Nakadori
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 8,778
- 21,010
Mhh naogopa kujitafuna mwenyeweMaisha ndio haya haya we live everyday but die once. Enjoy the living tafuna mfupa ikiwa meno ipo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mhh naogopa kujitafuna mwenyeweMaisha ndio haya haya we live everyday but die once. Enjoy the living tafuna mfupa ikiwa meno ipo.
kama hivyo sawaHahaha sio kila mara binti yangu.
Lakini maisha ni zaidi ya chuo/kitabu kikubwa kila siku ni ukurasa mpya.
Utaona na kusikia mengi sana
🤣🤣🤣🤣Ndiyo
Kabisa yaani..!! Afu ukute hao hao na vikamba vyao ndo wa kwanza kulalama siku hizi nguvu zimeenda kwao😭😭😭
Wanatuharibia watu
Wanaume si ndo mnapenda hamkauki kuleeKabisa yaani..!! Afu ukute hao hao na vikamba vyao ndo wa kwanza kulalama siku hizi nguvu zimeenda kwao
Angalia na hali ya uchumi unavyoelekea kwani unajua wote tunafanya kazi kampuni ya maersk sealandSikuingilii bhna hila si umeniambia niagize chochote
Maana ta chchote nini si hata henessy
ShikamoooSasa mkuu kama wewe unamtoa ofa mtu ambaye alipswa yeye ndo akutoe ofa unatarajia nini?Ashushe standard zake kwa sababu anakuonea wewe huruma au aibu?Kama bajeti yako ni BALIMI mwambie kwamba unataka kumnunulia balimi moja na yeye atajazia ziada anywe Jack Daniels na kisha atakuongeza na wewe balimi mbili.Usitumie nguvu kubwa sana.
Mmh huwa siko kwa circle ya maslay queen but kuna wakati mnagongana kulingana na mazingira ya kazi na mengineyo mwanangu.kama hivyo sawa
hao slay queens sio kuwapa daily
Damn, It takes two to Tangle!!!😍Mhh naogopa kujitafuna mwenyewe
Unajua kuwa wewe ni falker sana ee🤣🤣🤣🤣Mhh naogopa kujitafuna mwenyewe
Shikamoo Glenn...Hujaona hoja hata moja mkuu?
Jamaa kaongea vizuri mkuu.
Ukialikwa chukua tahadhari usijiachie sana.
Yesu alisema ukilikwa karamuni kaa viti vya nyuma...subiri uletwe viti vya mbele.
Lengo ni nini?.
Ikiwa nimekualika halafu ukaagiza chakula cha bei ndogo labda kwa uoga...mimi niliyekualika nitakwambia chukua hata kuku mzima na wine.
Na kama siko poa hicho hicho cha bei ya kawaida nitakuacha uendelee nacho.
Mimi niliwahi kumtoa mtu out aliagiza vinywaji na chakula jumla 300k.
Je kama ningekuwa mchovu unafikiri ingekuwaje?
Yeah it does ...Damn, It takes two to Tangle!!!😍
You know how gears work tho.
Marahba.Mi najua wanokeraga na kuudhi ni wale ambao "Hasa wa kike ambao wanakujaga na kamati yao aka wajumbe"Shikamooo
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Shikamoo Glenn...
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Unajua kuwa wewe ni falker sana ee🤣🤣🤣🤣
Aaah wewe ni lijinga likubwa sana🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Why jaman?
Yeah we mtu level yake ni kunywa wine unataka umlazimishe ajaze tumbo na balimi na umemtoa out mwenyewe awe ke au me....?Marahba.Mi najua wanokeraga na kuudhi ni wale ambao "Hasa wa kike ambao wanakujaga na kamati yao"
Me najua huwa ni mjinga squredAaah wewe ni lijinga likubwa sana
Hahahahah mos mos,Mmh huwa siko kwa circle ya maslay queen but kuna wakati mnagongana kulingana na mazingira ya kazi na mengineyo mwanangu.
Kiuhalisia mimi sio mcharuko sawa na mwandiko wangu humu.
Mtaani nabehave kama pastor na huwezi amini siku tukionana🤣🤣🤣