Mnapokeaje kupitia speedaf toka AliExpress

Nipe namba ya mmoja wao mkuu
 
Wakuu naomba kuelekezwa namna ya kujaza hapa,niweke nchi gani naona za Africa zipo mbili tu (Speedaf)
 
Wakuu habari za umu, mm ni mdau mpya pia kuna kipengele nimekwama, cha kwanza kuna mdau apo juu katuma screenshot ya jinsi ya kujiunga au kufungua akaunt ya speedaf, anasema nch za africa zippo mbili, kati ya hizo tz haipo. Alafu la pili je kwa zanzibar kama nikinunua kitu naeza kuletewa, au kuna anaejua au aliewai kupokea kutoka znz na wanapokelea wapi
 
Wakuu habari za umu, mm ni mdau mpya pia kuna kipengele nimekwama, cha kwanza kuna mdau apo juu katuma screenshot ya jinsi ya kujiunga au kufungua akaunt ya speedaf, anasema nch za africa zippo mbili, kati ya hizo tz haipo. Alafu la pili je kwa zanzibar kama nikinunua kitu naeza kuletewa, au kuna anaejua au aliewai kupokea kutoka znz na wanapokelea wapi
 
Kwasasa naona hata poster wana speed, nimeagiza parcel kama tatu tofauti, siku 14 imefika japo poster naona sikuiz hata kitu cha $1 unalipia, na wanakupa control namba kabisa ya kulipia. Nahisi wameshtuka Speedaf wanataka kuwapiga bao
 
Kwasasa naona hata poster wana speed, nimeagiza parcel kama tatu tofauti, siku 14 imefika japo poster naona sikuiz hata kitu cha $1 unalipia, na wanakupa control namba kabisa ya kulipia. Nahisi wameshtuka Speedaf wanataka kuwapiga bao
Juna jamaa alisema kama tracking code yako ina a zia na Tz 000 basinpasinashaka mzigo lzm utaletwa na speed af ...
Ww tracking code yako ilikuwa inaanza na code zip ?
 
Juna jamaa alisema kama tracking code yako ina a zia na Tz 000 basinpasinashaka mzigo lzm utaletwa na speed af ...
Ww tracking code yako ilikuwa inaanza na code zip ?
Wanatoa mbili mboli, ya kwanza ambayo unaweza kutrack mzigo kianzia kwa seller inaanza na herufi mbili mwanzo halfu namba mwisho haina herufi, ila mziko ukishaondoka China kuja tz kunakuwa na track no tofauti inaanza na UV inaishia na UZ hiyo unaweza kuitumia kutrack kwa Global Post
 
mzigo ukiufuata oficin kwao hulipii chochote, ila ukitaka wakuletee ulipo utalipia usafiri
Sasa kwa sisi wa mikoani hatuna namna ya kuwafikia ofisi kwao hapo Dsm the only way ni wao waitume tulipo au wana watjmia mawakala wao ? Mfano mm mzigo wangu unaonekana tayar washau transport kuja Shy town
 
Mkuu habari !! Iv baada ya kuletewa mzigo wako na hawa speedaf Je kuna gharama unamlipa huyo agent aliyekuletea kifurushi chako
Hapana nililipa gharama ya kutoka mjini Hadi nilipo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…