Mnapokeaje kupitia speedaf toka AliExpress

Mnapokeaje kupitia speedaf toka AliExpress

Kuna mambo mengine ni vizuri pia kuconsult watu wenye experience.
Mkuu, Haimaanishi kila aliyefanyiwa jambo flani na wewe utafanyiwa. Kipindi kile watu walikuwa wanalalamika parcel zao kupotelea post office, ni kweli ila wengine wakati huohuo tulikuwa tukiagiza na tunapata bila shida. Unapoamua kuagiza kitu kubaliana pia na Risk unayoweza kutana nayo haswa watu wa free shipping. Ni bora kama unauwoga na unachoagiza kina thamani kubwa utumie DHL ili usipatwe na preasure.
 
Mkuu, Haimaanishi kila aliyefanyiwa jambo flani na wewe utafanyiwa. Kipindi kile watu walikuwa wanalalamika parcel zao kupotelea post office, ni kweli ila wengine wakati huohuo tulikuwa tukiagiza na tunapata bila shida. Unapoamua kuagiza kitu kubaliana pia na Risk unayoweza kutana nayo haswa watu wa free shipping. Ni bora kama unauwoga na unachoagiza kina thamani kubwa utumie DHL ili usipatwe na preasure.
Anyway, nitatumia Speedaf. Acha tu niwe risk taker.
Kuliko kutumia DHL ni vyema ninunue Bongo, kuliko kulipia hela nyingi kwenye authorities za ajabu-ajabu, mwisho wa siku bei iwe kama Bongo tu.
Kuna comment huko juu nimeicopy inasema hivi[emoji116][emoji116]

DHL ili iwe haraka inatakiwa uwe na hela. Maana watataka clearance uwalipe Tshs. 113,000/= na bado utalipa gharama za ukaguzi TBS na ukijichanganya utalipa na kodi TRA, kwa kitu kidogo tu. Speedaf ni free

Sasa kuna maana gani ya kutumia DHL
 
Anyway, nitatumia Speedaf. Acha tu niwe risk taker.
Kuliko kutumia DHL ni vyema ninunue Bongo, kuliko kulipia hela nyingi kwenye authorities za ajabu-ajabu, mwisho wa siku bei iwe kama Bongo tu.
Kuna comment huko juu nimeicopy inasema hivi[emoji116][emoji116]

DHL ili iwe haraka inatakiwa uwe na hela. Maana watataka clearance uwalipe Tshs. 113,000/= na bado utalipa gharama za ukaguzi TBS na ukijichanganya utalipa na kodi TRA, kwa kitu kidogo tu. Speedaf ni free

Sasa kuna maana gani ya kutumia DHL
DHL unaweza kushangaa shipping fee inakuwa kubwa marambili ya bei ya kununulia product yako. Nimeagiza zaidi ya mara 20 natumia free shipping au nikilipia shipping haizidi Tzs. 5000 na Mizigo yote imefika kanma nilivyoagiza. unachotakiwa kabla ya kuagiza soma review za seller hapo ndo utajua unafanya biashara na mtu wa aina gani.
 
DHL unaweza kushangaa shipping fee inakuwa kubwa marambili ya bei ya kununulia product yako. Nimeagiza zaidi ya mara 20 natumia free shipping au nikilipia shipping haizidi Tzs. 5000 na Mizigo yote imefika kanma nilivyoagiza. unachotakiwa kabla ya kuagiza soma review za seller hapo ndo utajua unafanya biashara na mtu wa aina gani.
Duh bora uagize kwa Speedaf tu
 
Tracking number ikianza na TZ000
View attachment 2538050
- Tambua mzigo unapita mikononi mwa speedaf.

Baada ya wiki mbili angalia update ya mzigo wako, utaona mahala umefikia.
Nilifanikwa, na ile product nimesha receive
20230317_120902.jpg
 
Ila hapo kwenye jina la shipper speedaf hajaandikwa hii imekaaje?
Wewe umechagua caino super economy tulia tu watakufikia kuanzia wiki 4 ,aliexpress wiki 2 hadi 3 DHL huwa 7 dys ila jiandae kwa gharama mlima
 
Naomba leo nipingane na wewe japo ndio mambo yako haya ya mtandaoni ila kuna wakati yawezekana unapitiwa. Speedaf kwenye aliexpress inatumika kama standard shipping method kuja huku kwetu pia alibaba. Ila si kwamba zote zinazoanzwa na Tz….. kwamba carrier ni SpeedAf.
Turudi kwenye post hapo mdau juu unaona kabisa amechagua Super Economy nadhani sababu ya kupunguza gharama na hicho kitamcost. Bure ghali Inabidi tu asubiri mpaka hiyo May[emoji23] kama hatopigiwa maana njia aliyochagua hata tracking haina hawezi kujua mzigo umeshatoka. Upo warehouse ama wapi. Na hizi kupotea huwa ni ipo na hutojua nani wa kumlaumu.
- Muda ni msema kweli, Tusubirie wiki mbili, muuliza swali ataweka update. Sina cha kuongeza kwa sasa.
=
Ndugu privacy, Muda tayari umetoa majibu, Rejea Comment #46 (hapo juu) imethibitisha nilichosema kwamba tracking number ukianza na TZ000, bila kujali ni chaguo gani la usafirishaji ulichagua, mzigo wako utaletwa na SPEEDAF.

Hivyo, jipe nafasi ya kujifunza kutoka kwa wengine, hata kama hoja zao zinakinzana na kile unachofikiria au unachokijua kinadharia.

Kumbuka kwamba majibu mengi ninayotoa hapa jukwaani hutokana na uzoefu wa hali halisi na sio nadharia za kufikirika.
 
