Padone EPM
JF-Expert Member
- Jul 17, 2020
- 604
- 882
Kikwete gani mkuu? Miongoni mwa utawala wa hovyo kuwahi kutokea TZ ni utawala wa huyu mzee. Hizo ajira unazosema mlikua mnazikimbia makambini ni mwaka gani mkuu? Wakati ni miaka ya 2010's watu walikua wakijazana ama uhuru au taifa ama sabasaba kwa ajili ya usaili wa hizo taasisi ulizotaja.Ahahahah
Mtamkumbuka Kikwete.
Shetani la ukosefu wa ajira hapa nchi lilikuja na Magufuli. Samia anajitahidi kuajiri lakini Ngoma ngumu maana ana ummati wa vijana wa jiwe na vijana waliohitimu katika uongozi wake.
Magufuli kaharibu nchi ingawa wajinga humwabudu kila siku.
Mtanyooka mbona.
Kipindi cha Kikwete polisi, Magereza au fire wakija kuandikisha vijana jkt ili wawaajiri vijana tulikuwa tunakimbia . Leo hii hata sungusungu wakienda kuandikisha vijana jkt vijana watauana
Laws of attraction, you're so damn right man.Ur thought becme a thing
Life without postive mindset you will end up being broke with an endless movement .
Dah kwerKwa kuongezea ukiona miradi sensitive kwa Taifa au matukio maalum kama maafa huko ndipo pakukimbilia maana huwa panakuja na NEEMA.