦♀️Kwani hizo kucha na kope zinavaliwa kila siku?😅
Si wanavaa kwenye mitoko tu?
sjawah ata toka nizaliwe,,ata makeup tu siwezi 😂😂 naona inajaza uso,,rangi ya kucha siwezi naona kucha znakua nzto,,hereni n iz ndogo ndogo sana,,sjui cheni bangili siwezi woooiii sjui nkoje mm🙌🏾🙌🏾😂😂ila waache wanaopenda watumie bwanMie sichukii urembo kwa mwanamke, Ila sivutiwi na kope na hizo kucha za bandia huwa namuona mbaya sana anayejibandika hivyo vitu vya bandia.
Ila urembo kama wa kuvaa shanga na hereni die nawakubali sana watumiao hivyo vitu.
Vipi wewe ni mdau wa kope na kucha bandia?
Sema ww sio mpenzi wa hivyo vitu, mishanga unaipenda ila mikope unaiogopa? We mzinziiiiiMie sichukii urembo kwa mwanamke, Ila sivutiwi na kope na hizo kucha za bandia huwa namuona mbaya sana anayejibandika hivyo vitu vya bandia.
Ila urembo kama wa kuvaa shanga na hereni die nawakubali sana watumiao hivyo vitu.
Vipi wewe ni mdau wa kope na kucha bandia?
Sijawakataza wasitumie mamaila waache wanaopenda watumie bwan
asanteSijawakataza wasitumie mama
Kwa anayejua raha ya shanga hawezi kujisumbua na makope bandia yanayoweza kumkata stim mwanaume wakati wa mechi.mishanga unaipenda ila mikope unaiogopa? We mzinziiiii