Mnapopewa ofa muwe mnaanza kujitathimini

Mnapopewa ofa muwe mnaanza kujitathimini

Mpeleke sehemu ambayo hivyovitu hamna au unaongea na muhudumu kila akitakacho anaambiwa kipo kwenye oeder ya wengne
 
Mmh huwa siko kwa circle ya maslay queen but kuna wakati mnagongana kulingana na mazingira ya kazi na mengineyo mwanangu.

Kiuhalisia mimi sio mcharuko sawa na mwandiko wangu humu.
Mtaani nabehave kama pastor na huwezi amini siku tukionana🤣🤣🤣
hao nimewaita tu hivyo
kumbe upo hivyo kabisa
okay jambo jema .. basi wanakuonea
 
Hayo utanielezea PM😂....Watu Kama wewe January haiwahusu huwa mmeshamalizana na uongozi wa shule tangu November mwishoni
Daah si kweli mkuu.
Mimi najua kuwa navyo

Vilele najua kuishiwa au kupungukiwa.
Najua hali zote mbaya na nzuri.
Muulize Chakorii huyu ni mtoto wa kaka🤣😂
 
H
Ujinga wa bier ni huu. Unaondoka zako peke yako unaagiza bia zako mbili. Kama uliweka dhamira unywe mbili, sasa ukiisaliti dhamira yako ukanywa tatu basi dhamira nayo ina revenge, payback tyme! Unajikuta unatoa simu mwenyewe mfukoni unatafta wana, ooy wewe fisi maji uko wapi? Umbwa wewe njoo unywe mbili, unatafta mwingine na mwingine na mwisho wa siku unajikuta meza ina watu kama saba imetapika vyupa huku mlipaji ukiwa ni wewe. Pesa yako inakusaliti. Hukomi, siku ingine unarudia upuuzi ule ule, i quit
Huu ujinga nonao Mimi nikisha. Umesema kweli kabisa😂
 
Back
Top Bottom