Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
Yaani nakuja PM tuyajenge,wewe Ni mwamba!🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Leo nitakoma mbona?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani nakuja PM tuyajenge,wewe Ni mwamba!🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Leo nitakoma mbona?
Daah life langu sijui nimepewa fungu gsni niombeeni tu wakuuHahahahah mos mos,
Ungekuwa Jirani ungepata Balimi 10 chaapYeah we mtu level yake ni kunywa wine unataka umlazimishe ajaze tumbo na balimi na umemtoa out mwenyewe awe ke au me....?
Mtoa mtu outing ndo ana makosa
Msinifanyie hivi wakuu tubonge humu humu.Yaani nakuja PM tuyajenge,wewe Ni mwamba!
Nakusoma sana mwambaMe najua huwa ni mjinga squred
Sema ujinga wangu hauna madhara 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣Ungekuwa Jirani ungepata Balimi 10 chaap
Haya bana🤣🤣🤣🤣
Mkuu me balimi sigongi hata ladha sijui
Reds na wine tu. Ukishindwa sana maji ya kilimanjaro lita moja na nusu tu yanatosha.
Nakusoma pia ila nna kiporo chako... sku ukiwa huna la maana sana ntafute nkuchaneNakusoma sana mwamba
Hey MamboNitalipa. Na aibu ataona yeye
Hayo utanielezea PM😂....Watu Kama wewe January haiwahusu huwa mmeshamalizana na uongozi wa shule tangu November mwishoniMsinifanyie hivi wakuu tubonge humu humu.
Afu hii January jmn🤣🤣🤣
Kujitathimini=KujitathminiHata Kama unakaa kwa shemeji yako, jifunze kuandika vizuri
Manapo- mnapo
Kujitathimi- kujitathimini
tendwe- twende
Mmtoa- mtoa
Wewe ni chane tu mbona mie sina makuu?Nakusoma pia ila nna kiporo chako... sku ukiwa huna la maana sana ntafute nkuchane
hao nimewaita tu hivyoMmh huwa siko kwa circle ya maslay queen but kuna wakati mnagongana kulingana na mazingira ya kazi na mengineyo mwanangu.
Kiuhalisia mimi sio mcharuko sawa na mwandiko wangu humu.
Mtaani nabehave kama pastor na huwezi amini siku tukionana🤣🤣🤣
For sho, ila as long as u grown you know how to handle shit the right way.Yeah it does ...
Lakini haya maisha ni kwenda kwa kujistukia la sivyo unaacha wenzio wakila raha wavuvi hivi hivi unajiona
Daah si kweli mkuu.Hayo utanielezea PM😂....Watu Kama wewe January haiwahusu huwa mmeshamalizana na uongozi wa shule tangu November mwishoni
Yote ya nn si usimtoe tuuMpeleke sehemu ambayo hivyovitu hamna au unaongea na muhudumu kila akitakacho anaambiwa kipo kwenye oeder ya wengne
Huu ujinga nonao Mimi nikisha. Umesema kweli kabisa😂Ujinga wa bier ni huu. Unaondoka zako peke yako unaagiza bia zako mbili. Kama uliweka dhamira unywe mbili, sasa ukiisaliti dhamira yako ukanywa tatu basi dhamira nayo ina revenge, payback tyme! Unajikuta unatoa simu mwenyewe mfukoni unatafta wana, ooy wewe fisi maji uko wapi? Umbwa wewe njoo unywe mbili, unatafta mwingine na mwingine na mwisho wa siku unajikuta meza ina watu kama saba imetapika vyupa huku mlipaji ukiwa ni wewe. Pesa yako inakusaliti. Hukomi, siku ingine unarudia upuuzi ule ule, i quit
Naam usiogope mwandiko dad yako amenyooka kama rulerhao nimewaita tu hivyo
kumbe upo hivyo kabisa
okay jambo jema .. basi wanakuonea