Mnatuchukua vijana kutulimisha JKT, Ajira zikitokea mnaajiri watoto wenu

Mnatuchukua vijana kutulimisha JKT, Ajira zikitokea mnaajiri watoto wenu

๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€ Inachekesha kwakeli alafu wanajua kukebehi usikie kwa mwezako tu
kama nakuona kuruta ulivyofura, Afande unafura? haya shuka push up sitini hapo ulipo..kuruta hatakiwi kufura..yale maisha yasikie tu..๐Ÿ˜†๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜…๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
just a joke... ๐Ÿ˜…

KIFUPI vumilia kikubwa umeshajua wapi ulikosea, komaa tu kitaa uwezavyo, kama ikitokea ukapata ajira shukuru,...
 
Shukran san Ndugu kwa kunipa moyo ubarikiwe
Pia fursa kama PCCB sio za kuacha,plus uhamiaji na kadhalika.

Tatizo vijana wengi wakiwa ndani mle yaani wao ni bakabaka tuu, lakini hata taasisi zingine za ulinzi na usalama zipo vizuri tuu.
 
JKT lengo lake kubwa sio kutoa ajira bali ni kumjenga kijana kwa kumpa mafunzo ya awali ya ulinzi na usalama, kumfundisha kazi na ukakamavu haya ya kutumika kama chujio la ajira ni secondary aims Kama vile ambavyo lengo la elimu ni kutoa ujinga na sio ajira, Ajira itakuja baada ya kutoa ujinga.
Cha msingi unapokuwa JKT jaribu kuigeuza kama fursa kwako fanya kazi ,kuwa mbunifu, acha uvivu na kufuata mkumbo, kuwa mdadisi show them why they have to take you utapata tu hizo nafasi tena nafasi nzuri tu mkuu, Wako vijana wenye uthubutu na ambao wapo vizuri upstairs Serikali inawahitaji hasa kwenye kada za ulinzi na usalama.
Tatizo letu huwa tunakumbuka shuka na kushakucha ingawaje sipingi kuwa connection zipo na hii ni kila sehemu kwenye kila sector ndio mfumo wa dunia mkuu.
All in all usikate tamaa omba kila nafasi zikitoka na mtangulize Mungu.
Mbona mnanitisha
Mwaka huu nina mpango wa kuelekea huko. Vip niende Ama nikae mkao wa kuvunga
 
JKT lengo lake kubwa sio kutoa ajira bali ni kumjenga kijana kwa kumpa mafunzo ya awali ya ulinzi na usalama, kumfundisha kazi na ukakamavu haya ya kutumika kama chujio la ajira ni secondary aims Kama vile ambavyo lengo la elimu ni kutoa ujinga na sio ajira, Ajira itakuja baada ya kutoa ujinga.
Cha msingi unapokuwa JKT jaribu kuigeuza kama fursa kwako fanya kazi ,kuwa mbunifu, acha uvivu na kufuata mkumbo, kuwa mdadisi show them why they have to take you utapata tu hizo nafasi tena nafasi nzuri tu mkuu, Wako vijana wenye uthubutu na ambao wapo vizuri upstairs Serikali inawahitaji hasa kwenye kada za ulinzi na usalama.
Tatizo letu huwa tunakumbuka shuka na kushakucha ingawaje sipingi kuwa connection zipo na hii ni kila sehemu kwenye kila sector ndio mfumo wa dunia mkuu.
All in all usikate tamaa omba kila nafasi zikitoka na mtangulize Mungu.
Kwahiyo mtu wa ulinzi na usalama akipita JKT ndiyo anakuwa bora zaidi?

Hujui kuna vijana ambao hawakwenda huko JKT lakini wana vipawa vikubwa vya masuala ya ulinzi na usalama?

Kwani ukimuajiri kijana kutoka mtaani ukampa hayo mafunzo ya ulinzi na usalama hawezi kuwa bora?
 
