Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 182,097
- 1,099,383
Hata mimi pia. Tena ikibidi hata hayo matokeo wasiyaone kabisa! 🚮🚮🚮From my side, ndugu acha tu wawe wanaona matokeo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mimi pia. Tena ikibidi hata hayo matokeo wasiyaone kabisa! 🚮🚮🚮From my side, ndugu acha tu wawe wanaona matokeo
Huyu haongei kwa uzalendo bali kwa husuda na kijicho kwa kuwa neema imemuangukia mwenzake hivyo anatoa ushauri sio kwa lengo la kumsaidia bali wakose wote.......hata yeye mwenyewe asingefanya anachomshauri mwenzie kufanya.........Ebu muone huyu kwa hiyo aipeleke serikalini?yaani nyumba zote hizi ilizonazo serikali bado akawaongezee zingine mbona serikali haiwAgai watu wasiokuwA na nyumba ?kwA hiyo we ukiokota bilioni unazipeleka Bot?kwa hiyo wao ndo wAnaweza kuzihifadhi na kuzitumia ? Au ndo uzalendo mpaka kwenye bilioni za kuokota?
Hii sentensi, mashine imesimama hapaNjoo tusex mkuu, hapatikani kwa mdomo
Ingia kwenye hiyo nyumba ya jirani yako bila kutoa taarifa popote ili kupunguza jambo kuwa gumu, ipangishe na kuihudumia. Fedha zake zihifadhi, utakuja kumpa pindi atakapopatikana au pindi nduguze watakapokuja. Usiiache iendelee kukaa tupuWakuu Habari zenu.
Kuna jirani yangu huu mwaka wa 12 haonekani na namba yake ikawa haipatikani mpaka Sasa ukipiga amepewa mtu mwingine kabisa. Sijui nini kimemkuta ila Kwa asilimia kubwa atakuwa amefariki.
Kipindi nahamia kwangu, alikuwa hajaanza ujenzi na baada ya mda akaanza ujenzi wa Bangaloo lake, alikuwa na uwezo na alijenga jumba la kifahari haswa na mafundi aliotumia aliniomba nimuunganishe wale walionijengea.
Nyumba ikiwa hatua za mwisho hii ilikuwa October 2012 jamaa akapotea, simu ikawa hazipokelewi baada ya mda hapatikani kabisa, Hakuna mtu anaejua alikuwa anakaa wapi, site tulizoea kumuona akiwa mwenyewe.
Na viwanja vilikuwa Bado havijapimwa kipindi hicho, hata Ardhi hamna detail zake.
Nyumba yenye thamani ya zaidi ya Tsh 300m inapotea pasipo ndugu kujua.
Kuna mwingine ni mwanajeshi mstaafu alinunua bonge la pori Goba - Dsm kipindi Cha zamani, Hakushirikisha familia japokuwa alikuwa na mke na watoto wakubwa sana.
Alimuachia mamlaka yote ya uangalizi wa eneo balozi wa ule mtaa, Mwaka Juzi alianza kuuza lile eneo lake baada ya kulipima, Kipindi hicho alikuwa anaumwa Yuko Nairobi, mimi nilipelekwa na Dalali nikiwa natafuta kiwanja. Unapitia Kwa Balozi unaongea akiwa Nairobi anakupa Account unalipa mnaandikisha na Balozi Kwa niaba yake, Yule Mzee sijui Nini kilimkuta alikuwa anauza viwanja Kwa bei ya chini sana sqm moja Kwa Goba alikuwa anauza Tsh 45,000/=
Nilinunua baadhi ya viwanja pale, na Bado ananidai 30m
Mwaka huu tumepata taarifa kafa nashindwa kuitafuta familia yake kuwaambia kwamba baba yao anaidai maana wanaweza kuanziaha mgogoro, Japo mke wake yupo na watoto wake.
Tulinunua maeneo Yale wote tulishabadilishq umiliki
Alikuwa na bonge la eneo hekari 10 zinafika, mjumbe kafaidi huku mke na watoto hawajui Chochote.
