Mnawachukuliaje watu wa GNLD na Forever Living Products?

Mnawachukuliaje watu wa GNLD na Forever Living Products?

Now back to you super idiot LIKUD.

Graduatism sickness ni ugonjwa mbaya kuliko ukimwi. Imani ya kwamba ukiwa graduate basi unastahili kipato fulani hata kama huna kazi ni UPUMBAVU (ukimind nipeleke mahakamani).

Namna yako ya kusema kwamba kwa graduate laki sita ni fedha za kuzipata kwa siku, ni sawa na kusema kuwa maafisa wote wa serikali kwa level ya TGS D ni mataahira kwa kuwa wamekubali kufanya kazi kwa mshahara wa shilingi 349,270 kwa mwezi ambayo ni karibu nusu ya hiyo laki sita.

Unapozungumzia mafanikio, basi ni suala la ulipokuwepo awali na ulipofika. Huyo anayejisifia kuwa amefika Nairobi ni haki yake. Sijui ni nini cha kushangaza hapo kwa mama Tupele aliyekuwa anauza vitumbue kwenye mavumbi pale vingunguti akiinuka kiasi cha kuwa na biashara inayomfanya asafiri hadi Nairobi.

Hauna haja ya kuwatukana watu kwa kuwa umekosa courage ya kufanya wanachofanya. Wewe kaa na makaratasi yako ya degree lakini wenzako wana namna yao pia ya kutafuta mafanikio. Network Marketing haijaanza Tanzania, imetokea huko kwa waliokufundisha DEGREE badala ya JANDO NA UNYAGO, na inaendelea si kwamba imesimama.

Pale Arusha yuko mama mmoja alikuwa fundi cherehani, sasa tunavyoongea ni MILIONEA sababu ya FLP. Mimi Mwana Mtoka Pabaya ni member wa FLP na nilitambulishwa huko na member wa JF. Hata sasa membership yangu ni hai LAKINI mimi sikuwa na courage ya kuendelea na biashara hiyo, ila ninafaidika kwa punguzo la bei kwa products za FLP kama member.

Kushindwa kwangu kufanikiwa kwenye Network Marketing hakunifanyi niwatukane. Like any other business it take a lot of efforts and enthusiasm to cross the berriers; I AM NOT COURAGEOUS na nimeshindwa, lkn sisemi kuwa ni mbaya.

La kama unafikiri ni utapeli basi hiyo ni level yako ya ujinga inakuongoza. Mimi sina cha kutolea ushuhuda kiuchumi lakini kitabibu ninacho. Wakati nikijaribu jaribu kufanya hiyo biashara, nilimuuzia jirani yangu dozi ya gout, amepona na yeye amekuwa member na anafanya biashara hiyo huko kwao Kilimanjaro. Ajabu ni kwamba, yeye amefanikiwa kibiashara kwa kuwa kila aliyemuona na magongo sababu ya gout alitaka kujua ameponaje, kwa hiyo soko lake limekuwa kubwa kwa ajili hiyo.

Ningefurahi kama ungechukua calculator ukazidisha 600,000 kwa siku 365 na kutuandikia jawabu hapa ubaoni. Nafikiri utawasaidia GRADUATES kutambua level yao ya mapato kwa mwaka.

Wewe kama hujui kitu ni vyema kunyamaza hakuna mshahara wa TGS D 349 270. Unapunguza mishahara ya watu ili uwavutie vijana wajiunge!!!!!!!!?????
 
Last edited by a moderator:
Pole LIKUDI mimi mwenyewe yalinikuta, dada mmoja yuko GNLD kanialika na kunielezea mafanikio kibao nikajua labda atakuwa na mafanikio balaa.cha kushangaza huyohuyo tena siku nyingine ananipiga mzinga akidai ana mmahitaji mengi ya mtoto anaomba nimsaidie hela.japo nilimpa pesa aliyotaka lakini nikadharau kila kitu alichoniambia kuhusu GNLD.

hawa.cjui GNLD..FLD..ORGANO member weng cjui wamelogwa kule kwetu kilimanjaro tunawaita vishoia blablaa ming mara huyu kaacha bot.huyu tra huyu vodacom kuna kipind na.mm rafki.angu alitaka kunidumbukiza kwe huu mkumbo
 
Last edited by a moderator:
acha dharau.....kwa wengine LAKI SITA kwa mwezi ni nyingi....wewe unapata kwa siku ndio mgawanyo wa maisha....na dharau zako hujui tofauti ya LOOSER na LOSER........

