wiseboy
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 2,930
- 3,305
mwingine......
lIKUD BNAFSI HUWA NINA MISIMAMO YANGU, HATA MM UPUUZI PUZI KAMA HUU NA STUPIDITY USHUHUDA HUWA CPEND....TUPEANE MICHONGO REALISTIC SIO KUJAZWA UONGO VICHWAN MWETU.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mwingine......
[
. Hapo kwenye dawa ya gout itabidi nikupm aisee
Now back to you super idiot LIKUD.
Graduatism sickness ni ugonjwa mbaya kuliko ukimwi. Imani ya kwamba ukiwa graduate basi unastahili kipato fulani hata kama huna kazi ni UPUMBAVU (ukimind nipeleke mahakamani).
Namna yako ya kusema kwamba kwa graduate laki sita ni fedha za kuzipata kwa siku, ni sawa na kusema kuwa maafisa wote wa serikali kwa level ya TGS D ni mataahira kwa kuwa wamekubali kufanya kazi kwa mshahara wa shilingi 349,270 kwa mwezi ambayo ni karibu nusu ya hiyo laki sita.
Unapozungumzia mafanikio, basi ni suala la ulipokuwepo awali na ulipofika. Huyo anayejisifia kuwa amefika Nairobi ni haki yake. Sijui ni nini cha kushangaza hapo kwa mama Tupele aliyekuwa anauza vitumbue kwenye mavumbi pale vingunguti akiinuka kiasi cha kuwa na biashara inayomfanya asafiri hadi Nairobi.
Hauna haja ya kuwatukana watu kwa kuwa umekosa courage ya kufanya wanachofanya. Wewe kaa na makaratasi yako ya degree lakini wenzako wana namna yao pia ya kutafuta mafanikio. Network Marketing haijaanza Tanzania, imetokea huko kwa waliokufundisha DEGREE badala ya JANDO NA UNYAGO, na inaendelea si kwamba imesimama.
Pale Arusha yuko mama mmoja alikuwa fundi cherehani, sasa tunavyoongea ni MILIONEA sababu ya FLP. Mimi Mwana Mtoka Pabaya ni member wa FLP na nilitambulishwa huko na member wa JF. Hata sasa membership yangu ni hai LAKINI mimi sikuwa na courage ya kuendelea na biashara hiyo, ila ninafaidika kwa punguzo la bei kwa products za FLP kama member.
Kushindwa kwangu kufanikiwa kwenye Network Marketing hakunifanyi niwatukane. Like any other business it take a lot of efforts and enthusiasm to cross the berriers; I AM NOT COURAGEOUS na nimeshindwa, lkn sisemi kuwa ni mbaya.
La kama unafikiri ni utapeli basi hiyo ni level yako ya ujinga inakuongoza. Mimi sina cha kutolea ushuhuda kiuchumi lakini kitabibu ninacho. Wakati nikijaribu jaribu kufanya hiyo biashara, nilimuuzia jirani yangu dozi ya gout, amepona na yeye amekuwa member na anafanya biashara hiyo huko kwao Kilimanjaro. Ajabu ni kwamba, yeye amefanikiwa kibiashara kwa kuwa kila aliyemuona na magongo sababu ya gout alitaka kujua ameponaje, kwa hiyo soko lake limekuwa kubwa kwa ajili hiyo.
Ningefurahi kama ungechukua calculator ukazidisha 600,000 kwa siku 365 na kutuandikia jawabu hapa ubaoni. Nafikiri utawasaidia GRADUATES kutambua level yao ya mapato kwa mwaka.
Ameliwa huyo hana lolote ....upewe Dawa kwa kuzinunua halafu hujui mteja yuko wap? na hujui kama zitanunuliwa.....
......mpaka utapoanza uguza mgonjwa wa UKIMWI, saratani, au hata 'uzee' ndipo utapoona faida ya GNLD products, kuanzia food suppliments i.e Phyto defence, Omega-3, Aloe Vera drink, Cal- mag etc.
Ameliwa huyo hana lolote ....upewe Dawa kwa kuzinunua halafu hujui mteja yuko wap? na hujui kama zitanunuliwa.....
[h=1]Mnawachukuliaje watu wa gnld na forever living products?[/h]sikuzote huwa nawaona ni wezi na matapeli wa mji tuu.. nawachukia sana, wauza maneno hawana tofauti na excess market. Wakatafute majembe walime angrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr!
Kwa namna hiyo ya maisha ipo siku utakokotwa hadi gesti, wakati huo unaotukana utakuwa umeshagegedwa
teeeeeeeeeeeh,teeeeeeeeeeh,teeeeeeeeeeh!!!Jf kuna burudani za aina yake!!!!:clap2:
Nimekusouma kaka, next time nitajirekebisha and sinta post thread yoyote hapa JF kwa kumix Swahili and Kiingereza.