southernboy
JF-Expert Member
- Sep 27, 2015
- 882
- 1,075
wamemban mwanetu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwezi kuwa positive every time wewe ni robot?Ur thought becme a thing
Life without postive mindset you will end up being broke with an endless movement .
This is me not keUna akili sana, kama ni ke njoo pm tutafte mtoto pamoja tuepuke kuzaa kizazi cha mleta mada.
Nenda tu mkuu ila zingatia baada ya kumaliza kozi nafasi zikitoka zozote omba iwe ni uhamiaji, magereza, JWTZ, Zimamoto na Uokoaji au polisi wewe omba huwezi jua bahati yako ipo upande gani shida wengi huwa wanataka JWTZ na wanapuuza majeshi mengine.Mbona mnanitisha
Mwaka huu nina mpango wa kuelekea huko. Vip niende Ama nikae mkao wa kuvunga
Sio propaganda ndio ukweli wenyewe.Dingi acha propaganda na ze ze ze
Ni kumsamehe tuu, napendekeza vijana wanao toboa mikataba NS wawe wanapewa counselling maana hii inawaathiri sana sana.Wewe dogo kwa lugha yako hio hutakiwi kuwa hata sungusungu nalipongeza jeshi kwa kumrudisha kwao huyu dogo.
Hatokua na mchango wowote jeshini na hizo bange zako bora uvutie mtaani kwenu.
Narudia reasoning yako inasoma negative, jitahidi sana kula mafuta ya samaki (omega three), japo inaonekana umedumaa kabisa huwez kuwa boosted anymoreNdio maana tunasema nyie watu ni matahira.
Magufuli ndani ya miaka 7 ya uongozi wake kaajiri idadi ya vijana sawa na mwaka mmoja wa Rais Samia.
Bado mnaendelea kumwabudu huyo aliyeua uchumi wa nchi.
Nyie ndio mnaosema sasa huduma za afya ni ngumu na haiwezekani kutolrwa bure kwa wananchi kwakuwa wananchi sasa ni wengi ukilinganisha na 1970 ambao huduma zilikuwa Bora na bure
😂😂😂 Mmewapelekea nini??Watu walishashtuka kitambo kuwa ile ni mipigo tu,..na kama unampeleka mtoto wako wa kike ndo kabisaaaaaa watu wanakushangaa unavyo wapelekea watu nyama..
Tobaaa, mtu amekaa JKT miaka mitatu, then anaambiwa ajiajiri, seriously? hayo mafunzo yote aliyopitia ndo aje kujiajiri kitaa? hii ndio TZWatu wamekaa JKT miaka 3 halafu mnambiwa mkajiajiri kujiajiri
Na huo ndo Ukweli usiosemwa......😂😂😂 Mmewapelekea nini??
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ila posho siulikula mzeeAcheni kutuchukua vijana Kwenda JKT mkatulimisha kisha mkatuacha MTAANI, Ajira zikitokea mnaajiri watoto wenu ambao hata JKT HAWAJAPITA, halafu mtaani wanajisifu, Watu wamekaa JKT miaka 3 halafu mnambiwa mkajiajiri kujiajiri nyoko madako yenu.
Hii posho nayo itakuj kufutwa wallah,watasem wajitegemee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ila posho siulikula mzee
Unaongelea jkt ya kwenye makaratasi hujui kitu wwUjuzi upo mkuu kule si kuna range mnalenga shabaha, kwata, unafundishwa kutumia silaha japo ni basic tu, kuna vitengo mbalimbali unaweza jifundisha ufundi wa magari au ujenzi n.k
Lengo langu ni kuwa kwenye kila kitu iwe kinaonekana kidogo mbele za watu wewe kigeuze kuwa fursa mfano mnaenda range msikilize kamanda vizuri kisha lenga shabaha zako kwa usahihi na usihishie hapo muulize maswali ni jinsi gani unaweza kuwa bora katika ulengaji shabaha hiyo itamfanya akuone kwanza unajiamini pili unataka kujifunza kumbuka hao makamanda ambao mpo nao kila siku ndio wanaajira zenu hasa hasa hao ma staff sergeant mpka luten .
Embu nieleze wewe unachokijuaUnaongelea jkt ya kwenye makaratasi hujui kitu ww
AhahahahTobaaa, mtu amekaa JKT miaka mitatu, then anaambiwa ajiajiri, seriously? hayo mafunzo yote aliyopitia ndo aje kujiajiri kitaa? hii ndio TZ