True kabisa......anadharau sana kipato cha watu, i support u
 
Wale walioanza mapema na kama wateja amepata wa kutosha kwa kweli hela ya kuishi tunapata, Ili tu maintain kwenye business inabidi tufanye marketing sana, kwa hapa hela huishia kwenye marketing, kukodi ukumbi wa mkutano kusafiri mikoani na nchi za jirani Ili update wateja, kujiweka mtanashati pia Ili mteja akukubali ni gharama pia. Siku hizi products zipo nyingi sana Forever, GNLD, O.frem, zipo za wachina kama 4 tofauti. Wateja sikuhizi ni wachache sana ila wauzaji tupo wengi sana. Kwa sasa fanyeni kama kazi ya ziada siyo ya kutegemea, kamwe usiache kazi yako nyingine kwa kutegemea hii, Kuna mwezi biashara itanakuwa ngumu sana,
 
hawa.cjui GNLD..FLD..ORGANO member weng cjui wamelogwa kule kwetu kilimanjaro tunawaita vishoia blablaa ming mara huyu kaacha bot.huyu tra huyu vodacom kuna kipind na.mm rafki.angu alitaka kunidumbukiza kwe huu mkumbo

mimi gnld kidogo waniingize mkenge.
 
Jumatano ya wiki iliyo pita , nikiwa maeneo ya Mlimani City, nilikutana na mdada mmoja niliyekuwa nimepotezana naye for like 2 years..Aliomba namba zangu za simu kisha akaniuliza kama nitakuwa na nafasi jumapili ya wiki hiyo around saa saba mchana. I told her what is the problem? akaniambia kuna meeting muhimu sana ambayo angependa kuona na mimi nikishiriki. Nikamwambia hakuna shida. Siku hiyo akaniomba tukutane maeneo ya mwenge, nikamdrive hadi pale ITV kwenye ukumbi wa mikutano wa GNLD. She told me it was a GNLD meeting. She is a member, she has invited me to listen to what they are doing and may be if interested nijiunge nao pia. Nilitaka kurudi hapo hapo but nikasema ngoja niende kuwasikia wana kitu gani kipya ambacho sijawahi kukisikia mahali., ( I knew about this cra.p ) since 2001 and i know what they are actually doing ).

WAKATI WA KUTOA USHUHUDA

Baada ya introduction na kabobo kutoka kwa aliyekuwa msemaji mkuu wa hiyo meeting, ikafikia zamu ya watu mbalimbali ambao ni memba wa GNLD kutoa shuhuda zao. Huyo msichana alikuwa miongoni mwa walio toa ushuhuda.

I WAS SO SO DISAPOINTED WITH THEM.

She said, nimejiunga GNLD tangu mwaka 2009 and blah blah, Now ninaingiza PESA NYINGI SANA KWA MWEZI!
Ninaingiza shilingi LAKI SITA KWA MWEZI! ( Hivi kweli Graduate wa Chuo Kikuu anaweza kuwa na mawazo mgando kiasi hiki! Shilingi laki sita kwa mwezi ni pesa ambayo mtu anaweza kuongea na kujisifu mbele ya watu? Hii ni hela unayo takiwa kuingiza kwa siku moja bana acheni ujinga nyie.

Others were talking like, NIMEFIKA HADI NAIROBI MIMI! HUWEZI KUAMINI! UKINIONA UNANICHUKULIA POA, ILA NIMEFIKA HADI NAIROBI KWA KAZI HII HII?

( Seriously kweli! kufika Nairobi nalo ni jambo la kujisifu mbele ya kadamnasi ! )

Wengi wao wanaongea kuhusu laki nne kwa mwezi na utoto utoto kama huo..

BRAINWASHERS
: Wakati wa shuhuda kuna jamaa huwa wanasimama na kuongea utoto mwingi like u know nilikuwa meneja wa T.R.A mkoa but nimeacha baada ya kuona GNLD inanilipa.. Mwingine akasema " Nilikuwa muhasibu BARICK, nalipwa MILIONI NNE kwa mwezi, ila nimeacha kazi baada ya kuona GNLD ndio mpango. Plus utoto utoto mwingine kama huo..

Mwisho wa siku i told her, please be serious even for a second, how dare you bring me to a place like this. What do u take me for? or what kind of a fool do u think i am? do u confuse me with a looser or something ? Do i look like someone who is joking about his life? U shall not tell me about this cra.p again...

Kiukweli niliona amenidhalilisha sana, i say..

These people, are realy dont know what is going on in their lives na wanahitaji kukombolewa. Kuwa describe hawa watu wa GNLD na FOREVER LIVING PRODUCTS in a single word, they are " LOOSERS".

attachment.php
Umesema ukweli kiongozi,binafsi ukitaka ugomvi na mimi niambie kuhusu huu upumbavu,hili ni janga na hawa watu nawafaham sana ni zaidi ya pyramid wanachokifanya.Wengi waliojiunga ni wachovu na wana maumivu mengi.
 
hawa.cjui gnld..fld..organo member weng cjui wamelogwa kule kwetu kilimanjaro tunawaita vishoia blablaa ming mara huyu kaacha bot.huyu tra huyu vodacom kuna kipind na.mm rafki.angu alitaka kunidumbukiza kwe huu mkumbo
alafu wote huwa wanakuja na ushuhuda kwamba wameacha au wanafikiria kuacha kazi tra
 
