Mnapotengana mnawapa mzigo mzito watoto sio tu wakiwa wadogo bali hata wakiwa watu wazima




Kwa hiyo sababu ya mdomo wa mke ndio mume aamue kuchepuka na kupelekea kupoteza rasilimali za familia?
Na kuleta risks nyingine kwenye familia?
Kwanini Mwanaume asitafute ufumbuzi wa huo mdomo wa mkewe ili ajifunze kuwa na kauli njema na adabu kwa mumewe kwa kutafuta ufumbuzi?
 
Upo sahihi
 
Kwanini Mwanaume asitafute ufumbuzi wa huo mdomo wa mkewe ili ajifunze kuwa na kauli njema na adabu kwa mumewe kwa kutafuta ufumbuzi?
Utafute ufumbuzi kwenye tabia ya mtu mliyefahamiana ukubwani tu ?...tabia ni ngozi huibadili
 



Utetezi huo haujaanza leo,

Hata Adam pale bustani ya Eden alipoulizwa na Mungu Kwanini amefanya makosa kwa kula tunda walokatazwa na Mungu ?
Adam alijifanya kujitetea Kwa kusema Eti “ huyo mwanamke ulonipa” ndiye alonipa nikala [emoji14][emoji14]

Adam alizani Kwa kusema hivyo yeye angeweza kuepukana na adhabu kubwa [emoji14][emoji14] aaah wapi Mungu akambamiza!
Anamwambia Kwa sababu umemsikiliza mkeo kuliko mimi Mungu……….
 
Point kubwa ya uzi wako nimeiona hapo tu.
Ni kweli Mtoto wa Nyoka ni Nyoka. Wazazi mkiwa waadilifu na watoto wenu watakuwa kama nyinyi.

Mzazi mlevi ni rahisi kuja kuzaa mtoto chapombe, Mzazi ukiwa Malaya utatoa copy kama yako. Wazazi mnapoachana ni rahisi hata watoto wenu nao wakija kuolewa/ kuoa nao ndoa zao hazitadumu
 
Huu ni mzigo mzito sana sana sana, ambao wengi wanaupitia kutokana na utengano wa wazazi
 

Ni kweli kabisa, Nadra nyoka kuzaa jongoo
 
Mwisho nimesema chagua wakufanana naye
Hakuna anayejua kuwa mwanamke aliyenaye atabaki kuwa na tabia zake zile zile zilizomvutia kabla,baadhi ya tabia zinabadilika na utakuta muovu anakuwa mwema Kwa kubadili tabia lakini hata mwema anakuwa muovu Kwa kubadili tabia. Sasa endelea kujidanganya kuwa umempata anayeendana na wewe.
 

90% tabia zinarithiwa kutoka Kwa wazazi au ukoo.
Vipi useme hakuna anayejua?

Jinsi unavyomuona Mama Mkwe au Bibi Mkwe ndivyo mtoto wake alivyo Kwa 90%
 
Mauaji mengi yatokanayo na mapenzi na ulemavu wa kudumu ni sababu ya ujinga wa kuhofia talaka.

Talaka inaepusha madhara mengi sana kuliko kung’ang’ania kuishi na adui ndani ya Nyumba moja!

Inakuwa ni rahisi kukumaliza.
 
Parents

Please teach your daughters that coming home from a failed marriage is better than coming home in a coffin

God forbid!
 
Mauaji mengi yatokanayo na mapenzi na ulemavu wa kudumu ni sababu ya ujinga wa kuhofia talaka.

Talaka inaepusha madhara mengi sana kuliko kung’ang’ania kuishi na adui ndani ya Nyumba moja!

Inakuwa ni rahisi kukumaliza.

Huwezi kuua Kama hutokani na Muuaji,
 
Imagine kuna wanawake sana wako kwenye ndoa wanamuomba Mungu awachukue wanaume wao wa ndoa [emoji24]

Yani mke anakuwa ametendwa na kuumizwa moyo na mumewe , amemuonya hasikii kwa miaka nenda rudi imekuwa ni mfumo wa maisha alochagua wa kuishi kimalaya!

Kwenye seminar za Neno la Mungu wachungaji wanakutana na mengi wakati wa canceling na maombezi,

Aliwahi sema Mchungaji Mwakasege kuwa inashangaza kuona kuna wanawake wanasema kabisa wamekuwa wakimuomba Mungu awachukue waume zao [emoji24]

Kwa hiyo nyie neng’enekeni tu huku mkijifanya vitombiii!
 
Wanaoomba riziki zikate ili yamkini mtulie ndio usiseme!

Tena mwanamke mwingine hakusemeshi lakini nyendo zako anazijua zote!

Kitendo cha kila wakati uko Simu yako roho haikutulii tayari ni kwamba uko na mahusiano mengine!

Anabaki kukuchora tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…