kama nakuona kuruta ulivyofura, Afande unafura? haya shuka push up sitini hapo ulipo..kuruta hatakiwi kufura..yale maisha yasikie tu..πππ π€£π€£πππ Inachekesha kwakeli alafu wanajua kukebehi usikie kwa mwezako tu
Itakuja tuu, kunywa maji moyo uelee, wapo watu wanajua taarifa zenu, mkihitajika mtaitwa.Tumefanya sana ila bahati haikuwa kwetu
Pia fursa kama PCCB sio za kuacha,plus uhamiaji na kadhalika.Shukran san Ndugu kwa kunipa moyo ubarikiwe
Mbona mnanitishaJKT lengo lake kubwa sio kutoa ajira bali ni kumjenga kijana kwa kumpa mafunzo ya awali ya ulinzi na usalama, kumfundisha kazi na ukakamavu haya ya kutumika kama chujio la ajira ni secondary aims Kama vile ambavyo lengo la elimu ni kutoa ujinga na sio ajira, Ajira itakuja baada ya kutoa ujinga.
Cha msingi unapokuwa JKT jaribu kuigeuza kama fursa kwako fanya kazi ,kuwa mbunifu, acha uvivu na kufuata mkumbo, kuwa mdadisi show them why they have to take you utapata tu hizo nafasi tena nafasi nzuri tu mkuu, Wako vijana wenye uthubutu na ambao wapo vizuri upstairs Serikali inawahitaji hasa kwenye kada za ulinzi na usalama.
Tatizo letu huwa tunakumbuka shuka na kushakucha ingawaje sipingi kuwa connection zipo na hii ni kila sehemu kwenye kila sector ndio mfumo wa dunia mkuu.
All in all usikate tamaa omba kila nafasi zikitoka na mtangulize Mungu.
Acheni kutuchukua vijana Kwenda JKT mkatulimisha kisha mkatuacha MTAANI, Ajira zikitokea mnaajiri watoto wenu ambao hata JKT HAWAJAPITA, halafu mtaani wanajisifu, Watu wamekaa JKT miaka 3 halafu mnambiwa mkajiajiri kujiajiri nyoko madako yenu.
Kwahiyo mtu wa ulinzi na usalama akipita JKT ndiyo anakuwa bora zaidi?JKT lengo lake kubwa sio kutoa ajira bali ni kumjenga kijana kwa kumpa mafunzo ya awali ya ulinzi na usalama, kumfundisha kazi na ukakamavu haya ya kutumika kama chujio la ajira ni secondary aims Kama vile ambavyo lengo la elimu ni kutoa ujinga na sio ajira, Ajira itakuja baada ya kutoa ujinga.
Cha msingi unapokuwa JKT jaribu kuigeuza kama fursa kwako fanya kazi ,kuwa mbunifu, acha uvivu na kufuata mkumbo, kuwa mdadisi show them why they have to take you utapata tu hizo nafasi tena nafasi nzuri tu mkuu, Wako vijana wenye uthubutu na ambao wapo vizuri upstairs Serikali inawahitaji hasa kwenye kada za ulinzi na usalama.
Tatizo letu huwa tunakumbuka shuka na kushakucha ingawaje sipingi kuwa connection zipo na hii ni kila sehemu kwenye kila sector ndio mfumo wa dunia mkuu.
All in all usikate tamaa omba kila nafasi zikitoka na mtangulize Mungu.
kazi ya kujitolea sio lazma uajiriwe, shukuru kwa ujuzi ulopata nenda sasa ukajiajiri π€Acheni kutuchukua vijana Kwenda JKT mkatulimisha kisha mkatuacha MTAANI, Ajira zikitokea mnaajiri watoto wenu ambao hata JKT HAWAJAPITA, halafu mtaani wanajisifu, Watu wamekaa JKT miaka 3 halafu mnambiwa mkajiajiri kujiajiri nyoko madako yenu.
JKT lengo lake kubwa sio kutoa ajira bali ni kumjenga kijana kwa kumpa mafunzo ya awali ya ulinzi na usalama, kumfundisha kazi na ukakamavu haya ya kutumika kama chujio la ajira ni secondary aims Kama vile ambavyo lengo la elimu ni kutoa ujinga na sio ajira, Ajira itakuja baada ya kutoa ujinga.
Cha msingi unapokuwa JKT jaribu kuigeuza kama fursa kwako fanya kazi ,kuwa mbunifu, acha uvivu na kufuata mkumbo, kuwa mdadisi show them why they have to take you utapata tu hizo nafasi tena nafasi nzuri tu mkuu, Wako vijana wenye uthubutu na ambao wapo vizuri upstairs Serikali inawahitaji hasa kwenye kada za ulinzi na usalama.
Tatizo letu huwa tunakumbuka shuka na kushakucha ingawaje sipingi kuwa connection zipo na hii ni kila sehemu kwenye kila sector ndio mfumo wa dunia mkuu.
All in all usikate tamaa omba kila nafasi zikitoka na mtangulize Mungu.
Hapana mkuu kwenye vigezo vyao vya recruitment huwa wanaandika kabisa, "awe tayari kurudi nyumbani baada ya kumaliza mkataba wake wa miaka miwili", sema ndio hivyo bado vijana wanaenda wakiwa na matumaini kwamba labda wataonewa hurumaWanakudanganyia ajira ili wakutumikishe kwenye mashamba yao
Ukipitia JKT unatakiwa uachane na kufikiria utumwa wa kuajiriwa. Ukitoka JKT unatakiwa urudi kitaa ukaajili wenzakoAcheni kutuchukua vijana Kwenda JKT mkatulimisha kisha mkatuacha MTAANI, Ajira zikitokea mnaajiri watoto wenu ambao hata JKT HAWAJAPITA, halafu mtaani wanajisifu, Watu wamekaa JKT miaka 3 halafu mnambiwa mkajiajiri kujiajiri nyoko madako yenu.
Dalili ya uasi inanukia.....Acheni kutuchukua vijana Kwenda JKT mkatulimisha kisha mkatuacha MTAANI, Ajira zikitokea mnaajiri watoto wenu ambao hata JKT HAWAJAPITA, halafu mtaani wanajisifu, Watu wamekaa JKT miaka 3 halafu mnambiwa mkajiajiri kujiajiri nyoko madako yenu.
Sikwenda JKTWe mbona umeajiriwa Tena kwa connection
AhahahahAcheni kutuchukua vijana Kwenda JKT mkatulimisha kisha mkatuacha MTAANI, Ajira zikitokea mnaajiri watoto wenu ambao hata JKT HAWAJAPITA, halafu mtaani wanajisifu, Watu wamekaa JKT miaka 3 halafu mnambiwa mkajiajiri kujiajiri nyoko madako yenu.