Mnatuchukua vijana kutulimisha JKT, Ajira zikitokea mnaajiri watoto wenu

[emoji25][emoji25]Inaumiza sana watoto wa maskini wanaenda kupigwa KNock Out
 
Kikwete gani mkuu? Miongoni mwa utawala wa hovyo kuwahi kutokea TZ ni utawala wa huyu mzee. Hizo ajira unazosema mlikua mnazikimbia makambini ni mwaka gani mkuu? Wakati ni miaka ya 2010's watu walikua wakijazana ama uhuru au taifa ama sabasaba kwa ajili ya usaili wa hizo taasisi ulizotaja.
 
Hakuna hata mmoja anaelazimishwa kwenda JKT, ni sisi wenyewe kwa nia zetu tunaenda. Achana nazo hizo mkuu, njoo Ruaha huku kitunguu kimekubali laana. Pia tunajiandaa kwenye kulima mpunga Ubaruku kule.

Ajira ni chache ila kazi zipo nyingi sana.​
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…