Mnatuchukua vijana kutulimisha JKT, Ajira zikitokea mnaajiri watoto wenu

Taasisi yeyote ikishaunganishwa na CCM haya ndio matokeo yake, rudi nyuma kwenye majaribio ya mapinduzi ya 60's na 80's pamoja na vimbwanga vya TANU YOUTH LEAGUE hapo ndipo maamuzi ya kijuha yalipoanzia.

Pole mtoa mada, kosa si lako na wanaokukosoa kwa kuleta mifumo yao hawajui maumivu yako.
 
Punguza hekaya na siamba nyingi.
Maelezo yako yana samjo samjo nyingi mno, nenda jumlisha jumla ya thamani ya miradi yote SGR,Busisi Bridge,Bwawa na kadhalika, ni mapesa yasio ya kawaida ila hakuna mradi umesimama, so Mama naye apewe sifa yake.
 
Punguza hekaya na siamba nyingi.
Maelezo yako yana samjo samjo nyingi mno, nenda jumlisha jumla ya thamani ya miradi yote SGR,Busisi Bridge,Bwawa na kadhalika, ni mapesa yasio ya kawaida ila hakuna mradi umesimama, so Mama naye apewe sifa yake.
Wewe endelea kutoa sifa wakati hakuna kinachofanyika..., Hizo ni Kodi na Mikopo ambayo italipwa vizazi na vizazi..., Kwa sasa pesa inakopwa na matozo tunatozwa lakini hakuna value for money na transparency sababu hakuna hatujui hizo pesa zinakwenda wapi wala kufanya nini...

Wewe endelea kutoa sifa na kama unaona mambo yapo sawa basi nadhani standard zako ni lower than average....

Kwahio ulitaka JPM ahukumiwe kwenye miradi aliyoianzisha na imeshindwa kuisha baada ya kifo chake ? Na hizi Pumba kwamba Mradi ni wa Samia au JPM ndio matatizo haya yanatokea..... JPM alisimamia Bwawa na kipindi yupo tuliona kasi inaendelea to finish line sasa hivi ni mambo ya kufikirika ya kila siku kwamba hiki au kile kitafanyika tunachoendelea kulishana porojo Ni Pesa ngapi alitumia Makamba ati anasuka Tanesco upya na huo usukaji umetufikisha wapi ?
 
Ndio maana nakuambia mboyoyo mingi sana, insha yote hiyo lakini macro economics inakupiga chenga.
 
Ndio maana nakuambia mboyoyo mingi sana, insha yote hiyo lakini macro economics inakupiga chenga.
Wewe ambaye haukipigi chenga na uongozi wa hii Awamu umesaidia vipi taifa ? Unataka kuleta complications wakati vitu vipo wazi ukija ground na back to basics hakuna kinachofanyika, hakuna value for money wala vision yoyote zaidi ya kutumia kodi za wananchi na kuendeleza maigizo (ambayo inaonekana wewe unayakubali)

Huitaji kuwa a rocket scientist kuona kwamba kinachoendelea sasa ni ukosefu wa sera na utendaji mbovu, watu wapo busy kuwekeza kwenye keeping up the appearances...; Hivi unadhani delegation moja inayokwenda kutalii huko ughaibuni inatumia kiasi gani na hio pesa ingeweza kufanya mangapi ? Kila wakirudi wanakuja na ngonjera za mara kuleta mabasi ya umeme mara kuanzisha satellite basi tu hawakosi cha kusema... Ukiuliza mnafanya nini watakwambia madarasa ya COVID ambayo walitwambia ilikuwa haipo lakini mara ghafla ipo ili tu watembeze bakuli.... (Nadhani kwenye sekta ya omba omba na kulamba asali ndio wamefaulu)
 
Bado unaleta siamba, ongea leta na facts mimi nimekuambia miradi inasonga mbele hakuna lililosimama nimepita Busisi,SGR unaiona mpaka vichwa vya treni vimeingia na ujenzi katika lots mbalimbali unaendelea, Bwawa limefikia hatua nzuri, sasa projects zote hizi ni TZS trillions, njoo uniambie na figures ili nione hakuna kinachofanyika.

