Wale waleeemleta mada huna jipya.unajifanya kama mambo Fulani kumbe kama maharage ya wapi..kuja kutaka kuwaharibia watu biashara,,kwanza ulilazimishwa..mi mwenyewe nimewai kujiunga na kusimama kwa sababu binafsi ila siwezi kuja kuponza kwani hakuna utapeli ukifuata mfumo wao ulivyo unapata.
NETWORK MARKETING NDO BIASHARA YA KARNE.We endelea na kuajiriwa tu au biashara binafsi utakuja kunikumbuka,na umemkashifu huyo dada kwa jili ulimpa lifi,ulizia akina ENOS CHILATO MAY GRACE LIGHTNESS na wengi wanavyoenjoy na unayoiponda.
NO RESEARCH NO RIGHT TO SPEAK!
Naona na wewe ni mmoja wao wanauza hivyo viproduct fakeacha dharau.....kwa wengine LAKI SITA kwa mwezi ni nyingi....wewe unapata kwa siku ndio mgawanyo wa maisha....na dharau zako hujui tofauti ya LOOSER na LOSER........
Hivi kabla ya hizi biashara watu hawakua wanaishi? Acheni wizi na kutumika banaa. Hii kitu ya kishenzi sana, honestly I hate itView attachment 245925
Naona na wewe ni mmoja wao wanauza hivyo viproduct fake
Yani wewe ndo fal.a kweli...Nyani haoni kundule...Hiyo "silly" ni kiswahili cha wapi..? Nilitegemea uwe mfano....
Cc to LIKUD
Nimekusouma kaka, next time nitajirekebisha and sinta post thread yoyote hapa JF kwa kumix Swahili and Kiingereza.
You are not a good business person kwa staili hii ; Japo si mwanachama wa Forever wala Trevo ila ili kumvuta mteja si kumwambia achana na fulani ; Sell your products na mtu afanye informed decision. Ushasikia Cocacola wanatanganza achana na Pepsi kunywa Coca imewaburudisha wengi? No- wanatanganza uzuri wa bidhaa zao na kuonyesha ufanisi katika usambazaji kwa wauzaji. Redefine your strategies if you are playing to win
Kajiunge mkuu,baada ya mwezi utakuwa bilionea kama Mengi,au Bahresa
Akili za kuambiwa changanya na za kwako ulishawahi kuona sehemu yenye pesa watu wanaarikana/kuitana
Think big