Mnawachukuliaje watu wa GNLD na Forever Living Products?

Mnawachukuliaje watu wa GNLD na Forever Living Products?

Hapo mwishoni kwa leo tungesema LOSERS afterall they are not LOOSING anything
 
Jumatano ya wiki iliyo pita , nikiwa maeneo ya Mlimani City, nilikutana na mdada mmoja niliyekuwa nimepotezana naye for like 2 years..Aliomba namba zangu za simu kisha akaniuliza kama nitakuwa na nafasi jumapili ya wiki hiyo around saa saba mchana. I told her what is the problem? akaniambia kuna meeting muhimu sana ambayo angependa kuona na mimi nikishiriki. Nikamwambia hakuna shida. Siku hiyo akaniomba tukutane maeneo ya mwenge, nikamdrive hadi pale ITV kwenye ukumbi wa mikutano wa GNLD. She told me it was a GNLD meeting. She is a member, she has invited me to listen to what they are doing and may be if interested nijiunge nao pia. Nilitaka kurudi hapo hapo but nikasema ngoja niende kuwasikia wana kitu gani kipya ambacho sijawahi kukisikia mahali., ( I knew about this cra.p ) since 2001 and i know what they are actually doing ).

WAKATI WA KUTOA USHUHUDA

Baada ya introduction na kabobo kutoka kwa aliyekuwa msemaji mkuu wa hiyo meeting, ikafikia zamu ya watu mbalimbali ambao ni memba wa GNLD kutoa shuhuda zao. Huyo msichana alikuwa miongoni mwa walio toa ushuhuda.

I WAS SO SO DISAPOINTED WITH THEM.

She said, nimejiunga GNLD tangu mwaka 2009 and blah blah, Now ninaingiza PESA NYINGI SANA KWA MWEZI!
Ninaingiza shilingi LAKI SITA KWA MWEZI! ( Hivi kweli Graduate wa Chuo Kikuu anaweza kuwa na mawazo mgando kiasi hiki! Shilingi laki sita kwa mwezi ni pesa ambayo mtu anaweza kuongea na kujisifu mbele ya watu? Hii ni hela unayo takiwa kuingiza kwa siku moja bana acheni ujinga nyie.

Others were talking like, NIMEFIKA HADI NAIROBI MIMI! HUWEZI KUAMINI! UKINIONA UNANICHUKULIA POA, ILA NIMEFIKA HADI NAIROBI KWA KAZI HII HII?

( Seriously kweli! kufika Nairobi nalo ni jambo la kujisifu mbele ya kadamnasi ! )

Wengi wao wanaongea kuhusu laki nne kwa mwezi na utoto utoto kama huo..

BRAINWASHERS
: Wakati wa shuhuda kuna jamaa huwa wanasimama na kuongea utoto mwingi like u know nilikuwa meneja wa T.R.A mkoa but nimeacha baada ya kuona GNLD inanilipa.. Mwingine akasema " Nilikuwa muhasibu BARICK, nalipwa MILIONI NNE kwa mwezi, ila nimeacha kazi baada ya kuona GNLD ndio mpango. Plus utoto utoto mwingine kama huo..

Mwisho wa siku i told her, please be serious even for a second, how dare you bring me to a place like this. What do u take me for? or what kind of a fool do u think i am? do u confuse me with a looser or something ? Do i look like someone who is joking about his life? U shall not tell me about this cra.p again...

Kiukweli niliona amenidhalilisha sana, i say..

These people, are realy dont know what is going on in their lives na wanahitaji kukombolewa. Kuwa describe hawa watu wa GNLD na FOREVER LIVING PRODUCTS in a single word, they are " LOOSERS".

acha dharau.....kwa wengine LAKI SITA kwa mwezi ni nyingi....wewe unapata kwa siku ndio mgawanyo wa maisha....na dharau zako hujui tofauti ya LOOSER na LOSER........
 
Mimi hawajawai kunila pesa yangu ila wameshawai kunipotezea muda wangu zaidi ya mara tatu nikidhani naenda kwenye mkutano wa maana kumbe utaahira mtupu ndo umejaa kwenye hiyo mikutano...kwakweli inabidi wajipange sana

Hakuna jambo la kijinga kama kujifanya mjuaji wakati hujui. Hawa unaojaribu kuwapuuza inaonesha wana akili nyingi sana kukukuzidi. Wewe ndio inabidi ujipande na tangu sasa ujifunze kutumia ubongo wako kufikiri balada ya kuuweka kwenye museum ya kichwa.

Kama utataka kujua ni kwa nini, sababu ni hizi mbili:
1. Kwa mtu dynamic, hakuna unachopoteza kwa kusikiliza failures za mtu mwingine. Sana sana unapata kujua kufeli kwake na wewe unatumia makosa yake kuboresha hali yako

2. If you are that much smart to call them mataahira, wewe nikuiteje kwa ubwege ulionao wa kushindwa kubaini kuwa huu mwito wa kuhudhuria kikao niliopata leo ni wa wale mataahira. Au huwa wanakuchukua ukiwa umelala unaamka na kujikuta upo unahudhuria mkutano wa mataahira?
 
ni kama wanatumia nguvu za giza kuwakamata watu akili, ila kwangu zimegonga mwamba
 
Nilishawahi kubanwa na mama mmoja Arusha miaka ya 2005 nikachomoa. Sasa hivi anadai GNLD wanamlipa 2 bila kufanya kazi. Sasa hivi kuna njemba imenikaba koo mbaya nilisoma nayo chuo. Inadai kwa sasa inavuta Mil 1 kimtelezo. Nusura nishawishike. Hebu tafadhali acheni masihara. Hii kitu imekaaje? Kama mtu anavuta Milioni 1 ukiacha mshahara wake kuna hasara hapo?
 
