Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna mtu kaanzisha uzi anasema Bashir Al-Assad wa Syria hajakimbia Syria kwa kushindwa vita, ameamua tu kuiepusha nchi isiingie katika vita vya wenyewe kwa wenyewe.Kuna watu wakisema uongo Huwa wanatetemeka balaa ila Kuna wengine asalaleee!! Anadanganya macho makavuuuu hata kupepesa hapepesi.
Hivi nguvu yenu Huwa nini hasa!?. 🤔
Kumbee eehh!! Huenda hakujua kama Syria wapo kwenye vita ya wenyewe kwa wenyewe kwa muda mrefu.Kuna mtu kaanzisha uzi anasema Bashir Al-Assad wa Syria hajakimbia Syria kwa kushindwa vita, ameamua tu kuiepusha nchi isiingie katika vita vya wenyewe kwa wenyewe.
Baada ya kuiingiza Syria kwenye vita vya wenyewe kwa wenyewe kwa miaka 13!
Yani angekuwa anatetea CCM tungesema labda analipwa, kumtetea Assad kwa uongo huu ni uongo wa tabia tu hata si wa kulipwa.
Unakuta kitoto cha miaka 3 tayar kinajua kudanganya😂Kuna watu ni wamesomea uongo tena wengine naona siku hzi vitoto vidogo, sijui wanajifunza wapi!?.
CCM Kwa uongo wameota sugu,😂😂😂 Ila mm naonaga hakuna nchi inayokosa malalamiko kwa utawala wao, wakiingia chadema, CCM nao watalalamika.
sitakiMwaga sembe hapa hapa