Mnawachukuliaje wasichana walioweka bleach kichwani?

Dah kweli tunatofautiana mitazamo mm ndio nawaelewa sana sasa [emoji41] na mtindo wanywele haumaanishi kuwa mtu fulani ni baya ni fashion tu kilichopo hapo hakuna kitu kibaya mbona.
 
Wajue wanawake ambao usipotumia Condom inakula kwako
 
Breach plus pank na tubutu flani huwa napata hisia mchanganyiko positive na negative..... Mi mwanamke akishachora tatoo au kujichubua anakuwa disqualified.
 
Yani hao wenye viduku,bleach uwa nawashangaa Sana na kama nikiwaona uwa jogoo hata kushtuka hawezi.na ikitokea ukawapitia basi please vaa mpira maana usije kumfanya mwanao akudharau siku akizaliwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mm napenda sana mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…