Kuna haka kamchezo kengine,nadhani kanahusisha kujiunga na zantel halafu bla blaa blaaa. Nilipigiwa simu jana na dada moja wala sikumuelewa vizuri, mwenye ujuzi atufahamishe hapa pia
Jana nimepigiwa na watu wa voda kwa no zao kabisaa za huduma kwa wateja,ameuliza maswali mengi nikamjibu lakini alipouliza namba zangu za siri nikamjibu; K....... kubwa weee!! akaingia mitini.
 
mimi yashawah nikuta..dada mmoja best sana alinishaur ila nikamgomea lakin akazid kunishawishi sana..mm nlipima nikaona hapa maslah hakuna wote wez tuu..basi bana ili nisimvunje moyo nikamwambia pesa sina..japo nilikuwa nayo..akanambia nitakuongezea ulipopungukiwa..nikamwambia kat ya 360000 ninayo 170000 tu..akaniongezea..kiukweli bidhaa nilizouza nilipata 125000 tu tena bado zikawa zimeuzika kwa hasara kwasababu bidhaa bei zao za chin sana ni 10000 tena hazina maana...yule dada akawa anataka hela yake..nilichomwambia ni kwamba....SINA HATA MIA YA KUKUPA AIDHA CHUKUA BIDHAA ZAKO UZA MWENYEWE NA HUO UPUMBAFU WAKO KAFANYIE HUKOHUKO...had leo sina hamu nao.
 
Hizi Biashara Kichaa zina sifa kuu 2.


  1. Hukusanya watu wenye tamaa/shida/uwezo mdogo wa akili
  2. Huvuma kwenye nchi zenye kipato cha chini.


Hadithi za kuwa makao makuu yetu yako marekani/ulaya blah blah blah ni njia ya kukusanya akili kwa watu wa kundi namba moja hapo juu

Sababu ya kuvuma na kushamiri kwenye nchi masikini, unaweza kufananisha na kwa nini Vibanda vya vocha vimejaa TZ, lakini huwezi kuvikuta Developed countries, Maisha magumu. Mtu anaamka asubuhi hajui atakula nini, wala mwezi utaishaje. Hivyo akija mtu na hadithi za utakuwa milionea, ubongo unawekwa kapuni, halafu tamaa inachukua usukani.Sasa nchi zenye kipato cha juu ni kazi sana kuuweka ubongo wa mtu kapuni kwa kuwa at any given time watu wako comfortable na maisha yao, chakula ni basic need kama hewa,shida za hapa na pale hazipo na mwisho wa mwezi unafikika bila mizinga ya kipuuzi. Hivyo ili uanze hizi hadithi za GNLD and the likes, inabidi utumie energy za ukweli.Ndio maana pamoja na kuwa haya ma-ponzi scheme yameanzia huku, yanashamiri Nchi masikini.

Wale mtakaoniletea picha za majengo au ofisi za GNLD,Forever Living etc huku ughaibuni, naomba msipoteze nguvu zenu kwani huku siko wateja wakuu walipo, ni setup tu inafanyika kuwaokota maskini wa nchi za dunia ya 3.

Am sure once in a while watakuwa wanachagua wale top earners kutoka nchi maskini kuwatembeza ughaibuni kwenye ofisi zao, huku wakiwashauri kupiga picha za kutosha kuwaringishia maskini wenzao ili wajiunge kwa kasi. It's how deception works in Pyramid Schemes, without more fools joining, felas at the top will feel the hit and the whole thing collapses.

Read about Ponzi Schemes, and a few notable Schemers like Ben Maddof to get an idea of how it all goes. Successful schemes take decades to unfold, and when they do,they leave everyone in their wake looking for the next grave to bury themselves alive.

Ila kwa kuwa nchi yangu naifahamu, siwezi kuwakatisha tamaa,endeleeni kucheza bahati nasibu ili siku moja muwe mamilionea. Hizo nguvu/ubunifu/usumbufu mnazozitumia kwenye kudalalisha hizo bidhaa za hao watu mngezitumia kwenye kazi zenu mngefika mbali zaidi , na mngesaidia kujikwamua nyie na jamii inayowazunguka kwenye umaskini.
 
Mimi swali langu ni hizo dawa zinatibu watu kweli au ndiyo tunadanganywa tu.
 
Mimi naamini siku zote kuwa kibaya chajitembeza na chema chajiuza. Viwekwe tu sokoni km bidhaa nyingine km kweli wana hakika na bidhaa zao.
 
Mimi hawajawai kunila pesa yangu ila wameshawai kunipotezea muda wangu zaidi ya mara tatu nikidhani naenda kwenye mkutano wa maana kumbe utaahira mtupu ndo umejaa kwenye hiyo mikutano...kwakweli inabidi wajipange sana
Hawa jamaa bwana nilikua natoka mzalendo pub kwenye kikao cha harusi jamaa mmoja akanikaribisha eti njoo kwenye ulaji nikajua ni ulaji wa maana kumbe ni foreva living huyo kiongozi wao eti ooh nilikua nimepanga mbagala sasa hivi nalipa nyumba mikocheni millioni sita kwamwaka,nikajisemea moyoni haya majitu majinga kweli mimi nilijua limejenga.
 
Back
Top Bottom