Wakuu tunapofanya maendeleo tujitahidi familia zijue hata kama Kuna ugomvi kiasi gani, basi kama sio mkeo Tafuta ndugu mnaoelewana waoneshe, Hatujui kesho yetu, Kuna Vifo vya ghafla.
Huyu Kwa asilimia kubwa atakuwa kashakufa. Nyumba nimebaki naipalilia Mimi Kwa sababu ni Jirani yangu ili isiwe sehemu ya kutumza wadudu. Raia wanajua ni yangu
Sometimes maisha yanafanya watu wawe wapweke sana mkuu. Yaani unakuta jamaa hajaficha mali bali amekosa mtu wa kumshirikisha kutokana na kuwa mpweke, ametengwa au amejitenga na nduguze.Hapa home kuna kiwanja kama nusu eka sijamwona mwenyewe mwaka wa 6 sasa . Nalima mihogo tu. Wanadamu wengi ni wajinga sana. Mtu anaficha mali utadhani roho, huyu jamaa sijui kafa
Shida inakuwa Nini mkuu?Hata mimi pia. Tena ikibidi hata hayo matokeo wasiyaone kabisa! 🚮🚮🚮
KabisaSometimes maisha yanafanya watu wawe wapweke sana mkuu. Yaani unakuta jamaa hajaficha mali bali amekosa mtu wa kumshirikisha kutokana na kuwa mpweke, ametengwa au amejitenga na nduguze.
Huku JF kuna uzi mtu anataka kujua watu wanapataje marafiki maana yeye ameshindwa kupata rafiki
Siyo kirahisi hivyo kama unavyo sema, Nyumba nyingine zina maruweruwe!!cHukua nyumba hyo
Kuna ukweli hapa.Sometimes maisha yanafanya watu wawe wapweke sana mkuu. Yaani unakuta jamaa hajaficha mali bali amekosa mtu wa kumshirikisha kutokana na kuwa mpweke, ametengwa au amejitenga na nduguze.
Huku JF kuna uzi mtu anataka kujua watu wanapataje marafiki maana yeye ameshindwa kupata rafiki
Hiyo nyumba ya jamaaa,Ni yako kwa Sasa.Wakuu Habari zenu.
Kuna jirani yangu huu mwaka wa 12 haonekani na namba yake ikawa haipatikani mpaka Sasa ukipiga amepewa mtu mwingine kabisa. Sijui nini kimemkuta ila Kwa asilimia kubwa atakuwa amefariki.
Kipindi nahamia kwangu, alikuwa hajaanza ujenzi na baada ya mda akaanza ujenzi wa Bangaloo lake, alikuwa na uwezo na alijenga jumba la kifahari haswa na mafundi aliotumia aliniomba nimuunganishe wale walionijengea.
Nyumba ikiwa hatua za mwisho hii ilikuwa October 2012 jamaa akapotea, simu ikawa hazipokelewi baada ya mda hapatikani kabisa, Hakuna mtu anaejua alikuwa anakaa wapi, site tulizoea kumuona akiwa mwenyewe.
Na viwanja vilikuwa Bado havijapimwa kipindi hicho, hata Ardhi hamna detail zake.
Nyumba yenye thamani ya zaidi ya Tsh 300m inapotea pasipo ndugu kujua.
Kuna mwingine ni mwanajeshi mstaafu alinunua bonge la pori Goba - Dsm kipindi Cha zamani, Hakushirikisha familia japokuwa alikuwa na mke na watoto wakubwa sana.
Alimuachia mamlaka yote ya uangalizi wa eneo balozi wa ule mtaa, Mwaka Juzi alianza kuuza lile eneo lake baada ya kulipima, Kipindi hicho alikuwa anaumwa Yuko Nairobi, mimi nilipelekwa na Dalali nikiwa natafuta kiwanja. Unapitia Kwa Balozi unaongea akiwa Nairobi anakupa Account unalipa mnaandikisha na Balozi Kwa niaba yake, Yule Mzee sijui Nini kilimkuta alikuwa anauza viwanja Kwa bei ya chini sana sqm moja Kwa Goba alikuwa anauza Tsh 45,000/=
Nilinunua baadhi ya viwanja pale, na Bado ananidai 30m
Mwaka huu tumepata taarifa kafa nashindwa kuitafuta familia yake kuwaambia kwamba baba yao anaidai maana wanaweza kuanziaha mgogoro, Japo mke wake yupo na watoto wake.
