Mnatuchukua vijana kutulimisha JKT, Ajira zikitokea mnaajiri watoto wenu

Mnatuchukua vijana kutulimisha JKT, Ajira zikitokea mnaajiri watoto wenu

Nadhan hata akili yako kuwazua mambo ni ndogo sana, nawaomba katika ukoo wenu wasikupe nafasi kuchangia mada bora wakutume ukachunge mbuzi.

Wakati kikwete anatoka madarakani kozi yetu ya degree tulikuwa tunahitimu watu 35 tu tulikuwa darasani. Kozi hiyo hiyo leo wanahitimu watu 200+

Watu wameongezeka, wahitimu wameshoot double nafasi za ajira zinazidi kuwa chache hasa ukizingatia matumizi ya technology.

Kama una cheti fake wewe pambana nacho na si kutusi baba wa watu hapa
Ndio maana tunasema nyie watu ni matahira.
Magufuli ndani ya miaka 7 ya uongozi wake kaajiri idadi ya vijana sawa na mwaka mmoja wa Rais Samia.
Bado mnaendelea kumwabudu huyo aliyeua uchumi wa nchi.
Nyie ndio mnaosema sasa huduma za afya ni ngumu na haiwezekani kutolrwa bure kwa wananchi kwakuwa wananchi sasa ni wengi ukilinganisha na 1970 ambao huduma zilikuwa Bora na bure
 
Acheni kutuchukua vijana Kwenda JKT mkatulimisha kisha mkatuacha MTAANI, Ajira zikitokea mnaajiri watoto wenu ambao hata JKT HAWAJAPITA, halafu mtaani wanajisifu, Watu wamekaa JKT miaka 3 halafu mnambiwa mkajiajiri kujiajiri nyoko madako yenu.

Jua malengo ya JKT. Kama umeenda ili uajiriwe umechemka. Kimbia.
 
Acheni kutuchukua vijana Kwenda JKT mkatulimisha kisha mkatuacha MTAANI, Ajira zikitokea mnaajiri watoto wenu ambao hata JKT HAWAJAPITA, halafu mtaani wanajisifu, Watu wamekaa JKT miaka 3 halafu mnambiwa mkajiajiri kujiajiri nyoko madako yenu.

Reality is hawewezi kuajiri wote, haijalishi wanachukua vijana wangapi jkt
 
JKT lengo lake kubwa sio kutoa ajira bali ni kumjenga kijana kwa kumpa mafunzo ya awali ya ulinzi na usalama, kumfundisha kazi na ukakamavu haya ya kutumika kama chujio la ajira ni secondary aims Kama vile ambavyo lengo la elimu ni kutoa ujinga na sio ajira, Ajira itakuja baada ya kutoa ujinga.

Cha msingi unapokuwa JKT jaribu kuigeuza kama fursa kwako fanya kazi, kuwa mbunifu, acha uvivu na kufuata mkumbo, kuwa mdadisi show them why they have to take you utapata tu hizo nafasi tena nafasi nzuri tu mkuu, Wako vijana wenye uthubutu na ambao wapo vizuri upstairs Serikali inawahitaji hasa kwenye kada za ulinzi na usalama.

Tatizo letu huwa tunakumbuka shuka na kushakucha ingawaje sipingi kuwa connection zipo na hii ni kila sehemu kwenye kila sector ndio mfumo wa dunia mkuu.

All in all usikate tamaa omba kila nafasi zikitoka na mtangulize Mungu.
Una akili sana, kama ni ke njoo pm tutafte mtoto pamoja tuepuke kuzaa kizazi cha mleta mada.
 
Nadhan hata akili yako kuwazua mambo ni ndogo sana, nawaomba katika ukoo wenu wasikupe nafasi kuchangia mada bora wakutume ukachunge mbuzi.

