little master
JF-Expert Member
- Jul 16, 2018
- 1,870
- 3,589
Eagle eyes..Hayo mafunzo ya miaka 3 ni dili kubwa sana kwenye mchakato wa kuipata Tanzania mpya. Ni vile tu bado hamjagundua.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eagle eyes..Hayo mafunzo ya miaka 3 ni dili kubwa sana kwenye mchakato wa kuipata Tanzania mpya. Ni vile tu bado hamjagundua.
Unajua mkuu?Kabisa mkuu wafanye usawa Hii nchi ni yawote
Nadhani unaielewa sasa hoja yangu.Private Tena nje kabisa mkuu
🖕🖕🖕. CHAGUA
Ni hivi, hata ungepata ungefukuzwa tu kwa sababu huna nidhamu.Tumekosa watoto wa maskini wengi sio Mimi pekee, alafu we shoga Kaa pembeni uelewi CHOCHOTE kuhusu hustler, tuliza mkuundu umsubilie bahasha wako
Nadhan hata akili yako kuwazua mambo ni ndogo sana, nawaomba katika ukoo wenu wasikupe nafasi kuchangia mada bora wakutume ukachunge mbuzi.Ahahahah
Mtamkumbuka Kikwete.
Shetani la ukosefu wa ajira hapa nchi lilikuja na Magufuli. Samia anajitahidi kuajiri lakini Ngoma ngumu maana ana ummati wa vijana wa jiwe na vijana waliohitimu katika uongozi wake.
Magufuli kaharibu nchi ingawa wajinga humwabudu kila siku.
Mtanyooka mbona.
Kipindi cha Kikwete polisi, Magereza au fire wakija kuandikisha vijana jkt ili wawaajiri vijana tulikuwa tunakimbia . Leo hii hata sungusungu wakienda kuandikisha vijana jkt vijana watauana
Misguided youthAcheni kutuchukua vijana Kwenda JKT mkatulimisha kisha mkatuacha MTAANI, Ajira zikitokea mnaajiri watoto wenu ambao hata JKT HAWAJAPITA, halafu mtaani wanajisifu, Watu wamekaa JKT miaka 3 halafu mnambiwa mkajiajiri kujiajiri nyoko madako yenu.
Unapotosha ndugu. Ila nakuelewa kwa vile unapitia wakati mgumu na ulitegemea upate ahueni kupitia jeshi.Wanachukua kimya kimya ndo mfumo wao ukisikia wanatangaza usahili washamaliza
Unafikiri maisha ni karahisi!Sijakwenda kuwafany mashoga kama nyie ,umekaa nyumban unamsubiri baba akupe pesa ya chai
Pole kurutaWanachukua kimya kimya ndo mfumo wao ukisikia wanatangaza usahili washamaliza
Yapo ila sio watoto wa wakubwa tu wanachukuliwa.Apana kaka ayo pia yapo ukweli useme
Umemaliza jkt mwaka gani mkuu. (optional)Pia MASKINI wapo ,ila kaka kuna uchafu mwingi serikali yetu ila hausemwi
Njiye ndo mna fanya Watu waone Kane wabaya
Hivi unajua hili tatizo la ukosefu wa ajira limeanza lini na linaanza vipi au unadhani unaamka asubuhi ajira zipo kesho hazipo ? Ni muendelezo wa Sera mbovu toka hapo nyuma zinazozidi kuwa mbovu kila kukicha hivyo kesho kuwa mbaya kuliko leoAhahahah
Mtamkumbuka Kikwete.
Anajitahidi kuajiri ukimaanisha nini ? Yeye pale kazi yake nini kama hawezi kutunga Sera za kuleta ajira zenye ujira apishe...; Unaongelea kujitahidi wakati umeme wa mgao (bila nishati unategemea nini) ? Unategemea watu wapate ujira wakati masoko ya bidhaa zao (wakulima hazipo); Unategemea watu wapate ajira wakati sera ni kwamba hakuna tunachoweza hivyo tugawe kila kitu kwa wawekezaji ili watu watu wawe wachuuzi wa so called wawekezaji (tugawa ajira ughaibuni); Unategemea watu wapate ujira wakati ni Serikali ya walafi wanaongeza matozo hadi watu wa huduma za fedha (mpesa et al) wamepunguza mapato ?; Unategemea watu wapate ujira wakati Bei ya Bundle kwa upuuzi wa TCRA haishikiki (watu watatengeza content vipi wakati Bundle Gharama) ?Shetani la ukosefu wa ajira hapa nchi lilikuja na Magufuli. Samia anajitahidi kuajiri lakini Ngoma ngumu maana ana ummati wa vijana wa jiwe na vijana waliohitimu katika uongozi wake.
Magufuli yupo wapi ? Angalau ungeweza kusema jamaa alikuwa na vision (be it implementation yake ilikuwa na walakini) angalau ujenzi wa miradi ulionekana, angalau alitwambia kwamba Bwawa likiisha nikishati (overhead ya maana sana itashuka bei) huyu wa sasa future ni ipi au ni bora liende ? Wakati JPM alitumia mabavu kuminya demokrasia huyu anatumia rupia kwenye udhia (mbaya zaidi rupia hio ni Kodi zetu)Magufuli kaharibu nchi ingawa wajinga humwabudu kila siku.
Mtanyooka mbona.
Unadhani kwa nini ?; Ndio hivyo nakwambia uzipoziba ufa utajenga ukuta huu ufa umeanza kutokea kitambo na sasa hivi unazidi sio tu tutahitaji kujenga ukuta bali nyumba au mji mzima....; Ukizingatia tupo at the cross roads Jeshi, Magereza n.k. haliitaji tena nguvu kazi kama zamani..., afadhali kipindi cha JPM aliwaambia hao Jeshi waende kuzalisha maharage huko (huenda wakati tunalalamika sasa hivi kwa kukosa umeme kwa mgao tungekuwa tunashiba maharage ya bei nafuu)Kipindi cha Kikwete polisi, Magereza au fire wakija kuandikisha vijana jkt ili wawaajiri vijana tulikuwa tunakimbia . Leo hii hata sungusungu wakienda kuandikisha vijana jkt vijana watauana
Samehe mkuu, kuna situation ukikutana nazo maishani unaweza kuwa mtu wa ajabu. (binafsi namuelewa)Kuruta gani unatukana hadharani?
Service man hatukani.Mimi sio kuruti I'm service man