Acheni kutuchukua vijana Kwenda JKT mkatulimisha kisha mkatuacha MTAANI, Ajira zikitokea mnaajiri watoto wenu ambao hata JKT HAWAJAPITA, halafu mtaani wanajisifu, Watu wamekaa JKT miaka 3 halafu mnambiwa mkajiajiri kujiajiri nyoko madako yenu.
kazi ya kujitolea sio lazma uajiriwe, shukuru kwa ujuzi ulopata nenda sasa ukajiajiri ๐Ÿคญ
 
Dingi acha propaganda na ze ze ze
JKT lengo lake kubwa sio kutoa ajira bali ni kumjenga kijana kwa kumpa mafunzo ya awali ya ulinzi na usalama, kumfundisha kazi na ukakamavu haya ya kutumika kama chujio la ajira ni secondary aims Kama vile ambavyo lengo la elimu ni kutoa ujinga na sio ajira, Ajira itakuja baada ya kutoa ujinga.
Cha msingi unapokuwa JKT jaribu kuigeuza kama fursa kwako fanya kazi ,kuwa mbunifu, acha uvivu na kufuata mkumbo, kuwa mdadisi show them why they have to take you utapata tu hizo nafasi tena nafasi nzuri tu mkuu, Wako vijana wenye uthubutu na ambao wapo vizuri upstairs Serikali inawahitaji hasa kwenye kada za ulinzi na usalama.
Tatizo letu huwa tunakumbuka shuka na kushakucha ingawaje sipingi kuwa connection zipo na hii ni kila sehemu kwenye kila sector ndio mfumo wa dunia mkuu.
All in all usikate tamaa omba kila nafasi zikitoka na mtangulize Mungu.
 
Wanakudanganyia ajira ili wakutumikishe kwenye mashamba yao
Hapana mkuu kwenye vigezo vyao vya recruitment huwa wanaandika kabisa, "awe tayari kurudi nyumbani baada ya kumaliza mkataba wake wa miaka miwili", sema ndio hivyo bado vijana wanaenda wakiwa na matumaini kwamba labda wataonewa huruma
 
Acheni kutuchukua vijana Kwenda JKT mkatulimisha kisha mkatuacha MTAANI, Ajira zikitokea mnaajiri watoto wenu ambao hata JKT HAWAJAPITA, halafu mtaani wanajisifu, Watu wamekaa JKT miaka 3 halafu mnambiwa mkajiajiri kujiajiri nyoko madako yenu.
Ukipitia JKT unatakiwa uachane na kufikiria utumwa wa kuajiriwa. Ukitoka JKT unatakiwa urudi kitaa ukaajili wenzako
 
Acheni kutuchukua vijana Kwenda JKT mkatulimisha kisha mkatuacha MTAANI, Ajira zikitokea mnaajiri watoto wenu ambao hata JKT HAWAJAPITA, halafu mtaani wanajisifu, Watu wamekaa JKT miaka 3 halafu mnambiwa mkajiajiri kujiajiri nyoko madako yenu.
Dalili ya uasi inanukia.....

Waendelee kusifia sifia uongo kitakuja kuumana siku si nyingi
 
Acheni kutuchukua vijana Kwenda JKT mkatulimisha kisha mkatuacha MTAANI, Ajira zikitokea mnaajiri watoto wenu ambao hata JKT HAWAJAPITA, halafu mtaani wanajisifu, Watu wamekaa JKT miaka 3 halafu mnambiwa mkajiajiri kujiajiri nyoko madako yenu.
Ahahahah
Mtamkumbuka Kikwete.
Shetani la ukosefu wa ajira hapa nchi lilikuja na Magufuli. Samia anajitahidi kuajiri lakini Ngoma ngumu maana ana ummati wa vijana wa jiwe na vijana waliohitimu katika uongozi wake.
Magufuli kaharibu nchi ingawa wajinga humwabudu kila siku.
Mtanyooka mbona.
Kipindi cha Kikwete polisi, Magereza au fire wakija kuandikisha vijana jkt ili wawaajiri vijana tulikuwa tunakimbia . Leo hii hata sungusungu wakienda kuandikisha vijana jkt vijana watauana
 
Back
Top Bottom