Hakuna jambo la kijinga kama kujifanya mjuaji wakati hujui. Hawa unaojaribu kuwapuuza inaonesha wana akili nyingi sana kukukuzidi. Wewe ndio inabidi ujipande na tangu sasa ujifunze kutumia ubongo wako kufikiri balada ya kuuweka kwenye museum ya kichwa.

Kama utataka kujua ni kwa nini, sababu ni hizi mbili:
1. Kwa mtu dynamic, hakuna unachopoteza kwa kusikiliza failures za mtu mwingine. Sana sana unapata kujua kufeli kwake na wewe unatumia makosa yake kuboresha hali yako

2. If you are that much smart to call them mataahira, wewe nikuiteje kwa ubwege ulionao wa kushindwa kubaini kuwa huu mwito wa kuhudhuria kikao niliopata leo ni wa wale mataahira. Au huwa wanakuchukua ukiwa umelala unaamka na kujikuta upo unahudhuria mkutano wa mataahira?

Wewe ndo walewale...hunilipi sikulipi so you better shut up ur dirty mouth...damn u
 
Acheni dharau, kama kitu kwako sio kizuri kwa mwenzio chafaa, kama wao wamechagua hiyo njia ya kujipatia kipato just waacheni, nyie mnaona hailipi meyb kwao yalipa, uoga na ufukara wa akili ndivyo vyatumaliza watanzania,wengi mnaamini kuishi lazima ufanye kazi mahali Fulani msicrem kuna njia nyingi za kuingiza kipato wapendwa,lazima uwe na plan B msipende miteremko ya kukaa ofcn na kupulizwa na ac,pia acheni kudharau kaz za watu,
 
Now back to you LIKUD.

Graduatism sickness ni ugonjwa mbaya kuliko ukimwi. Imani ya kwamba ukiwa graduate basi unastahili kipato fulani hata kama huna kazi ni UPUMBAVU.

Namna yako ya kusema kwamba kwa graduate laki sita ni fedha za kuzipata kwa siku, ni sawa na kusema kuwa maafisa wote wa serikali kwa level ya TGS D ni mataahira kwa kuwa wamekubali kufanya kazi kwa mshahara wa shilingi 349,270 kwa mwezi ambayo ni karibu nusu ya hiyo laki sita.

Unapozungumzia mafanikio, basi ni suala la ulipokuwepo awali na ulipofika. Huyo anayejisifia kuwa amefika Nairobi ni haki yake. Sijui ni nini cha kushangaza hapo kwa mama Tupele aliyekuwa anauza vitumbue kwenye mavumbi pale vingunguti akiinuka kiasi cha kuwa na biashara inayomfanya asafiri hadi Nairobi.

Hauna haja ya kuwatukana watu kwa kuwa umekosa courage ya kufanya wanachofanya. Wewe kaa na makaratasi yako ya degree lakini wenzako wana namna yao pia ya kutafuta mafanikio. Network Marketing haijaanza Tanzania, imetokea huko kwa waliokufundisha DEGREE badala ya JANDO NA UNYAGO, na inaendelea si kwamba imesimama.

Pale Arusha yuko mama mmoja alikuwa fundi cherehani, sasa tunavyoongea ni MILIONEA sababu ya FLP. Mimi Mwana Mtoka Pabaya ni member wa FLP na nilitambulishwa huko na member wa JF. Hata sasa membership yangu ni hai LAKINI mimi sikuwa na courage ya kuendelea na biashara hiyo, ila ninafaidika kwa punguzo la bei kwa products za FLP kama member.

Kushindwa kwangu kufanikiwa kwenye Network Marketing hakunifanyi niwatukane. Like any other business it take a lot of efforts and enthusiasm to cross the berriers; I AM NOT COURAGEOUS na nimeshindwa, lkn sisemi kuwa ni mbaya.

La kama unafikiri ni utapeli basi hiyo ni level yako ya ujinga inakuongoza. Mimi sina cha kutolea ushuhuda kiuchumi lakini kitabibu ninacho. Wakati nikijaribu jaribu kufanya hiyo biashara, nilimuuzia jirani yangu dozi ya gout, amepona na yeye amekuwa member na anafanya biashara hiyo huko kwao Kilimanjaro. Ajabu ni kwamba, yeye amefanikiwa kibiashara kwa kuwa kila aliyemuona na magongo sababu ya gout alitaka kujua ameponaje, kwa hiyo soko lake limekuwa kubwa kwa ajili hiyo.

Ningefurahi kama ungechukua calculator ukazidisha 600,000 kwa siku 365 na kutuandikia jawabu hapa ubaoni. Nafikiri utawasaidia GRADUATES kutambua level yao ya mapato kwa mwaka.
 
Last edited by a moderator:
Wewe ndo walewale...hunilipi sikulipi so you better shut up ur dirty mouth...damn u

Mdomo mchafu unao wewe na ndio maana unaniambia hivyo kwenye red. Lakini sio shida sana, tumia hii kitu na mdomo wako utakuwa safi

aloe_toothgel.jpg
 
Back
Top Bottom