Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,041
- 46,239
😂Lkn kweli kunamtu mtu aliwahi kuniambia nilicheka nilijua anatania😀😀😀
Kuna wanawake wanamdomo mpaka Wanaume hatutaki Kurudi nyumbani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂Lkn kweli kunamtu mtu aliwahi kuniambia nilicheka nilijua anatania😀😀😀
Kuna wanawake wanamdomo mpaka Wanaume hatutaki Kurudi nyumbani
😂Lkn kweli kunamtu mtu aliwahi kuniambia nilicheka nilijua anatania
Mjaribu kuwarekebisha tu wataelewa tu😂mliwachagua wenyewHatupendi wanawake wenye midomo na kelele za ajabuajabu
Mjaribu kuwarekebisha tu wataelewa tu😂mliwachagua wenyew
😂🤣Ukiongeza iyo redio itakuwa mziki mnene na kulogwa juu😀😀
Marekebisho ni kuongeza mke mwingine ili wapishane kelele
Kwa mda at the end wakipita kipindi cha vurugu urudi kwenye mstariHapa wazazi unawaonea kunawatoto ni pasua kichwa
Kizazi cha kuanzia 2000 kimeuza nafsi yake kwa shetani.Huko tuendako ndio kubovu kabisa
Hiyo Kwa wenye Imani ya Dini si Sawa,inamaana Una halalisha zinaa wazi wazi.Yes kuna Umri ukifika hiyo ndio mbinu muhimu ya busara lakini pia yenye faida Kwa familia hasa watoto.
Lakini kama bado haujafika mbali, na bado hamjachuma Mali na nguvu bado unazo hapo option ni kupiga chini tuu
Hiyo Kwa wenye Imani ya Dini si Sawa,inamaana Una halalisha zinaa wazi wazi.
Swali linakuja lipi ni Bora kuenda kinyume na Mungu au kuamua kuachana na kila mtu apate mwenza wa Maisha,ambayo yatampendeza Mungu
Good!
Naongezea:
1. Ugumu wakati wa kuwatembelea wazazi. Inatokea wazazi wapo mikoa tofauti tofauti au mkoa mmoja ila sehenu tofauti tofauti; na wote wanataka kuwaona wajukuu wao. Hiyo adha ya safari usipime!
2. Baadhi ya changamoto zinapaswa kutatuliwa kimila; Kwa baadhi ya makabila Mila fulani hukamilika zijifanywa na wazazi wote; ikiwa wameachana, adha ni Kwa watoto
Afadhali sie wa 80 tumepona😂Kizazi cha kuanzia 2000 kimeuza nafsi yake kwa shetani.
Hii spirit ni kumuomba Mungu akusaidie ujizuie nayo,baada ya divorce wengi huja kujutia maamuzi yao.Ni SAwa na usingle parents ukiuanza hata uzao wako utakuwa hivyo hivyoDivorce Repercussion is very huge!!
Si kitu Cha furaha hata kidogo, utautesa uzao wako na utawatesa Hadi kwenye ndoa zao.
Divorce isn't funny at all, sikia kwa mwenzio.
Acha tu ndg! Hata aliyetoa tu ushauri, aliyenunua kalamu ya bick (@ TSH. 50/-) anataka msaada wa kusomeshewa mwanae.Hili bandiko langu limefanya niwaze kuhusu ndoa.
Ubinafsi wa wazazi hufanya mtoto alelewe na mzazi mmoja.
Wacha nikupe nyingine hii.
Watoto wengi wanaolelewa na mzazi mmoja pia hua na kasumba ya kuona kila mtu anapaswa kumsaidia iwe upande wa baba au mama hivyo kupelekea wajomba, mashangazi, bibi, babu na ndgu wengine kushiriki katika ukuaji na masomo yake.
Akifanikiwa huyu huo mzigo anaokua nao unakua si wa kitoto, watoto wa waliomsaidia nao watataka asaidie wenzie.
Acha tu mwanangu ni vizuri mtoto alelewe na baba na mama yake labda wawe wamefariki.Acha tu ndg! Hata aliyetoa tu ushauri, aliyenunua kalamu ya bick (@ TSH. 50/-) anataka msaada wa kusomeshewa mwanae.
Wazazi walitelekeza mtoto kwa ndg wanamgombania awauguze, kusaidia wadogo zake, n.k