Watumishi wapya wanaajiriwa,madaraja yanapandishwa, vyeo vinapanda,mishahara inalipwa sasa hebu tueleze hizi theory zako basis yake ni ipi?
 
Mzee baba, achana na hiyo ndondocha ya CCM itakuumiza kichwa tu.
Haielewi hata inachotetea...
 
Kama hujawai KUFARIKI DUNIA huwezi kutusimulia KUFARIKI DUNIA kukoje..

✌️✌️✌️
 
Na hapo ndipo unapopigiwa (pesa zinapigwa kwenye miradi inayocheleweshwa au kufanywa ndivyo sivyo)..., Unataka proof ? Hivi ngonjera za Makamba kutafuta Crane na alipewa kiasi gani cha fedha eti ili aisuke Tanesco Upya ?

Faida ya Bwawa ilikuwa ni kulimaliza ili umeme ushuke lakini hata halijaisha tushaambiwa na umeme hautashuka....; Hivi Ukaguzi uligundua ni pesa ngapi zinapotea na watu kuweka miradi hewa... na ni nini kimefanyika ? Mifumuko ya Bei ya kila leo ni mwendo wa excuses tu...

Tofauti yangu mimi na wewe (wewe upo kwenye kusifu na ku-compare kwamba hata JPM aliiba) Mimi nipo hapa kutetea kodi yangu kwahio hata JPM alipoharibu nilikuwa nasema na nitaendelea kusema..., ila facts ni kwamba ukifanya comparison sasa hivi ni kama mlevi aliyekosa mwelekeo sina uhakika kama tunakwenda nyuma, kushoto au kulia..., lakini kinachoendelea hakiridhishi..... Huo muda wa mapambio tungeutumia kuwakanya na kuwapigia makelele hawa watumishi wetu wanaojiona ni watawala....
 
Acheni kutuchukua vijana Kwenda JKT mkatulimisha kisha mkatuacha MTAANI, Ajira zikitokea mnaajiri watoto wenu ambao hata JKT HAWAJAPITA, halafu mtaani wanajisifu, Watu wamekaa JKT miaka 3 halafu mnambiwa mkajiajiri kujiajiri nyoko madako yenu.

Komaa soldier adui sio mama yako
 
Wapi niliposema JPM aliiba? narudia wewe tatizo lako unaunganisha sentensi tuu haujali sana kwenye kusoma,kuelewa na ku argue na kuleta maana ya unayoyaandika kama mtu mwenye weledi.
 
SERIKALI IJITAHIDI KUWAAJIRI HAWA VIJANA WANAOJITOLEA HUKO JKT. KIUKWELI KUJITOLEA MIAKA MIWILI YATAKA MOYO, SIYE MUJIBU MIEZI MITATU TUU TULIENYEKA HASWA.

HAWA NDUGU ZETU WANAOJITOLEA HUKO JKT NI WAZALENDO JAMANI KAMA KULIJENGA TAIFA WANALIJENGA KIUKWELI WANALIMA,WANASHIRIKI PIA UJENZI WA MIRADI MBALIMBALI NA WENGI NI WATOTO WA KIMASIKINI.

SERIKALI ITAMBUE JUHUDI ZAO NA MOYO WAO WA UZALENDO KWA KUWAPATIA AJIRA, HAWA VIJANA WAKO TAYARI KIMWILI NA KIAKILI KULIPIGANIA TAIFA LAO.

KUMRUDISHA MTU HUYU NYUMBANI AKAJIAJIRI INAFIKIRISHA.
 
Nanyie mnaoenda jkt itoshe kusema tumechoka malalamiko yenu.... Umepewa mafunzo ya kulenga shabaha/silaha... Kwanini usitoke mafunzoni moja kwa moja uoaja kumtest mwanaccm mmoja shabaha ya kichwa?. Ni Tz pekee yake ndio inatoa mafunzo ya namna hiyo afu vijana wakaachwa mtaani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…