Tulinunua maeneo Yale wote tulishabadilishq umiliki
Alikuwa na bonge la eneo hekari 10 zinafika, mjumbe kafaidi huku mke na watoto hawajui Chochote.
Wakuu tunapofanya maendeleo tujitahidi familia zijue hata kama Kuna ugomvi kiasi gani, basi kama sio mkeo Tafuta ndugu mnaoelewana waoneshe, Hatujui kesho yetu, Kuna Vifo vya ghafla.
Huyu Kwa asilimia kubwa atakuwa kashakufa. Nyumba nimebaki naipalilia Mimi Kwa sababu ni Jirani yangu ili isiwe sehemu ya kutumza wadudu. Raia wanajua ni yangu
Inaonekana wewe huna dhiki Sana, baada ya muda tafuta yatima mmoja mpe ,hahahaahWakuu Habari zenu.
Kuna jirani yangu huu mwaka wa 12 haonekani na namba yake ikawa haipatikani mpaka Sasa ukipiga amepewa mtu mwingine kabisa. Sijui nini kimemkuta ila Kwa asilimia kubwa atakuwa amefariki.
Kipindi nahamia kwangu, alikuwa hajaanza ujenzi na baada ya mda akaanza ujenzi wa Bangaloo lake, alikuwa na uwezo na alijenga jumba la kifahari haswa na mafundi aliotumia aliniomba nimuunganishe wale walionijengea.
Nyumba ikiwa hatua za mwisho hii ilikuwa October 2012 jamaa akapotea, simu ikawa hazipokelewi baada ya mda hapatikani kabisa, Hakuna mtu anaejua alikuwa anakaa wapi, site tulizoea kumuona akiwa mwenyewe.
Na viwanja vilikuwa Bado havijapimwa kipindi hicho, hata Ardhi hamna detail zake.
Nyumba yenye thamani ya zaidi ya Tsh 300m inapotea pasipo ndugu kujua.
Kuna mwingine ni mwanajeshi mstaafu alinunua bonge la pori Goba - Dsm kipindi Cha zamani, Hakushirikisha familia japokuwa alikuwa na mke na watoto wakubwa sana.
Alimuachia mamlaka yote ya uangalizi wa eneo balozi wa ule mtaa, Mwaka Juzi alianza kuuza lile eneo lake baada ya kulipima, Kipindi hicho alikuwa anaumwa Yuko Nairobi, mimi nilipelekwa na Dalali nikiwa natafuta kiwanja. Unapitia Kwa Balozi unaongea akiwa Nairobi anakupa Account unalipa mnaandikisha na Balozi Kwa niaba yake, Yule Mzee sijui Nini kilimkuta alikuwa anauza viwanja Kwa bei ya chini sana sqm moja Kwa Goba alikuwa anauza Tsh 45,000/=
Nilinunua baadhi ya viwanja pale, na Bado ananidai 30m
Mwaka huu tumepata taarifa kafa nashindwa kuitafuta familia yake kuwaambia kwamba baba yao anaidai maana wanaweza kuanziaha mgogoro, Japo mke wake yupo na watoto wake.
Tulinunua maeneo Yale wote tulishabadilishq umiliki
Alikuwa na bonge la eneo hekari 10 zinafika, mjumbe kafaidi huku mke na watoto hawajui Chochote.
Wakuu tunapofanya maendeleo tujitahidi familia zijue hata kama Kuna ugomvi kiasi gani, basi kama sio mkeo Tafuta ndugu mnaoelewana waoneshe, Hatujui kesho yetu, Kuna Vifo vya ghafla.
