Mnatizama lakini CNN Mahojiano ya moja kwa moja ya Mgombea Urais wa Marekani Trump na Waandishi wa Habari Weusi huko Chicago?

So upo upande wa upinde
 
Marekani haitaongozwa na Mwanamke kamwe.

Na huu ndo ukweli. Trump anashinda asubuhi misa ya kwanza. Kiukweli Trump alivoingia madarakani watu weusi wengi walipata ajira na kuna wasanii weusi walitolea jela kwa nguvu yake hilo hawalisemi.

Huyu bibi anataka kurudisha habari ya kutoa mimba iwe normal ilhali trump hakubali,

Huyu bibi anataka kufanya ushoga uwe normal zaidi ilhali trump anakataa kiaina.

Mwanamke hapaswi kuongoza nchi.
 
Mimi sio shabiki wa Trump lakini mainstream media ndo ina mportray vibaya kwa makusudi. Uchaguzi wa Marekani 2020 ulikuwa na kila dalili za kuibiwa na sidhani kama ni mara yao ya kwanza USA kufanya hivyo.

Statistically, Trump amekuwa rais bora kwa blacks kuliko huo ubaguzi alionao kama kweli anao.
 
Umemjibu vyema!
Atuambie yeye mbona wanawachagua mafisadi na wanajua ?
 
Wewe unamzungumzia Trump kwa kutumia slides za Democrats.

Mtafute Trump mwingine.

Hawa Democrats miaka na miaka wanatumia tu watu weusi, hawajawahi kuwa msaada kwa Waafrika. Hata Africa, Republican ndio walianza miradi mikubwa kama PEPFAR. Mpaka leo tunadunda na VVU.
 
Humu wanawadanganya na kuwapata wale wavivu wa kusikiliza, kufuatilia,na wanaosikiliza habari za vijiweni
 
..Trump na genge lake wameshindwa kuthibitisha mahakamani kwamba aliibiwa.

..Trump alishindwa kwa idadi ya kura.

..pia alishindwa ktk electoral college votes [ kura zinazotokana na uzito wa majimbo.]

..kuna vyombo vyenye mlengo wa Republican na vingine ni vya mlengo wa Democrats.
 
Unataka Marekani Iongozwe Kike Kike
 
Umenifanya niangalie mwanzo wa hii interview, mbona sijaona mahali Trump amezingua? In fact huyu mdada wa kwanza ndo anazingua hajibu salamu na anauliza in a very harsh way but Trump being Trump he gave her what she deserved.
Fuatilia Analysis zote za Wachambuzi wakubwa waliokuwa Wakihojiwa na CNN na BBC wote wamemlaumu Trump kwa Majibu yake hasa aliposema yule Mwandishi Dada anauliza Nasty Questions na wameendelea kusema kuwa Trump hakujiandaa kwa yale Mahojiano na kwamba bado ameendelea tu kuwa na Lugha za Kuudhi dhidi ya Jamii ya Weusi huko Marekani.
 

..sijatumia " slides " za Democrats.

..kwa mfano niliposema Trump alikuwa mfanyabiashara tapeli nimenukuu Republicans wenzake.

..Trump ni lijizi, na tapeli, isipokuwa lina bahati kuwakuta Republicans wamechoshwa na viongozi wao.


View: https://m.youtube.com/watch?v=CR0k5xdUxBs
 
Wewe hiyo version yako ya Trump umeitoa wapi?

Acha hayo mahaba.

Eti “Trump yupi”
Kwa hiyo unashauri vipi? Tuanze kumponda na kukubali kumezeshwa mauingo bila kuyakataa ? Nikutakie Kila la kheri kwenye kumezeshwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…