Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
alovera alovera alovera my ......wataleta hata nguo za alovera sasa au viatuHaswa mpenzi....Mambo ya kutoka vigimbi nikifuata wateja mie siyawezi....
hahahahahaha...eti vigimbi...hivi wale wanatofauti gani na wanaouza vyombo wale ambao wamevaa shati na tai..Haswa mpenzi....Mambo ya kutoka vigimbi nikifuata wateja mie siyawezi....
Kuna nyingine inaitwa Ori-Flames......Upuuzi mtupu..Wapo wengi hata JF ngoja waje..
Now back to you super idiot LIKUD.
Graduatism sickness ni ugonjwa mbaya kuliko ukimwi. Imani ya kwamba ukiwa graduate basi unastahili kipato fulani hata kama huna kazi ni UPUMBAVU (ukimind nipeleke mahakamani).
Namna yako ya kusema kwamba kwa graduate laki sita ni fedha za kuzipata kwa siku, ni sawa na kusema kuwa maafisa wote wa serikali kwa level ya TGS D ni mataahira kwa kuwa wamekubali kufanya kazi kwa mshahara wa shilingi 349,270 kwa mwezi ambayo ni karibu nusu ya hiyo laki sita.
Unapozungumzia mafanikio, basi ni suala la ulipokuwepo awali na ulipofika. Huyo anayejisifia kuwa amefika Nairobi ni haki yake. Sijui ni nini cha kushangaza hapo kwa mama Tupele aliyekuwa anauza vitumbue kwenye mavumbi pale vingunguti akiinuka kiasi cha kuwa na biashara inayomfanya asafiri hadi Nairobi.
Hauna haja ya kuwatukana watu kwa kuwa umekosa courage ya kufanya wanachofanya. Wewe kaa na makaratasi yako ya degree lakini wenzako wana namna yao pia ya kutafuta mafanikio. Network Marketing haijaanza Tanzania, imetokea huko kwa waliokufundisha DEGREE badala ya JANDO NA UNYAGO, na inaendelea si kwamba imesimama.
Pale Arusha yuko mama mmoja alikuwa fundi cherehani, sasa tunavyoongea ni MILIONEA sababu ya FLP. Mimi Mwana Mtoka Pabaya ni member wa FLP na nilitambulishwa huko na member wa JF. Hata sasa membership yangu ni hai LAKINI mimi sikuwa na courage ya kuendelea na biashara hiyo, ila ninafaidika kwa punguzo la bei kwa products za FLP kama member.
Kushindwa kwangu kufanikiwa kwenye Network Marketing hakunifanyi niwatukane. Like any other business it take a lot of efforts and enthusiasm to cross the berriers; I AM NOT COURAGEOUS na nimeshindwa, lkn sisemi kuwa ni mbaya.
La kama unafikiri ni utapeli basi hiyo ni level yako ya ujinga inakuongoza. Mimi sina cha kutolea ushuhuda kiuchumi lakini kitabibu ninacho. Wakati nikijaribu jaribu kufanya hiyo biashara, nilimuuzia jirani yangu dozi ya gout, amepona na yeye amekuwa member na anafanya biashara hiyo huko kwao Kilimanjaro. Ajabu ni kwamba, yeye amefanikiwa kibiashara kwa kuwa kila aliyemuona na magongo sababu ya gout alitaka kujua ameponaje, kwa hiyo soko lake limekuwa kubwa kwa ajili hiyo.
Ningefurahi kama ungechukua calculator ukazidisha 600,000 kwa siku 365 na kutuandikia jawabu hapa ubaoni. Nafikiri utawasaidia GRADUATES kutambua level yao ya mapato kwa mwaka.
Yani wewe ndo fal.a kweli...Nyani haoni kundule...Hiyo "silly" ni kiswahili cha wapi..? Nilitegemea uwe mfano....
Cc to LIKUD
Mkuu nikupe ushauri wa bure! Acha ulimbukeni! Ukiamua kutumia kiswahili andika kiswahili na ukiamua kutumia kiingereza andika kiingereza. Hii changanya uliyofanya inaharibu ladha nzima ya ulichoandika na inaonyesha ulimbukeni wa hali ya juu!
[
. Hapo kwenye dawa ya gout itabidi nikupm aisee
Nawewe hiyo
cc to likud ni lugha gani?? Nyani haoni??
Mdomo mchafu unao wewe na ndio maana unaniambia hivyo kwenye red. Lakini sio shida sana, tumia hii kitu na mdomo wako utakuwa safi
![]()
Mimi walinikokota mpaka New Arusha........nilitukana mpaka basi......ubaya hawakwambii unaenda kusikiliza forever living.....wanakuelezaeleza tu bla bla mpaka ufike ndio unagundua......