DHL unaijua gharama yake ?? Au unaongea tu
Mzee cheap is expensive.

Siku zote ukiogopa gharama ndio utaingia gharama zaidi. Ni heri ulipe hizo gharama za juu lakini una uhakika wa huduma yakueleweka. Kuliko kutafuta cheap halafu mzigo wako upotee.

Anyways yawezekana hata hujawahi kuagiza hata chupi ndio maana unaogopa gharama.
 
Mzee cheap is expensive.

Siku zote ukiogopa gharama ndio utaingia gharama zaidi. Ni heri ulipe hizo gharama za juu lakini una uhakika wa huduma yakueleweka. Kuliko kutafuta cheap halafu mzigo wako upotee.

Anyways yawezekana hata hujawahi kuagiza hata chupi ndio maana unaogopa gharama.
Sasa haina maana kulipia hela nyingi DHL wakati ukijumlisha hizo gharama mzigo ungeweza kupata kwa bei hiyohiyo hapa Bongo
 
Sasa haina maana kulipia hela nyingi DHL wakati ukijumlisha hizo gharama mzigo ungeweza kupata kwa bei hiyohiyo hapa Bongo
Ni common sense tu mkuu. Kwanza ungesoma ulichoandika kisha ukafuta ukatulia.

Unawezaje kuagiza kitu nje ya nchi kwa gharama kubwa kama hicho hicho kitu unaweza kukipata ulipo kwa gharama hiyo hiyo? Huo si wendawazimu?

Kuagiza ni either ulipo hakipatikani au gharama za kuagiza ni ndogo kuliko za gharama ambapo ulipo. HIYO NDIO LOGIC.

ACHA KUULIZA MASWALI KAMA MTOTO MDOGO.
 
Ni common sense tu mkuu. Kwanza ungesoma ulichoandika kisha ukafuta ukatulia.

Unawezaje kuagiza kitu nje ya nchi kwa gharama kubwa kama hicho hicho kitu unaweza kukipata ulipo kwa gharama hiyo hiyo? Huo si wendawazimu?

Kuagiza ni either ulipo hakipatikani au gharama za kuagiza ni ndogo kuliko za gharama ambapo ulipo. HIYO NDIO LOGIC.

ACHA KUULIZA MASWALI KAMA MTOTO MDOGO.
Nilichokiandika sikifuti na ni wazi kuwa hata hujakielewa. Na sijakuuliza swali lolote, nashangaa unaniambia nauliza maswali kama mtoto mdogo

Yaani post yangu hata hujaielewa halafu unakuja kunivamia na maneno yako ya kejeli na hasira zako huko sijui nani kakukasirisha, then unakuja kuniambia mambo ya common sense.

Naona unaanzishaga thread zako na kujisifu kuwa wewe ni genius, wakati post yangu fupi tu umeshindwa kuisoma na kuielewa. Wewe kama unakokaa wanakusifia kuwa ni genius, Mimi sikuchukulii genius kama unavyojiona. Nimethibitisha hili kwa majibu yako ya ovyo unayokurupuka kuyajibu bila hata kuelewa unachokijibu, sijakuuliza swali lolote. End of story [emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]
 
Nilichokiandika sikifuti na ni wazi kuwa hata hujakielewa. Na sijakuuliza swali lolote, nashangaa unaniambia nauliza maswali kama mtoto mdogo

Yaani post yangu hata hujaielewa halafu unakuja kunivamia na maneno yako ya kejeli na hasira zako huko sijui nani kakukasirisha, then unakuja kuniambia mambo ya common sense.

Naona unaanzishaga thread zako na kujisifu kuwa wewe ni genius, wakati post yangu fupi tu umeshindwa kuisoma na kuielewa. Wewe kama unakokaa wanakusifia kuwa ni genius, Mimi sikuchukulii genius kama unavyojiona. Nimethibitisha hili kwa majibu yako ya ovyo unayokurupuka kuyajibu bila hata kuelewa unachokijibu, sijakuuliza swali lolote. End of story [emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]
Usipanic bro. Nilichomaanisha ni kuwa. Haina haja ya kuagiza mzigo nje kama hapa unaweza kuupata kwa gharama nafuu au sawa na ya nje.

Kuagiza mzigo nje husababishwa either na kutokupatikana kwake hapa nchini au gharama zake huko nje kuwa nafuu (unafuu ukiwa ni pamoja na gharama za kuufikisha hapa nchini).

Hiyo ndio logic na common sense. Sasa sijui kwanini ume panic kiasi hicho bro.

NB: Naomba nipe link ya uzi nilioanzisha nikijisifia kuwa mimi ni genius. Nitafurahi kurudia kuusoma.
 
Usipanic bro. Nilichomaanisha ni kuwa. Haina haja ya kuagiza mzigo nje kama hapa unaweza kuupata kwa gharama nafuu au sawa na ya nje.

Kuagiza mzigo nje husababishwa either na kutokupatikana kwake hapa nchini au gharama zake huko nje kuwa nafuu (unafuu ukiwa ni pamoja na gharama za kuufikisha hapa nchini).

Hiyo ndio logic na common sense. Sasa sijui kwanini ume panic kiasi hicho bro.

NB: Naomba nipe link ya uzi nilioanzisha nikijisifia kuwa mimi ni genius. Nitafurahi kurudia kuusoma.
 
Okay huo nimeupata naomba nipe link nyingine.

Ila pia nimegundua umefeli kwakuwa umeshindwa ku attack hoja ukaona bora kumu attack mleta hoja. Logical fallacy, ad hominem.
 
Back
Top Bottom