Huyu Kwa asilimia kubwa atakuwa kashakufa. Nyumba nimebaki naipalilia Mimi Kwa sababu ni Jirani yangu ili isiwe sehemu ya kutumza wadudu. Raia wanajua ni yangu
Huko serikalini wataifanyia Nini hiyo nyumba au kiwanja?Hata iwe vp haihalalishi kuitumia nyumba hiyo kwa vyovyote vile nenda serikalini kabidhi kisichokua chako huo ndio utaratibu. Bot kuna kitngo cha pesa chafu mfano umeokota bilioni na haikuwezekana kupata muhusika so I ahifadhiwa mfuko maalum lakin haimaanishi mtu ajitumbulie mtu yyte akipeleka tetesi kwenye mamlaka unaitwa mwizi au mvamizi
Kwa Nini mkuu unasema hivi?Hiyo nyumba ya jamaaa,Ni yako kwa Sasa.
ToangomaHapa home kuna kiwanja kama nusu eka sijamwona mwenyewe mwaka wa 6 sasa . Nalima mihogo tu. Wanadamu wengi ni wajinga sana. Mtu anaficha mali utadhani roho, huyu jamaa sijui kafa
Ishu za familia ni changamoto sana. Umeandika ukweli mtupu.Wakuu Habari zenu.
Kuna jirani yangu huu mwaka wa 12 haonekani na namba yake ikawa haipatikani mpaka Sasa ukipiga amepewa mtu mwingine kabisa. Sijui nini kimemkuta ila Kwa asilimia kubwa atakuwa amefariki.
Kipindi nahamia kwangu, alikuwa hajaanza ujenzi na baada ya mda akaanza ujenzi wa Bangaloo lake, alikuwa na uwezo na alijenga jumba la kifahari haswa na mafundi aliotumia aliniomba nimuunganishe wale walionijengea.
Nyumba ikiwa hatua za mwisho hii ilikuwa October 2012 jamaa akapotea, simu ikawa hazipokelewi baada ya mda hapatikani kabisa, Hakuna mtu anaejua alikuwa anakaa wapi, site tulizoea kumuona akiwa mwenyewe.
Na viwanja vilikuwa Bado havijapimwa kipindi hicho, hata Ardhi hamna detail zake.
Nyumba yenye thamani ya zaidi ya Tsh 300m inapotea pasipo ndugu kujua.
Kuna mwingine ni mwanajeshi mstaafu alinunua bonge la pori Goba - Dsm kipindi Cha zamani, Hakushirikisha familia japokuwa alikuwa na mke na watoto wakubwa sana.
Alimuachia mamlaka yote ya uangalizi wa eneo balozi wa ule mtaa, Mwaka Juzi alianza kuuza lile eneo lake baada ya kulipima, Kipindi hicho alikuwa anaumwa Yuko Nairobi, mimi nilipelekwa na Dalali nikiwa natafuta kiwanja. Unapitia Kwa Balozi unaongea akiwa Nairobi anakupa Account unalipa mnaandikisha na Balozi Kwa niaba yake, Yule Mzee sijui Nini kilimkuta alikuwa anauza viwanja Kwa bei ya chini sana sqm moja Kwa Goba alikuwa anauza Tsh 45,000/=
Nilinunua baadhi ya viwanja pale, na Bado ananidai 30m
Mwaka huu tumepata taarifa kafa nashindwa kuitafuta familia yake kuwaambia kwamba baba yao anaidai maana wanaweza kuanziaha mgogoro, Japo mke wake yupo na watoto wake.
Tulinunua maeneo Yale wote tulishabadilishq umiliki
Alikuwa na bonge la eneo hekari 10 zinafika, mjumbe kafaidi huku mke na watoto hawajui Chochote.
Wakuu tunapofanya maendeleo tujitahidi familia zijue hata kama Kuna ugomvi kiasi gani, basi kama sio mkeo Tafuta ndugu mnaoelewana waoneshe, Hatujui kesho yetu, Kuna Vifo vya ghafla.
Huyu Kwa asilimia kubwa atakuwa kashakufa. Nyumba nimebaki naipalilia Mimi Kwa sababu ni Jirani yangu ili isiwe sehemu ya kutumza wadudu. Raia wanajua ni yangu