Wakati kikwete anatoka madarakani kozi yetu ya degree tulikuwa tunahitimu watu 35 tu tulikuwa darasani. Kozi hiyo hiyo leo wanahitimu watu 200+

Watu wameongezeka, wahitimu wameshoot double nafasi za ajira zinazidi kuwa chache hasa ukizingatia matumizi ya technology.

Kama una cheti fake wewe pambana nacho na si kutusi baba wa watu hapa
Wewe ndo akili yako kuwazua ndio ndogo kipindi cha magu alikua haajili kabisa kwa mfano walimu hakuajiri kabisa takribani miaka mitano.
 
Unaongea Ivyo upo kwenu unagombania chai hustler mnaona kama wajinga

Unaongea Ivyo upo kwenu unagombania chai hustler mnaona kama wajinga
Mkuu JKT sio ajira ndio maana JWTZ inajitegemea. Na kutoka JKT sio lazima uende JWTZ kuna vitengo vingi vya usalama. JKT wanapewa kipaombele kwa kuwa wana utayari wa mwili hawahitaji mafunzi zaidi ya kozi husika. Ukisikia mtu yupo JWTZ na hajapita JKT sio ajabu hiyo ni kichwa inahitajika, Mie nimefanya kazi Kambi ya jeshi na sikuwa mwanajeshi na JKT nilikacha kipindi kile cha mujibu ila kwa kuwa wakati wa field zangu niliacha jina walinitafuta nikala shavu. Walipotaka kunifanya soja ndio kiliumana nikasepa maana hiyo kazi na mie ni mbingu na ardhi.
So msikariri jamani na unapoambiwa ukweli unauma lakini utakusaidia kama ukiukubali.
 
Acheni kutuchukua vijana Kwenda JKT mkatulimisha kisha mkatuacha MTAANI, Ajira zikitokea mnaajiri watoto wenu ambao hata JKT HAWAJAPITA, halafu mtaani wanajisifu, Watu wamekaa JKT miaka 3 halafu mnambiwa mkajiajiri kujiajiri nyoko madako yenu.
[emoji847][emoji847][emoji847], aisee mgome kwenda Sasa ,akili zitawakaaa sawa
 
Kwahiyo mtu wa ulinzi na usalama akipita JKT ndiyo anakuwa bora zaidi?

Hujui kuna vijana ambao hawakwenda huko JKT lakini wana vipawa vikubwa vya masuala ya ulinzi na usalama?

Kwani ukimuajiri kijana kutoka mtaani ukampa hayo mafunzo ya ulinzi na usalama hawezi kuwa bora?
Kwanza unapoongelea kada za ulinzi na usalama ni lazima ujue utaratibu wa hizo kada zinavyofanya kazi.
Utaratibu wa majeshi yote duniani umejengwa kwenye msingi wa nidhamu na utii unapomchukua kijana kutoka mtaani akaenda moja kwa moja JWTZ au POLISI haina maana kuwa hawezi kuwa bora hapana anaweza kuwa bora sana tu lakini mpaka ukaona serikali imeweka utaratibu wa kuchukua vijana waliopita JKT ujue kuna umuhimu umeonekana.
Moja ya umuhimu ni kuwa Mtaala wa JKT ulivyo unamuandaa kijana kuyakabili mazingira magumu hivyo unapomchukua kijana toka JKT ni rahisi kwa wakufunzi kutoa mafunzo kwani tayari kijana kashavuliwa uraia kuliko umtoe mtaani moja kwa moja akifika TPDF huko ndio utasikia wametoroka au kufa sababu kamanda wa TPDF Mtaala wa kozi ataotumia ni tofauti na JKT.

Pili tayari kijana anakuwa na ile nidhamu na utaii kwa jeshi hivyo ni rahisi kwa Makanda kwenda sambamba na kuruti wao.
Nilishawahi msikia kamanda wa jeshi la magereza hapo chuo chao cha mafunzo mbeya akishukuru sana kwa vijana kujiunga wakiwa washapitia JKT kwani kazi kwao inakuwa rahisi.
 
Back
Top Bottom