Rudi Tanganyika tuijenge nchi yetu!!..Trump angekuwa sio mbaguzi angefanya mojawapo kati ya haya.
1. Angechagua VP mwanamke.
2. Angechagua VP mwenye asili ya Latino.
3. Angechagua VP mmarekani mweusi.
..Ticket ya Uraisi wa Marekani inatakiwa itume ujumbe wa kuwaunganisha Wamarekani, na sio ujumbe kwamba Marekani ni nchi ya wanaume weupe wenye chuki na wabaguzi.
Rudi Tanganyika tuijenge nchi yetu!!
Acha ulowezi wako huko
Bila ubaguzi hakuna Ubepari duniani...Donald Trump ni tapeli, mwizi, na mbaguzi.
..huyu bwana amewapa sauti, na kuwainua Wamarekani weupe wabaguzi.
..Trump anataka kuirudisha Marekani ktk zama za ubaguzi za miaka ya 50 na 60.
Hata huku kwetu viongozi wa upinzani huws na madai ya kuibiwa kura,madai hayo yanabaki ni maoni yao binafsi hasa yanapokuwa hayana uthibitisho na wala madai hayo hayatupi sisi concludion ya kwamba watu hao ni wabaguzi.
Madai yake hayo hayana mahusiano na ubaguzi unaoudai.
Waliompa kura akawa raisi hawakuona utapeli huo mpaka wampe kura na wewe ndio huo utapeli umeuona kuliko waliompa kura?
KWA NINI walimpa kura akawa raisi wakati wanajua ni tapeli ?
Je utapeli huo aliwatapeli watu weusi pekee hawakuwepo wazungu ?
Kuna mahusiano gani kati ya utapeli na ubaguzi ?
Kwa nini skawa raisi wa marekani licha ya utapeli huo,au wamarekani hawamjui badala yake wewe ndo unamjua zaidi trump ?
Wewe hiyo version yako ya Trump umeitoa wapi?Unamuongelea Trump yupi? Maana kuna watu mna versions zenu za Trumps mifukoni ma kwenye simu zenu
Umeshawahi kuishi marekani?Bado ni hoja za kitoto sana.
Mimi nimemsikiliza trump kwenye clip zake kibao ni mtu ana madini sana.
Kuwaponda watu weusi haujaweka ushahidi wa kutosha bali unadokoa tu.
Lakini pia kuita Afrika shit hole kama alikuwa na hoja za msingi yuko sahihi kabisa na mimi nitamuunga mkono hoja muhimu tu usimlishe maneno.
Bado sijaona hoja za msingi za kumuita trump mbaguzi maana hausemi.
Kwani nchi za kiafrika sio shithole ?..ameshatoa matamko mengi ya kibaguzi dhidi ya watu weusi wa Marekani.
..hata nchi za Kiafrika aliziita " shit hole " countries.
..hata kwenye hayo mahojiano majibu yake yanaonyesha ni mtu asiye mstaarabu kwa wanawake, na watu weusi.
..wafuasi wake wengi ni Wamarekani weupe wenye misimamo ya kibaguzi dhidi ya watu weusi, na wahamiaji wa Marekani wasio weupe.
HAO MWEUSI SI WARUDI MAKWAO KAMA WANABAGULIWA? HUKO SI WALIENDA KWAAJILI YA MISSION MUBASHARA YA UTUMWA?? KAZI ZAO TAYARI WAMEZIFANYA WARUDI SASA MAKWAO..ameshatoa matamko mengi ya kibaguzi dhidi ya watu weusi wa Marekani.
..hata nchi za Kiafrika aliziita " shit hole " countries.
..hata kwenye hayo mahojiano majibu yake yanaonyesha ni mtu asiye mstaarabu kwa wanawake, na watu weusi.
..wafuasi wake wengi ni Wamarekani weupe wenye misimamo ya kibaguzi dhidi ya watu weusi, na wahamiaji wa Marekani wasio weupe.
😁😁😁Kwani nchi za kiafrika sio shithole ?
..Trump ni mhuni tu ambaye amefanikiwa kuwapumbaza Wamarekani weupe wabaguzi.
..Marekani baada ya kumchagua Obama ilikuwa inaondoka ktk chuki za ubaguzi lakini Trump ameingia na kuirudisha nyuma Marekani.
..pia Trump ni muongo kwa kuendelea kudai kwamba aliibiwa uchaguzi iliyopita.
..Madai ya Trump kuwa aliibiwa uchaguzi yamekanushwa hata na aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wake.
..Marekani inahitaji kiongozi atakaye waunganisha wananchi wake wote, bila kujali rangi zao. Badala ya Trump anayechochea ubaguzi baina ya Wamarekani.
sio wazungu tu hata waarab na wachinaMkiambiwa Waafrika tuungane tulijenge Bara letu, kwani Wazungu huwa hawatupendi hatusikii na tunawapenda tu.
Acheni kujikombakomba kwa weupe...Trump ni mhuni tu ambaye amefanikiwa kuwapumbaza Wamarekani weupe wabaguzi.
..Marekani baada ya kumchagua Obama ilikuwa inaondoka ktk chuki za ubaguzi lakini Trump ameingia na kuirudisha nyuma Marekani.
..pia Trump ni muongo kwa kuendelea kudai kwamba aliibiwa uchaguzi iliyopita.
..Madai ya Trump kuwa aliibiwa uchaguzi yamekanushwa hata na aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wake.
..Marekani inahitaji kiongozi atakaye waunganisha wananchi wake wote, bila kujali rangi zao. Badala ya Trump anayechochea ubaguzi baina ya Wamarekani.
Acheni kujikombakomba kwa weupe.
Jengeni kwenu nyie malimbukeni. Ukitaka kujua ngozi nyeusi haina akili, angalia namna mtanzania akienda huko kwa weupe anavyojibehave. Mfano ni Kiranga namna anavyotusumbua humu kisa tu anaogesha vikongwe vyankizungu huko USA.
Rudini kwenu nyie weusi.
Waafrica tunateseka😹😹😹Watu weusi mnapenda kulalamika tu
Mlianza ukoloni mkaja wazungu yaani nyie ni kulalamika tu WTF
Madai ya kuibiwa uchaguzi ni lugha ya kisiasa, ww unataka aseme alishindwa?..vipi kuhusu madai yake kwamba aliibiwa uchaguzi?
..mahakama mbalimbali zimetupilia mbali madai hayo lakini bado Trump ameendelea kudai ameibiwa uchaguzi.
..vipi kuhusu utapeli aliofanya ktk biashara zake kabla ya kuwa Raisi? Unakumbuka jinsi alivyotapeli fedha za watu ktk mradi wake wa " Trump University "?
..Mtu mwenye kashfa za utapeli na udanganyifu wa kiwango cha Trump hakupaswa kushika nafasi ya uongozi, sembuse Uraisi wa Marekani.
..Wamarekani wako disappointed na serikali na wanasiasa wao, lakini Donald Trump sio mtu sahihi kwa muelekeo ambao Marekani inapaswa kuuchukua.
Madai ya kuibiwa uchaguzi ni lugha ya kisiasa, ww unataka aseme alishindwa?
Why do you feel that you are entitled to the love of White people?Mkiambiwa Waafrika tuungane tulijenge Bara letu, kwani Wazungu huwa hawatupendi hatusikii na tunawapenda tu.
Democratic wakijichanganya na kumteua yule mbibi tuu, Trump saa6 mchana yupo White House.